Kunani Bandari ya Dar es Salaam? Hakuna Meli hata moja

Kunani Bandari ya Dar es Salaam? Hakuna Meli hata moja

Kwasasa bandari imebadilika cjui tatizo ila ukipita maeneo ya bandari upande wa TICTS Kuna sintofahamu inaendelea
Inasemekana mkataba wa TICTS na TPA unaisha mwez wa Tisa hivyo TICTS anaogopa kuleta meli kubwa ambayo itamchukua muda hushushs na pia hiyo mizigo ni ya wateja hivyo atakuwa hajamaliza kutoa mizigo ya watu huku mkataba umeisha
Pia ukitembelea eneo la ndani la TICTS ambae yeye ndo amechukua gati nyingi yaani
Gati namba 8,9,10,11 hizi zote ambazo kimsingi huweka meli 3 kubwa
Pili ndani ya eneo la Bandari Kuna sehemu kubwa inafanyiwa marekebisho hivyo labda sehemu ya kuweka makasha yaani Contena Bado ni finyu.
 

Attachments

  • IMG_20220520_144925_274.jpg
    IMG_20220520_144925_274.jpg
    559.3 KB · Views: 5
  • IMG_20220520_103955_856.jpg
    IMG_20220520_103955_856.jpg
    1.1 MB · Views: 5
  • IMG_20220520_104406_373.jpg
    IMG_20220520_104406_373.jpg
    832.7 KB · Views: 5
Wakuu, nini kinaendelea Bandarini hapa Dar hakuna Meli, inayopakia wala kupakua. Gati zote ziko wazi!! Nini kinaendelea?
Vp kuna upungufu wowote ule wa Bidhaa kwenye Soko!!??
 
Tumeamia mombasa hata mimi nachukulia bidhaa zangu mombasa na wasipoangalia wateja wote watakimbia. Wameongeza gharama za kipumbavu bandari ya dar inakufa taratibu wasipobadilika.
 
Tumeamia mombasa hata mimi nachukulia bidhaa zangu mombasa na wasipoangalia wateja wote watakimbia. Wameongeza gharama za kipumbavu bandari ya dar inakufa taratibu wasipobadilika.
[emoji41][emoji41]
 
Huyu mama mpaka akiondoka 2025 au 2030, moja ya jambo kubwa la kijamii atakalolifanikisha kwa 100% ni kuwageuza haters wake wote kuwa wanawake......yaani kwa hali haters wote lazima wabadilike jinsia na kuwa 'ke' maana si kwa kuwapelekesha huku.
Hahahahah
 
Uwongo! Meli baharini zipo zaidi ya 30 na nyingine zinaondoka na kuingia kila iitwayo siku walahi
Mnyonge mnyongeni Lakini haki yake mpeni [emoji35][emoji35][emoji35][emoji35]
 
Uwongo! Meli baharini zipo zaidi ya 30 na nyingine zinaondoka na kuingia kila iitwayo siku walahi
Mnyonge mnyongeni Lakini haki yake mpeni [emoji35][emoji35][emoji35][emoji35]
Zaidi ya 30????? Usiwape watu taarifa za uongo. Bandari yenyewe Ina Gati 11 ambazo kimsingi zinaweza kuweka Meli kubwa 6 au
 
Back
Top Bottom