Kongole kwa wanawake wote mnaotupikia waume zenu vizuri, nyie ndio mnaotufanya tunawiri. Sasa kwa msosi kama huu nakupigaje goli moja kwamfano πππ
View attachment 2838429
ππsijui hata kupika aisee
hiyo ni breakfast mkuu, unataka nikuwekee na diner?πUtakuwa umetoka kijijini ndani ndani huko! mboga mboga hakuna Wala matunda unasifia, Duuh kuwa uyaone!
HAta kuanzia kesho mimi ujue nakusubir wewe tuOkay,,.. si hadi Christmas π
Okay,,, basi haina shidaHAta kuanzia kesho mimi ujue nakusubir wewe tu
Naomba ushee link ya ile story yako ,nimepishana nayo mahalaOkay,,, basi haina shida
Ile imefutwa my friend.,, naona kazi kuanza upyaNaomba ushee link ya ile story yako ,nimepishana nayo mahala
[emoji16][emoji16][emoji16]Nilistuka nilivyoona tittle nikajua unapigwa na mkeo
[emoji23][emoji23][emoji23] sasa mchango kwa taifa umeingiaje apoVijana kama hawa wanamchango Mdogo sana kwa Taifa.
KaziKweliKweli/JobTrueTrue
Sio kwamba siku pendi, ila we ni mburula pro max.We jamaa hunipendi sana sijui nilikukosea nini Intelligent businessman ?. Huyu Leejay49 mimi na yeye ni washkaji tu !π π . Luwa na aman
We tapeli wa kirusi, chonde chonde Huku ni bongo so we kazana na hiyo mindevu Kama steel wayaππ€πVingine usijal.. ni automatic tu vinafundishika..mfano kutumia pesa na kula bata kuna haja ya kjjifunz kweli?
Acha uoga we mrusi wa mchongo, sinaga hata u close na huyo Leejay49.We jamaa hunipendi sana sijui nilikukosea nini Intelligent businessman ?. Huyu Leejay49 mimi na yeye ni washkaji tu !π π . Luwa na aman
Bila kutuonjesha hatutoi creditKongole kwa wanawake wote mnaotupikia waume zenu vizuri, nyie ndio mnaotufanya tunawiri. Sasa kwa msosi kama huu nakupigaje goli moja kwamfano πππ
View attachment 2838429
Kula kitimoto makange hakitakuangusha.Kongole kwa wanawake wote mnaotupikia waume zenu vizuri, nyie ndio mnaotufanya tunawiri. Sasa kwa msosi kama huu nakupigaje goli moja kwamfano πππ
View attachment 2838429
Wewe unaweza kupika nini?[emoji23][emoji23]sijui hata kupika aisee
Mindevu tena ππ. Oyaa..We tapeli wa kirusi, chonde chonde Huku ni bongo so we kazana na hiyo mindevu Kama steel wayaππ€π
Mindevu ka majani ya muhindi bhanaππ€.Mindevu tena ππ. Oyaa..
Doohhh!!! Leejay49 usisome hii.. oya Intelligent businessman we bila shaka umenunua file langu. Am burnedπ€π€Mindevu ka majani ya muhindi bhanaππ€.
πSura Kama dekio la chooniππ€