Kuna Watu hawafai jamani: Waliokaa chini wakatengeneza hizi Series nitawaheshimu siku zote

Kuna Watu hawafai jamani: Waliokaa chini wakatengeneza hizi Series nitawaheshimu siku zote

Kuna hizi
  1. Alchemy of Souls Season 1 & 2
  2. Island
  3. Tomorrow
  4. Secret.Romance.Guest House
  5. Signal
  6. Tomorrow
  7. Tale of nine tailed Fox
  8. Blue Birthday
 
Anaitwa Cheok Sa Gwang, na ilibaki kidogo aondoke na kichwa cha Yi Bang Ji. Bila Mu Hyul kuja kumsaidia basi habari ya Yi Bang Ji ingeishia kule kule porini.

Mu Hyul ali-develop powerful blow kwa muda mfupi na ndicho alichokionesha baada ya kumtikisa Cheok Sa Gwan kwa mara ya kwanza alipowakuta wakipambana na Yi Bang Ji
Ni balaa viper alikua anauliwa chap,maan demu anastyle ile ya kumpitia Adui kwa kasi ukiblock njia umeisha ni kumkwepa tu
 
Kuna Jumong na A man called god zote ni korean, mtaalamu akiwa Song il gook, a.k.a Jumong

Jamani tuacheni maskhara, kwa upande wangu, movie/series zitakuja na kuondoka, hizi mbili ni mwisho

pongezi kwa wote waliofanikisha hizi series (directors, actors, etc), wamefanya kazi kubwa sana

kwa ambao washawahi ziona hizi series watakubaliana na mimi
mkuu itafute DONG YI..hlf uje unipe mrejesho.
 
Ni balaa viper alikua anauliwa chap,maan demu anastyle ile ya kumpitia Adui kwa kasi ukiblock njia umeisha ni kumkwepa tu
Ile njia ya kukimbia na kuchinja kwa haraka Yi Bang Ji naye alii-master alipopigana na Gil Tae Mi kule maeneo ya sokoni. Tae Mi alikuwa ameshaua wanajeshi wengi na watu walibaki wakimuogopa na kama sio Yi Bang Ji sijui hali inhekuwaje.

Tae Mi alimuuliza unaitwa nani maana nimekutana na shujaa, muda huo hata Mu Hyul naye alitamani kupambana na Gil Tae Mi ila Bang Ji alimuwahi.
 
Sema yule mwamba kweny the veil, ni salute 🙌🙌
Niliipenda sana character yake
Amebadilika kuna series ka-act inaitwa One Dollar Lawyer ni full vituko.
The Veil hata OST zake ni kali mno
Screenshot_20230428-222501.jpg
 
Kwa wabongo Korean movies zimewateka akili sana lakini nafikiri ni sababu ya lugha ya malikia ila Nina watu kadhaa nafahamiana nao kutoka mataifa ambayo wanazungumza kimombo wanasema series ya 24 na prison break, ndio the best series ever .Nafikiri Wabongo kuto kumaster lugha ya malikia ipasavyo imetufanya kupenda Korean series sana kuliko series za western .ndio maana walio wengi wapo very limited juu ya maswala haya ya series more especially intelligence series wengi wanapenda movies za mapanga na mishale sababu hata kwa kuangalia action tu unajua mini kinamaanishwa.
 
Mimi za mafarasi mapanga na mishale ndio za kwangu hizo. Hizi za watu wamekaa kwenye macomputer kama nikita nilikuwa nazipenda enzi za ujana wangu chuo. Baada tu ya kutazama spartacus basi nikahamia jumla kwenye mapanga GOT ndio ikanimaliza zaidi
😍😍😍
 
Mimi pia nawakubali sana wale wawili ila ndio hivyo haikuniingia kabisa...hata ukiniuliza stori yake sikumbuki hata robo
Haumkumbuki hata baba yake Baek Dae Gil yule mzee mcheza kamari (Baek Ma Gyung) ambaye aliishia kuporwa mke na mfalme Sukjong baada ya kumbeti mkewe na mpango ukiwa umesukwa na mzee Yi In Jwa ambaye inadaiwa kiasili alikiwa na vinasaba vya mfalme Yi Songye na mfalme Yi Bang Won
 
Kwa wabongo Korean movies zimewateka akili sana lakini nafikiri ni sababu ya lugha ya malikia ila Nina watu kadhaa nafahamiana nao kutoka mataifa ambayo wanazungumza kimombo wanasema series ya 24 na prison break, ndio the best series ever .Nafikiri Wabongo kuto kumaster lugha ya malikia ipasavyo imetufanya kupenda Korean series sana kuliko series za western .ndio maana walio wengi wapo very limited juu ya maswala haya ya series more especially intelligence series wengi wanapenda movies za mapanga na mishale sababu hata kwa kuangalia action tu unajua mini kinamaanishwa.
kabisa.... sisi za western ziko deep sana, kuliko wakorea mapenzi tu ya kipuuzi...
 
Back
Top Bottom