Down To Earth
JF-Expert Member
- Jul 8, 2011
- 21,940
- 16,643
Radio inatangaza goli mapema kuliko Tv
waulize wasukuma watakwambia
waulize wasukuma watakwambia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nadhani na mimi nitashangaa kuwa hadi hivi leo bado kuna watu wajinga kama wewe wanaoshangaa mpira kutangazwa redioni!TBCtaifa wanatangaza mpira wa ligi kuu na ile ya championship.
Hivi kuna watu bado,wanasikiliza mpira kupitia redio wakati Tv zimetapakaa kila kona?
TBCtaifa wanatangaza mpira wa ligi kuu na ile ya championship.
Hivi kuna watu bado,wanasikiliza mpira kupitia redio wakati Tv zimetapakaa kila kona?
Yes..TBCtaifa wanatangaza mpira wa ligi kuu na ile ya championship.
Hivi kuna watu bado,wanasikiliza mpira kupitia redio wakati Tv zimetapakaa kila kona?
Tena ni zaidi ya mjinga! Labda Kama hapandi daladala,Ila kwenye madaladala dar asilimia kubwa tunasikiliza mpiraNadhani na mimi nitashangaa kuwa hadi hivi leo bado kuna watu wajinga kama wewe wanaoshangaa mpira kutangazwa redioni!
1. Kuna wasioona hawaangalii TV
2. Kuna walio vijijini ambako hakuna umeme
3. Kuna walio ofisini wanaendelea na kazi hawawezi kuacha kazi kuangalia mpira kwenye TV au simu
4. Kuna walio safarini ni dereva lakini anapenda mpira hawezi kuangalia TV au simu huku anaendesha.
Ni hayo tu