Grahams
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 16,096
- 49,651
Niliogopa kupigwa na wenye mali, si unajua Wazee hatuna mbio 😜Am good Babu,nashangaa tu kumbe na wazee nao waongo😅
Halafu mzigo wa weekend ulikuwa full package, I wish ungekwepo 🤗
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Niliogopa kupigwa na wenye mali, si unajua Wazee hatuna mbio 😜Am good Babu,nashangaa tu kumbe na wazee nao waongo😅
Babu tatizo lako muogamuoga sana na wewe🙄Niliogopa kupigwa na wenye mali, si unajua Wazee hatuna mbio 😜
Halafu mzigo wa weekend ulikuwa full package, I wish ungekwepo 🤗
Hahaha.............we nipe moyo tu, nikidundwa utafanya kazi ya kunikanda mwili hadi nipone 😜🤗Babu tatizo lako muogamuoga sana na wewe🙄
Sitaki uongo Babu😁Hahaha.............we nipe moyo tu, nikidundwa utafanya kazi ya kunikanda mwili hadi nipone 😜🤗
Get prepared, Mjukuu, will be there for you
Tangu lini Wazee tumekuwa Waongo 😜Sitaki uongo Babu😁
Vizuri sana Babu....na mbuzi Choma iwepoTangu lini Wazee tumekuwa Waongo 😜
Si ulisema unataka na ile wine yako pendwa, nimekuandalia za kutosha ushindwe wewe tu 🤗
Mimi Nina 57 na Niko kwa wazazi wanguMiaka 30 ni mingi sana kukaa hapa duniani sio tu kukaa nyumbani, inabidi uwe umesha leta impact.
Kuna watu kabla ya hiyo miaka walishafanya makubwa sana hadi sasa bado wanakumbukwa kwenye historia ya Dunia.
Unamjua Alexander the Great, aliyoyafanya yote hadi kutawala almost Dunia nzima Aliya fanya kabla ya kufikia miaka 30 na alikufa akiwa 30'S, ila hadi saivi anakumbukwa na hawezi kusahaulika kwenye historia ya Dunia ingawa aliishi B.C huko.
Huo ni mfano mmoja tu ila ukiwa na miaka 30 inabidi uwe umeshafanya mambo makubwa tuu, hata kufa tayari, kama kina kanumba etc.
Fanya kitu leta impact amsha, kwani wewe ulikuja Duniani ku enjoy tuu?
Muda ni mchache sana, kama ulitaka kukaa milele si ungekua mlima, au hata uwe kobe uishi miaka 200+! Binadamu aliumbwa akapewa akili ili aje kuleta impact kwenye Dunia au wewe utashabikia tu Simba na Yanga, "Stop existing start living."
Kwa wataoniuliza mimi nimefanyaje na nina miaka ngapi mimi nina miaka 12!
All you want will be in placeVizuri sana Babu....na mbuzi Choma iwepo
Ukute manyanyaso yote haya Kwa binadamu wenzie kafanikiwa kupanga servant 200,000 na kumiliki Raumu ya mkopo,Shida!Kina blue hao wakubwa mbona aangalie haya North West anapiga mpunga kiasi gani na nikatoto, jamaa kaja kuatack watu, watu wanapitia mazito
😂😂😂😂, nliwah kumwambia ndugu yangu mmoja kwamba kupata kwake hela nyingi akiona wenzie hawana sio kwamba hawana akili watu wanapambana ni vile tu sometimes mambo hayatokei kama vile ambavyo watu wanatarajia, tena kwa nchi kama tanzania watu kibao wana 30s na bado wanajitafuta, ikatokea mtu kafanikiwa asiwaseme wenzie vibaya, ajaribu kuwamotivate wakae sawa, circumstance za maisha hapa duniani zinatofautiana sanaaaUkute manyanyaso yote haya Kwa binadamu wenzie kafanikiwa kupanga servant 200,000 na kumiliki Raumu ya mkopo,Shida!
Haki vile!watu Wana hustler Hadi sio poa yaani lakini mambo bado magumu,,,hakuna haja kuwadharau ambao hawajatoboa tuombeane,tutiane Moyo,inatosha!😂😂😂😂, nliwah kumwambia ndugu yangu mmoja kwamba kupata kwake hela nyingi akiona wenzie hawana sio kwamba hawana akili watu wanapambana ni vile tu sometimes mambo hayatokei kama vile ambavyo watu wanatarajia, tena kwa nchi kama tanzania watu kibao wana 30s na bado wanajitafuta, ikatokea mtu kafanikiwa asiwaseme wenzie vibaya, ajaribu kuwamotivate wakae sawa, circumstance za maisha hapa duniani zinatofautiana sanaaa
umezeeka sasa, jitathmini sana 😁Mimi Nina 57 na Niko kwa wazazi wangu
Shida Iko wapi
Yaaah maisha bwana ndio yalivyo, hakuna kupumzika mpaka unaingia kaburiniHaki vile!watu Wana hustler Hadi sio poa yaani lakini mambo bado magumu,,,hakuna haja kuwadharau ambao hawajatoboa tuombeane,tutiane Moyo,inatosha!
Kuna mambo mengi ya kufikiria kwa kijana wa umri wa kuondoka nyumbani.Miaka 30 ni mingi sana kukaa hapa duniani sio tu kukaa nyumbani, inabidi uwe umesha leta impact.
Kuna watu kabla ya hiyo miaka walishafanya makubwa sana hadi sasa bado wanakumbukwa kwenye historia ya Dunia.
Unamjua Alexander the Great, aliyoyafanya yote hadi kutawala almost Dunia nzima Aliya fanya kabla ya kufikia miaka 30 na alikufa akiwa 30'S, ila hadi saivi anakumbukwa na hawezi kusahaulika kwenye historia ya Dunia ingawa aliishi B.C huko.
Huo ni mfano mmoja tu ila ukiwa na miaka 30 inabidi uwe umeshafanya mambo makubwa tuu, hata kufa tayari, kama kina kanumba etc.
Fanya kitu leta impact amsha, kwani wewe ulikuja Duniani ku enjoy tuu?
Muda ni mchache sana, kama ulitaka kukaa milele si ungekua mlima, au hata uwe kobe uishi miaka 200+! Binadamu aliumbwa akapewa akili ili aje kuleta impact kwenye Dunia au wewe utashabikia tu Simba na Yanga, "Stop existing start living."
Kwa wataoniuliza mimi nimefanyaje na nina miaka ngapi mimi nina miaka 12!