Peter Madukwa
JF-Expert Member
- Sep 20, 2012
- 3,139
- 2,488
....umetumbuliwa unakuja kupiga majungu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hilo nalo nendeni mkalitizame
Nimesoma hii kwa sauti legevu na macho ya kusinziaHilo nalo nendeni mkalitizame
Shukrani sanaKumbe wewe wa bandarini? Karibu chamani.
"Maendeleo hayana chama."
"KAZI IENDELEE"
Muende mkajionee wenyewe,Rudi ndugu yangu kapige picha si hapo tu karibu.
Duh!...Eeh nyingi zimepaki maeneo ya Coco Beach
Wamekuja kuweka base yao Dar es salaam ama?Mkuu inawezekana kuna uhusiano wa Bandari kuwa Wazi na Ujio wa hili dubuwasha la Wamarekani.
Ni kweli kuna meli ilikuwepo bandarini ikishusha magari ya kutosha..juzi nimeiona kwa macho yangu..labda kama ni kuondoka iwe jana.Kila siku nikipita maeneo ya central police nakuta msururu wa trucks za IT na hapa hapa nyumbani. Huwa zinashushwa na gari moshi?
Ahaa haaaah msemo huo sasa ni ruksa kwa waendaji wakuu kufanya wanayo takaHilo nalo nendeni mkalitizame
Kwa hiyo ndiyo tumemaliza au!!??Hilo nalo nendeni mkalitizame