Kuna watu wana miaka 30 na bado wapo nyumbani kwa wazazi, nimelia sana

Shida ipo wapi sasa si naishi kwetu bro siishi kwenu,tena wapo wanapika chapati nizigonge na chai baadaye niingie kijiwe pale kwa chande kucheza draft na kuisema serikali,majira ya saa moja usiku nirudi kugonga msosi na kulala
 
Ndio unaweza amka ukashinda mkeka au Biko ghafra tukakusahau
 
Miaka 30 ni mingi sana kukaa hapa duniani sio tu kukaa nyumbani, inabidi uwe umesha leta impact.
.........

Kwa wataoniuliza mimi nimefanyaje na nina miaka ngapi mimi nina miaka 12!
Umeruhusiwaje kujiunga na JF kwa muri huo?
Moderator siku hizi masharti yamebadilishwa? Siyo miaka 18+ tena?
 
Unataka nihame niende wapi ???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…