Eti na wewe unavaa boksa suruali kuficha nyeti sasa kwa Akili si bora tu utembee bila hivyo vitu.Tbctaifa wanatangaza mpira wa ligi kuu na ile ya championship,hivi kuna watu bado,wanasikiliza mpira kupitia redio wakati Tv zimetapakaa kila kona?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Eti na wewe unavaa boksa suruali kuficha nyeti sasa kwa Akili si bora tu utembee bila hivyo vitu.Tbctaifa wanatangaza mpira wa ligi kuu na ile ya championship,hivi kuna watu bado,wanasikiliza mpira kupitia redio wakati Tv zimetapakaa kila kona?
Kijiji gani hicho naomba unisaidie.... Watu tumezungukua mavijiji na mavijiji na mabanda umiza yapo na sola zipo... Mpaka visiwa vya ajabu ajabu huko .....Tatizo hujatembea Nchi nzima Hadi ndanindani huko vijijini.ukienda vijijino huko redio ndiyo sehemu pekee ya kupata habari.
Mimi asikiliza mpira kupitia TBC Taifa. Jesse John ni Mwana sana akitangaza.Tbctaifa wanatangaza mpira wa ligi kuu na ile ya championship,hivi kuna watu bado,wanasikiliza mpira kupitia redio wakati Tv zimetapakaa kila kona?
Kwa nini ndugu muhasibu?Akili za watz zina shida sana
Inakuwaje mtu unakosa hata akili ndogo ya kujua sababu ya kusikiliza mpira kupitia radio. Nadhani unaona hata comments za watu wakishangaa. Mbona sababu ni common kabisa?Kwa nini ndugu muhasibu?
Mimi mwenyewe napenda sana redio kusikiliza Mpira hasa BBC Swahili ni balaa lake!Tbctaifa wanatangaza mpira wa ligi kuu na ile ya championship,hivi kuna watu bado,wanasikiliza mpira kupitia redio wakati Tv zimetapakaa kila kona?
Nakumbuka sana mtangazaji wa Mpira enzi hizo redio tz ndg. Ezekiel Mwalongo... Unaweza kuzima tv ukasikiliza Mpira kwa redio... vijijini kulikuwa hakuna tv mashuleni, hivyo mnakaa getho na masela mnasikiliza kabumbu....Tbctaifa wanatangaza mpira wa ligi kuu na ile ya championship,hivi kuna watu bado,wanasikiliza mpira kupitia redio wakati Tv zimetapakaa kila kona?
Jamaa mshamba ,limbukeniWatu huko wanatembea km 30 kufuata maji/shule ndo aje aweze kumiliki tv na kisumbuzi chake, haiwezekani aisee.
Kwahy hujakuta radio kabisa, mbona hata huko mjini Daslamu watu wakiwa kwenye shughuli zao wanatumia radio.
Kwa mtazamo wako huko vijijin unakojinasibu ume fika je uwiano wa wenye TV na redio ume wahi kuangalia?japo mimi sikai dar najua kuwa kuna vijiji bado havijaendelea lakini kuna maendele makubwa watu wana tv,zipo wamenunua wao,zipo wamenunuliwa na watoto wao lakini,hivyo vinavyoitwa vibanda umiza vipo vingi,na kuna watu wa mjini wamechukua hiyo fursa ya kutembea vijijini na tv na genereta kuonesha mpira
Illiteracy nchi hii ni kubwa saanaInakuwaje mtu unakosa hata akili ndogo ya kujua sababu ya kusikiliza mpira kupitia radio. Nadhani unaona hata comments za watu wakishangaa. Mbona sababu ni common kabisa?
Kuna kuwa mobile, safarini, njiani, au namna yeyote ile ukakosa access ya tv.
Sasa iweje huyu mwezetu aone kusikiliza radio ni kitu cha ajabu?
Naamini wanaosikiliza radioni ni wengi kuliko waliopo kwenye TV.TBCtaifa wanatangaza mpira wa ligi kuu na ile ya championship.
Hivi kuna watu bado,wanasikiliza mpira kupitia redio wakati Tv zimetapakaa kila kona?