Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwangu mimi ilikuwa 50/50Mimi sikuipenda kabisa yaani
Ni balaa viper alikua anauliwa chap,maan demu anastyle ile ya kumpitia Adui kwa kasi ukiblock njia umeisha ni kumkwepa tuAnaitwa Cheok Sa Gwang, na ilibaki kidogo aondoke na kichwa cha Yi Bang Ji. Bila Mu Hyul kuja kumsaidia basi habari ya Yi Bang Ji ingeishia kule kule porini.
Mu Hyul ali-develop powerful blow kwa muda mfupi na ndicho alichokionesha baada ya kumtikisa Cheok Sa Gwan kwa mara ya kwanza alipowakuta wakipambana na Yi Bang Ji
Series ina ujumbe mzuri sanaHii series ni moto sana. Namkumbuka yile jamaa anawaambia huwa hawaamini wanasiasa mara tu jamaa baada ya kumwambia kuwa kuna deal la kwenda kumfuata yule general aliyetoroka. He was right maana lile deal lilikuwa batili
mkuu itafute DONG YI..hlf uje unipe mrejesho.Kuna Jumong na A man called god zote ni korean, mtaalamu akiwa Song il gook, a.k.a Jumong
Jamani tuacheni maskhara, kwa upande wangu, movie/series zitakuja na kuondoka, hizi mbili ni mwisho
pongezi kwa wote waliofanikisha hizi series (directors, actors, etc), wamefanya kazi kubwa sana
kwa ambao washawahi ziona hizi series watakubaliana na mimi
Sema yule mwamba kweny the veil, ni salute 🙌🙌Akiangalia The Veil atarudi tena kuipa heshima yake
Ile njia ya kukimbia na kuchinja kwa haraka Yi Bang Ji naye alii-master alipopigana na Gil Tae Mi kule maeneo ya sokoni. Tae Mi alikuwa ameshaua wanajeshi wengi na watu walibaki wakimuogopa na kama sio Yi Bang Ji sijui hali inhekuwaje.Ni balaa viper alikua anauliwa chap,maan demu anastyle ile ya kumpitia Adui kwa kasi ukiblock njia umeisha ni kumkwepa tu
Prison break, akili nyingi mleWakorea wanajitahidi ila kujitafuta kufikia "level" za Prison Break, 24 na nyingine kama hizo itawachukua muda mrefu mno
Mimi pia nawakubali sana wale wawili ila ndio hivyo haikuniingia kabisa...hata ukiniuliza stori yake sikumbuki hata roboKwangu mimi ilikuwa 50/50
Kuna characters nilikuwa nawakubali....ikabidi niipende tu
Amebadilika kuna series ka-act inaitwa One Dollar Lawyer ni full vituko.Sema yule mwamba kweny the veil, ni salute 🙌🙌
Niliipenda sana character yake
Jumong halaf story ikaendelezwa the land of wind, ilikuwa balaa na nusu 🔥🔥🔥Okopa sana mwanaume anayeangalia series za kikorea🏃🏃🏃
Btw naunga mkono hoja
Jumong
Iris
3days
Kingdom of wind
Ni kati ya series safi kuwahi tengenezwa Korea. Hizi za sasa hivi upuuzi mtupu
Ngoja nikazipakue OST zakeAmebadilika kuna series ka-act inaitwa One Dollar Lawyer ni full vituko.
The Veil hata OST zake ni kali mno
View attachment 2602972
Alchemy of Souls niliipenda sana season 1 ila season 2 niliangalia tu kukamilisha ratiba. Nadhani nilikuwa attached sana na FL wa season 1Kuna hizi
- Alchemy of Souls Season 1 & 2
- Island
- Tomorrow
- Secret.Romance.Guest House
- Signal
- Tomorrow
- Tale of nine tailed Fox
- Blue Birthday
😍😍😍Mimi za mafarasi mapanga na mishale ndio za kwangu hizo. Hizi za watu wamekaa kwenye macomputer kama nikita nilikuwa nazipenda enzi za ujana wangu chuo. Baada tu ya kutazama spartacus basi nikahamia jumla kwenye mapanga GOT ndio ikanimaliza zaidi
Haumkumbuki hata baba yake Baek Dae Gil yule mzee mcheza kamari (Baek Ma Gyung) ambaye aliishia kuporwa mke na mfalme Sukjong baada ya kumbeti mkewe na mpango ukiwa umesukwa na mzee Yi In Jwa ambaye inadaiwa kiasili alikiwa na vinasaba vya mfalme Yi Songye na mfalme Yi Bang WonMimi pia nawakubali sana wale wawili ila ndio hivyo haikuniingia kabisa...hata ukiniuliza stori yake sikumbuki hata robo
Hivi vitu mimi huwa sivielewagi 🤣Mwanaume wa kweli anaesimamisha atakua ameangalia 'The Boys'
View attachment 2602973
kabisa.... sisi za western ziko deep sana, kuliko wakorea mapenzi tu ya kipuuzi...Kwa wabongo Korean movies zimewateka akili sana lakini nafikiri ni sababu ya lugha ya malikia ila Nina watu kadhaa nafahamiana nao kutoka mataifa ambayo wanazungumza kimombo wanasema series ya 24 na prison break, ndio the best series ever .Nafikiri Wabongo kuto kumaster lugha ya malikia ipasavyo imetufanya kupenda Korean series sana kuliko series za western .ndio maana walio wengi wapo very limited juu ya maswala haya ya series more especially intelligence series wengi wanapenda movies za mapanga na mishale sababu hata kwa kuangalia action tu unajua mini kinamaanishwa.