mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
pambana na hali yako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi mwanangu sio kukaa tu alete na mke wake kabisa na wajukuu nitawalea maana huo ndio upendomiaka 30 ni mingi sana kukaa hapa duniani sio tu kukaa nyumbani !
inabidi uwe umesha leta impact...
kuna watu kabla ya hiyo miaka walishafanya makubwa sana hadi sasa bado wanakumbukwa kwenye historia ya Dunia,
unamjua Alexander the Great, aliyoyafanya yote hadi kutawala almost Dunia nzima Aliya fanya kabla ya kufikia miaka 30,
na alikufa akiwa 30'S, ila hadi saivi anakumbukwa na hawezi kusahaulika kwenye historia ya Dunia. ingawa aliishi B.C huko.
huo ni mfano mmoja tu ila ukiwa na miaka 30 inabidi uwe umeshafanya mambo makubwa tuu, hata kufa tayari
kama kina kanumba etc...
fanya kitu leta impact amsha
kwani wewe ulikuja duniani ku enjoy tuu ?
mda ni mchache sana,
kama ulitaka kukaa milele si ungekua mlima,
au hata uwe kobe uishi miaka 200+
Binadamu aliumbwa akapewa akili ili aje kuleta impact kwenye Dunia.
au wewe utashabikia tu simba na yanga,
"stop existing start living."
kwa wataoniuliza mimi nimefanyaje na nina miaka ngapi mimi nina miaka 12
Exactly twapaswa tusia attach mafanikio na umri, ila swala la kukaa nyumbani till your 30's nao ni ujinga, hasa kama ni mwanaume. Yaan huna hata pa kujishikisha, that's preparing for an early death.Moja ya mambo huwa yamewashinda kuyaelewa watu ni kufananisha Umri na mafanikio.
Miaka 30 unaweza ukawa hauna kitu chochote unachomiliki ,ikiwemo ,kazi, elimu, familia , n.k
Ila miaka 31 ukajikuta Una kila kitu.
Hapa duniani huwa hakuna umri wa kufanya jambo Fulani Ila huwa kuna wakati na majira ya kufanya jambo Fulani.
Jambo la muhimu ambalo kijana anabidi kuwa nalo ni kuwa sober 24/7
Umri huwa haumfanyi MTU afanikiwe wala asifanikiwe
Unaweza msoma hata founder wa KFC katoboa Ana miaka 65+yrs
Bado nipo kwa Baba, na Baba yupo kwa Babu.miaka 30 ni mingi sana kukaa hapa duniani sio tu kukaa nyumbani !
inabidi uwe umesha leta impact...
kuna watu kabla ya hiyo miaka walishafanya makubwa sana hadi sasa bado wanakumbukwa kwenye historia ya Dunia,
unamjua Alexander the Great, aliyoyafanya yote hadi kutawala almost Dunia nzima Aliya fanya kabla ya kufikia miaka 30,
na alikufa akiwa 30'S, ila hadi saivi anakumbukwa na hawezi kusahaulika kwenye historia ya Dunia. ingawa aliishi B.C huko.
huo ni mfano mmoja tu ila ukiwa na miaka 30 inabidi uwe umeshafanya mambo makubwa tuu, hata kufa tayari
kama kina kanumba etc...
fanya kitu leta impact amsha
kwani wewe ulikuja duniani ku enjoy tuu ?
mda ni mchache sana,
kama ulitaka kukaa milele si ungekua mlima,
au hata uwe kobe uishi miaka 200+
Binadamu aliumbwa akapewa akili ili aje kuleta impact kwenye Dunia.
au wewe utashabikia tu simba na yanga,
"stop existing start living."
kwa wataoniuliza mimi nimefanyaje na nina miaka ngapi mimi nina miaka 12
Wewe vp hebu tupe 1,2,3 kuhusu weweMkuu ni maisha tu , wala usitusagie kunguni kiasi hiki.
