loliondokwetu
JF-Expert Member
- Feb 21, 2018
- 1,376
- 1,752
Mzee kuna wengine hatupati mda wa kucheki kwenye tv,wengi wanakuwa maeneo yao ya kazi so kufungulia redio na kusikiliza ni option yetuTbctaifa wanatangaza mpira wa ligi kuu na ile ya championship,hivi kuna watu bado,wanasikiliza mpira kupitia redio wakati Tv zimetapakaa kila kona?