Kunani Bandari ya Dar es Salaam? Hakuna Meli hata moja

Kunani Bandari ya Dar es Salaam? Hakuna Meli hata moja

Huyu mama mpaka akiondoka 2025 au 2030, moja ya jambo kubwa la kijamii atakalolifanikisha kwa 100% ni kuwageuza haters wake wote kuwa wanawake......yaani kwa hali haters wote lazima wabadilike jinsia na kuwa 'ke' maana si kwa kuwapelekesha huku.

“ haters wake“ walio tayari wanawake atawageuza kuwa nini?
 
“ haters wake“ walio tayari wanawake atawageuza kuwa nini?
Hao ndo kianzio cha kipimo hivyo wataendelea kubaki hivyo.....ni kama vile tunaposema 'kutoka usawa wa bahari' tunapopima altitude
 
Mbona meli ziko hapa buruguruni kwa mnyamani, yaani zikifika pale zinawekewa matairi zinaingia mjini
 
Wakuu, nini kinaendelea Bandarini hapa Dar hakuna Meli, inayopakia wala kupakua. Gati zote ziko wazi!! Nini kinaendelea?
Kelele za nini? wacha watu wale kwa urefu wa kamba zao!! ''KAZI IENDELEE".
 
Back
Top Bottom