Me naoa hapa hapa kwa mzee na nasubiri Akufe nirithi mali(Alisikika mpemba mmoja akisema akimwambia mdigo na mzigua)
Inategemea mbona waarabu wanaishi pamoja na familia zao?...umasikini unaleta utenganomiaka 30 ni mingi sana kukaa hapa duniani sio tu kukaa nyumbani !
inabidi uwe umesha leta impact...
kuna watu kabla ya hiyo miaka walishafanya makubwa sana hadi sasa bado wanakumbukwa kwenye historia ya Dunia,
unamjua Alexander the Great, aliyoyafanya yote hadi kutawala almost Dunia nzima Aliya fanya kabla ya kufikia miaka 30,
na alikufa akiwa 30'S, ila hadi saivi anakumbukwa na hawezi kusahaulika kwenye historia ya Dunia. ingawa aliishi B.C huko.
huo ni mfano mmoja tu ila ukiwa na miaka 30 inabidi uwe umeshafanya mambo makubwa tuu, hata kufa tayari
kama kina kanumba etc...
fanya kitu leta impact amsha
kwani wewe ulikuja duniani ku enjoy tuu ?
mda ni mchache sana,
kama ulitaka kukaa milele si ungekua mlima,
au hata uwe kobe uishi miaka 200+
Binadamu aliumbwa akapewa akili ili aje kuleta impact kwenye Dunia.
au wewe utashabikia tu simba na yanga,
"stop existing start living."
kwa wataoniuliza mimi nimefanyaje na nina miaka ngapi mimi nina miaka 12
Mkuumiaka 30 ni mingi sana kukaa hapa duniani sio tu kukaa nyumbani !
inabidi uwe umesha leta impact...
kuna watu kabla ya hiyo miaka walishafanya makubwa sana hadi sasa bado wanakumbukwa kwenye historia ya Dunia,
unamjua Alexander the Great, aliyoyafanya yote hadi kutawala almost Dunia nzima Aliya fanya kabla ya kufikia miaka 30,
na alikufa akiwa 30'S, ila hadi saivi anakumbukwa na hawezi kusahaulika kwenye historia ya Dunia. ingawa aliishi B.C huko.
huo ni mfano mmoja tu ila ukiwa na miaka 30 inabidi uwe umeshafanya mambo makubwa tuu, hata kufa tayari
kama kina kanumba etc...
fanya kitu leta impact amsha
kwani wewe ulikuja duniani ku enjoy tuu ?
mda ni mchache sana,
kama ulitaka kukaa milele si ungekua mlima,
au hata uwe kobe uishi miaka 200+
Binadamu aliumbwa akapewa akili ili aje kuleta impact kwenye Dunia.
au wewe utashabikia tu simba na yanga,
"stop existing start living."
kwa wataoniuliza mimi nimefanyaje na nina miaka ngapi mimi nina miaka 12
Hauwezi kumzuia fundi kuibaMimi nilikuwa nawashangaa kama wewe, siavi ndo namalizia kuosha gari ya mshua aende job. Baadae nikasimamie site, huko mafundi wasije fanya yao.
dah unamlinganisha aleksi mkuu na vijana walamba midomo wa leo hawa? umemkosea sana aisee.miaka 30 ni mingi sana kukaa hapa duniani sio tu kukaa nyumbani !
inabidi uwe umesha leta impact...
kuna watu kabla ya hiyo miaka walishafanya makubwa sana hadi sasa bado wanakumbukwa kwenye historia ya Dunia,
unamjua Alexander the Great, aliyoyafanya yote hadi kutawala almost Dunia nzima Aliya fanya kabla ya kufikia miaka 30,
na alikufa akiwa 30'S, ila hadi saivi anakumbukwa na hawezi kusahaulika kwenye historia ya Dunia. ingawa aliishi B.C huko.
huo ni mfano mmoja tu ila ukiwa na miaka 30 inabidi uwe umeshafanya mambo makubwa tuu, hata kufa tayari
kama kina kanumba etc...
fanya kitu leta impact amsha
kwani wewe ulikuja duniani ku enjoy tuu ?
mda ni mchache sana,
kama ulitaka kukaa milele si ungekua mlima,
au hata uwe kobe uishi miaka 200+
Binadamu aliumbwa akapewa akili ili aje kuleta impact kwenye Dunia.
au wewe utashabikia tu simba na yanga,
"stop existing start living."
kwa wataoniuliza mimi nimefanyaje na nina miaka ngapi mimi nina miaka 12
Sasa sisi ni nani tupinge?Usishangae kuambiwa YESU mwenyewe na umri wote ule wa above 30 lakini bado anaishi Mbinguni Kwa Sir God ndiyo iwe wewe 😜🤗
Bora Vijana wamepata mtetezi 🤗Sasa sisi ni nani tupinge?
Am good Babu,nashangaa tu kumbe na wazee nao waongo😅Bora Vijana wamepata mtetezi 🤗
Hope you good by the way