Kuna watu kwa enzi hizi bado wanasikiliza mpira kupitia redio?

Kuna watu kwa enzi hizi bado wanasikiliza mpira kupitia redio?

Mkuu kuna vijiji hamna umeme wala solar,kama unasema umetembe nchi nzima na wengi wana TV nadiriki kusema bado hujatembea umeishia tu kutembea mijini,mpenda soka kama hana tv lazima asikilize hata radio ili kujua matokeo na msimamo,mfano mdogo wewe hapo mjini umeme ukikatika,huna jenereta wala solar na mechi ya derby inachezwa je usingesikiliza radio?
bro nchi nimetembea we acha tu,solar imesambaa ni balaa,kuna makampuni ya kuuza solar yamewapa kazi vijana waliomaliza vyuo vikuu,kuuza sola kwa mkataba na solar imesambazwa sana,nilipewa kazi ya mkataba kutembelea nchi nzima tena vijinini,nakuthibitishia solar imesambaa sana
 
Radio bado zinasikilizwa sana hata Benjamin Mkapa utakuta mechi inaendelea uku jukwaani mtu anasikiliza radio kwaajili ya kupata uchambuzi nk, kwangu nikiwa natazama mechi za kwenye TV uwa sikosi Radio kwa sababu ya ujinga wa TANESCO
bro nchi nimetembea we acha tu,solar imesambaa ni balaa,kuna makampuni ya kuuza solar yamewapa kazi vijana waliomaliza vyuo vikuu,kuuza sola kwa mkataba na solar imesambazwa sana,nilipewa kazi ya mkataba kutembelea nchi nzima tena vijinini,nakuthibitishia solar imesambaa sana
ok hii ntafuatilia,asante
 
Lakn nakua na issu mpira nasikilizia kwenye tbcSasa MTU upo site full time utaachaje kusikiliza mpira redioni....
Mmnipo kinondoni anaejua 4ways karibu na leaders mpira nausikilizia kwenye tbc siku hz mrangazqji kama rada mbungenmtarajiwa simsikii dah binadamu tukipita kuanzia posta mpk dodoma akiulizwa atasema naijua dar moro mpk ddm lakin kiuhalisia wengi wetu tunafika makao makuu ya mkoa au wilaya hatufiki kwenye tencells za kila kijj tarafa kata jimbo wilaya mkoa so tanzania ni gigantic land huwez imaliza tunagusa mle mmtulimo elekezwa na kaź zetu hii inch bado tupo hoi na wala hakuna chama wala kiongoz atakae weka level za maisha kwa raia isipokua kila mtu ajipiganie kwa kadi ya uwezo wake
 
Ukiwa dasilamu unaonaga nchi imeendelea sana , wengine wanasahau vijijini kwao wana share maji ya kunywa na punda kwenye ki dimbwi🤔🤔
Sasa kama mimi kijijini kwetu hakuna maji ya bomba mpaka leo hii.
Maji yote ya kutumia tunachota mtoni.
 
Tbctaifa wanatangaza mpira wa ligi kuu na ile ya championship,hivi kuna watu bado,wanasikiliza mpira kupitia redio wakati Tv zimetapakaa kila kona?
Tupo! Huku tunaendelea na bustani, kazi za hapa na pale...badala ya kuangaza macho masaa 2 bila kufanya lolote la maana...
 
Tbctaifa wanatangaza mpira wa ligi kuu na ile ya championship,hivi kuna watu bado,wanasikiliza mpira kupitia redio wakati Tv zimetapakaa kila kona?
Watu wanatazama mpira huku wanasikiliza kwa redio , njoo huku Banda umiza utaona.
 
Kuna madereva wanaendesha magari hawawezi kuacha kazi kuangalia Yanga au Simba
Nchi Tajiri kama United Kingdom watu wengi Tu wanasikiliza Premier League kupitia BBC Radio 5. Sababu ni kua makazini, madereva wa ma truck na wafanyakazi Viwandani.
 
Kuna madereva wanaendesha magari hawawezi kuacha kazi kuangalia Yanga au Simba
Nchi Tajiri kama United Kingdom watu wengi Tu wanasikiliza Premier League kupitia BBC Radio 5. Sababu ni kua makazini, madereva wa ma truck na wafanyakazi Viwandani.
 
Tbctaifa wanatangaza mpira wa ligi kuu na ile ya championship,hivi kuna watu bado,wanasikiliza mpira kupitia redio wakati Tv zimetapakaa kila kona?
Masikini akipata tako hulia mbwata...so wewe kuangalia mpira kwenye runinga unajiona umefikaaaaaa
 
1. Kuna vipofu na wasioona vizuri.
2. Umeme unakata hovyo nchi hii.
3. Kuna watu wako mashambani, machungani, ofisini au ziwani wanavua mida ya mechi.

So, redio bado haikwepeki.
Hata hapa mjini tunasikiliza mechi redioni, tena online sometimes.
 
Tbctaifa wanatangaza mpira wa ligi kuu na ile ya championship,hivi kuna watu bado,wanasikiliza mpira kupitia redio wakati Tv zimetapakaa kila kona?
sijui ni kwanini umewaza hivi ila kujaa kwa television na mabanda umiza haiezi kuwa sababu ya kujiuliza pia why watu wanasikiliza mpira kwa redio leo.
Watu tumetofautiana sana kuanzia tabia,mazoea,mood,kazi,vipato.........
 
Hapa hapa dar kuna watu hua wanasikiliza mpira kwenye Radio, mara nyingi naona kwenye site za ujenzi au watu wanaorekebisha barabara..


Unakuta kazi ndo imechanganya halafu siku ya game ..
Hajui haya mambo. Anadhani kila mtu anasimamisha shughuri ili akaangalie mpira
 
Back
Top Bottom