Huwa hawaendani kabisa hawa..na hawawezi kudumu.Singo maza anabidi kuolewa na MTU ambaye Ana watoto single father.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huwa hawaendani kabisa hawa..na hawawezi kudumu.Singo maza anabidi kuolewa na MTU ambaye Ana watoto single father.
Unda tume ipite kukusanya maoni, hapa utaingizwa chakaNimekaribia kuingia kwenye huu mtego aisee, nimepata single mother mzuri kinoma, ananisikiliza kila kitu , ni muislamu yupo tayari kubadili dini na kua mkristo, Yuko smart kichwani yaani naona kabisa huyu naenda kufanya nae maisha, yaani mtoto ni mweupeee waarabu flani wa kasulu huko.
Lakini Kila niliemshirikisha ananiambia nikimbie mbio nyingi nisirudi nyuma, Wala nisijaribu kumuonea huruma, lakini nimefanya research watu wanaongoza kuachana ni hao hao ambao hawakuoa single mother,
Unaweza pata mwanamke bikra na bado mkaachana tu, una uhakika gani huyu mwanamke uliyenaye hajawai kuchoropoa mimba au kutumia P2/ majira kwenye maisha yake?
Kuna wengine wanaingia kwenye usingle mother kwa sababu ya mistake ndogo ndogo 😁😁..
NB, jamaa aliemzalisha anafamilia yake, alitumia advantage ya dogo kwa umaskini wake kumrubuni kupata kazi.
Nioe au nikimbie mbio nyingi sana.
Hili lakuzingatia sana aisee maana kuna leo na kesho unaweza susiwa mtoto wa watuHilo la usingo maza sio ishu sana.
Hapo kwenye dini ni tatzo kubwa zaidi. Hawa ndugu zetu kwenye kubadili dini huwa kuna utata sana. Anaweza kutengwa.
Uko sahihiMoja kati ya sifa yao kuu ni unapoingia nao kwenye mahusiano unapata mapenzi moto moto ili akushawishi umuoe ukishaingia nae kwenye ndoa ndio utaona rangi yake halisi na ni kwanini wanakuwa hivyo? ni kwasababu ameshaharibiwa kisaikologia kutokana na alichopitia so hapo unakuta yupo kwa malengo binafsi ya kutafuta heshima kupitia ndoa na pia jiandae unaposhindwa kutimiza mahitaji yake jiandae kuchitiwa. Na kawaida wanapenda watoto wao kuliko mwanaume wake.Mkuu ninaexperience cos nina date na single mother nipo nae kwasababu ninapata mtelezo but niwe mkweli sina mpango wa kumuoa
😀Apo una oa mke wa mtu mkuuu baadae anakusaliti anaenda kupasha kiporo wewe una Baki home unaimba abaabaaaaa baaaaaa prakata tumbaaaa
Umetengeneza chai kama justification ya unachokiaminiNdugu yangu aliolewa akiwa na watoto watatu kila mtoto na baba yake kabla mimi sijazaliwa
Sasa hivi ana watoto watano nikimaanisha wawili wa huyu mume aliyemuoa
Ndoa imedumu kabla mimi sijazaliwa mpaka leo, nimejua wale wakubwa watatu sio wa huyu mzee nikiwa tayari ninajitambua.
Hayana Muongozo....!
Chukua mkate kwa mangi nakuja kulipa.Umetengeneza chai kama justification ya unachokiamini
Hizo tunazijua kitambo. Ungefanya hata ya mdarasini basi, wewe umeweka matangawizi kibaoChukua mkate kwa mangi nakuja kulipa.
Bila shaka ushapata muongozo.Nimekaribia kuingia kwenye huu mtego aisee, nimepata single mother mzuri kinoma, ananisikiliza kila kitu , ni muislamu yupo tayari kubadili dini na kua mkristo, Yuko smart kichwani yaani naona kabisa huyu naenda kufanya nae maisha, yaani mtoto ni mweupeee waarabu flani wa kasulu huko.
Lakini Kila niliemshirikisha ananiambia nikimbie mbio nyingi nisirudi nyuma, Wala nisijaribu kumuonea huruma, lakini nimefanya research watu wanaongoza kuachana ni hao hao ambao hawakuoa single mother,
Unaweza pata mwanamke bikra na bado mkaachana tu, una uhakika gani huyu mwanamke uliyenaye hajawai kuchoropoa mimba au kutumia P2/ majira kwenye maisha yake?
Kuna wengine wanaingia kwenye usingle mother kwa sababu ya mistake ndogo ndogo [emoji16][emoji16]..
NB, jamaa aliemzalisha anafamilia yake, alitumia advantage ya dogo kwa umaskini wake kumrubuni kupata kazi.
Nioe au nikimbie mbio nyingi sana.
Ndo umesemaje hapo dakitare?
Halafu nina ujumbe wako nicheki
Kuna wengine wanaingia kwenye usingle mother kwa sababu ya mistake ndogo ndogo 😁😁..
NB, jamaa aliemzalisha anafamilia yake, alitumia advantage ya dogo kwa umaskini wake kumrubuni kupata kazi.
Nioe au nikimbie mbio nyingi sana.
Utajuaje kwamba huyu kachoropoa mimba?? Je huwa unakipimo???Ukweli mkuu, Mimi na mshikaji wangu alioa single mother na mkewe anamuheshimu jamaa sana, nimeuliza hapo juu, kuoa single mothers au kuoa Binti ambae amechoropoa mimba kadhaa?...
Leo kwa mara ya kwanza umeongea ukweli, ndoa nyingi huku naziona za single maza.Sema washkaji wengi wanafiki kinoma mkiwa humu mnawaponda ila mnawaoa sana mm majamaa zangu wengi waliooa wameanza Moja bila