Kuna yeyote aliyeoa single mother na wakafanikiwa kuishi vizuri tu kwenye ndoa?

Kuna yeyote aliyeoa single mother na wakafanikiwa kuishi vizuri tu kwenye ndoa?

Nimekaribia kuingia kwenye huu mtego aisee, nimepata single mother mzuri kinoma, ananisikiliza kila kitu , ni muislamu yupo tayari kubadili dini na kua mkristo, Yuko smart kichwani yaani naona kabisa huyu naenda kufanya nae maisha, yaani mtoto ni mweupeee waarabu flani wa kasulu huko.

Lakini Kila niliemshirikisha ananiambia nikimbie mbio nyingi nisirudi nyuma, Wala nisijaribu kumuonea huruma, lakini nimefanya research watu wanaongoza kuachana ni hao hao ambao hawakuoa single mother,

Unaweza pata mwanamke bikra na bado mkaachana tu, una uhakika gani huyu mwanamke uliyenaye hajawai kuchoropoa mimba au kutumia P2/ majira kwenye maisha yake?

Kuna wengine wanaingia kwenye usingle mother kwa sababu ya mistake ndogo ndogo 😁😁..

NB, jamaa aliemzalisha anafamilia yake, alitumia advantage ya dogo kwa umaskini wake kumrubuni kupata kazi.

Nioe au nikimbie mbio nyingi sana.
Unda tume ipite kukusanya maoni, hapa utaingizwa chaka
 
Moja kati ya sifa yao kuu ni unapoingia nao kwenye mahusiano unapata mapenzi moto moto ili akushawishi umuoe ukishaingia nae kwenye ndoa ndio utaona rangi yake halisi na ni kwanini wanakuwa hivyo? ni kwasababu ameshaharibiwa kisaikologia kutokana na alichopitia so hapo unakuta yupo kwa malengo binafsi ya kutafuta heshima kupitia ndoa na pia jiandae unaposhindwa kutimiza mahitaji yake jiandae kuchitiwa. Na kawaida wanapenda watoto wao kuliko mwanaume wake.Mkuu ninaexperience cos nina date na single mother nipo nae kwasababu ninapata mtelezo but niwe mkweli sina mpango wa kumuoa
Uko sahihi
 
Ndugu yangu aliolewa akiwa na watoto watatu kila mtoto na baba yake kabla mimi sijazaliwa
Sasa hivi ana watoto watano nikimaanisha wawili wa huyu mume aliyemuoa

Ndoa imedumu kabla mimi sijazaliwa mpaka leo, nimejua wale wakubwa watatu sio wa huyu mzee nikiwa tayari ninajitambua.

Hayana Muongozo....!
Umetengeneza chai kama justification ya unachokiamini
 
Nimekaribia kuingia kwenye huu mtego aisee, nimepata single mother mzuri kinoma, ananisikiliza kila kitu , ni muislamu yupo tayari kubadili dini na kua mkristo, Yuko smart kichwani yaani naona kabisa huyu naenda kufanya nae maisha, yaani mtoto ni mweupeee waarabu flani wa kasulu huko.

Lakini Kila niliemshirikisha ananiambia nikimbie mbio nyingi nisirudi nyuma, Wala nisijaribu kumuonea huruma, lakini nimefanya research watu wanaongoza kuachana ni hao hao ambao hawakuoa single mother,

Unaweza pata mwanamke bikra na bado mkaachana tu, una uhakika gani huyu mwanamke uliyenaye hajawai kuchoropoa mimba au kutumia P2/ majira kwenye maisha yake?

Kuna wengine wanaingia kwenye usingle mother kwa sababu ya mistake ndogo ndogo [emoji16][emoji16]..

NB, jamaa aliemzalisha anafamilia yake, alitumia advantage ya dogo kwa umaskini wake kumrubuni kupata kazi.

Nioe au nikimbie mbio nyingi sana.
Bila shaka ushapata muongozo.

Binafsi sina muongozo!

Kaka yangu(from maza Mkubwa) ameoa single mom (naye kihistoria alirubuniwa ingawa ilikuwa enzi za chuo, pia kutokana na ukaidi wa kushaurika kwa watoto wa chuo kama tujuavyo), sasa wana Watoto 3 na maisha yanaendelea vizuri(ingawa sijui ya sirini baina yao)
 
Shabani na Zamaradi si unaona wapo pamoja???

Shabani kamkuta Zamaradi ana watoto 2,na yeye kapigilia misumari 2 kwenye jeneza!

Single mother's ni watamu mno,shida zao tu... Junior akianza kusumbua na wewe utasumbuka!

Utasikia mwache Junior achezee tu hiyo simu,ukimkataza atalia! Unaona kabisa Tecno yako inavunjwa kioo,bado unaambiwa mwache Junior, ukimkataza atalia
 
Sema washkaji wengi wanafiki kinoma mkiwa humu mnawaponda ila mnawaoa sana mm majamaa zangu wengi waliooa wameanza Moja bila
Leo kwa mara ya kwanza umeongea ukweli, ndoa nyingi huku naziona za single maza.

Ila ingependeza single maza wangeoana na single faza ili kubalance mambo.
 
Back
Top Bottom