Kunani Bandari ya Dar es Salaam? Hakuna Meli hata moja

Kunani Bandari ya Dar es Salaam? Hakuna Meli hata moja

Zipo njiani zajaaaa zinasubiria uchaguzi uishe kenya
1660384308407.png

Hata mombasa hakunaaa zinasubiria uchaguzi uishe kenya
1660384399599.png
 
Eeh nyingi zimepaki maeneo ya Coco Beach
Mkuu inawezekana kuna uhusiano wa Bandari kuwa Wazi na Ujio wa hili dubuwasha la Wamarekani.
 

Attachments

  • 20220813_154214.jpg
    20220813_154214.jpg
    37.7 KB · Views: 5
  • 20220813_154222.jpg
    20220813_154222.jpg
    56.5 KB · Views: 5
Kila siku nikipita maeneo ya central police nakuta msururu wa trucks za IT na hapa hapa nyumbani. Huwa zinashushwa na gari moshi?
Ni kweli kuna meli ilikuwepo bandarini ikishusha magari ya kutosha..juzi nimeiona kwa macho yangu..labda kama ni kuondoka iwe jana.
 
Mtapatwa na shinikizo la damu bure mnakasilishwa na mtu ambaye hamna namna yoyote ya kumtoa wala hamna uwezo kumrudisha mliyekuwa mnamuabudu kazi mliyobakiwa ni kufungua mada za kujaribu kumkera tu ili angalau mioyo yenu ipate kupoa, poleni sana.
 
"Hilo nalo nawaachieni nendeni mkalitizame kwa ukaribu"
 
Back
Top Bottom