Kunani Bandari ya Dar es Salaam? Hakuna Meli hata moja

Kunani Bandari ya Dar es Salaam? Hakuna Meli hata moja

Wakuu, nini kinaendelea Bandarini hapa Dar hakuna Meli, inayopakia wala kupakua. Gati zote ziko wazi!! Nini kinaendelea?
Tumia MARINE TRAFFING SHIP TRACKING APP. Bandarini kuna meli sita (06) sasa, nje ya bandari kuna meli (09).
Screenshot_20220816-011855_1660602010267.jpg
 
Hivi wizara ya fedha na uchumi/siku hizi kuna biashara na uchumi na hao uchukuzi /au uwekezaji wameshawahi kukaa pamoja kama team na kuangalia na kulinganisha ufanisi wa bandari.
Kuna tetesi za rais wa Rwanda kudai kwamba Tanzania inaweza kujiendesha kwa bandari tu.yaani makodi yote yasiwepo lakini bandari tu inaendesha nchi?
Pili hata hayati alikuwa ana amini hilo utajiri wa kodi Tanzania upo bandarini?
Vijiweni kunasemw hivyo ,hizo wizara wameshawHi kutathimini namna ya kuboresha mazingira haya ya ushindani?
Mimi ni mdau wa kodi na mara nyingi nafuatilia,nimewahi kusikia majirani zetu wamepata ubia mkubwa kwenye kampuni kubwa ya meli hapa africa mashariki na kuwashawishi wafanyabiashara wa nchi jirani kama wanataka kusafirisha mizigo basi waende kule.meli haibebi mizigo kuanzia dar.hili nalo limewafanya wanaotoa mizigo kuañza kufanya hivyo.sasa meli nyingi huona ni hasara aje ashushe aondoke mtupu(hizi kauli nimewHi ziona humu)kuna taasisi ndani ya nchi inafuatilia hili.
Kile chuo cha degree ya kijeshi arusha kina mengi ya kufundisha vijana wetu.
 
Hivi wizara ya fedha na uchumi/siku hizi kuna biashara na uchumi na hao uchukuzi /au uwekezaji wameshawahi kukaa pamoja kama team na kuangalia na kulinganisha ufanisi wa bandari.
Kuna tetesi za rais wa Rwanda kudai kwamba Tanzania inaweza kujiendesha kwa bandari tu.yaani makodi yote yasiwepo lakini bandari tu inaendesha nchi?
Pili hata hayati alikuwa ana amini hilo utajiri wa kodi Tanzania upo bandarini?
Vijiweni kunasemw hivyo ,hizo wizara wameshawHi kutathimini namna ya kuboresha mazingira haya ya ushindani?
Mimi ni mdau wa kodi na mara nyingi nafuatilia,nimewahi kusikia majirani zetu wamepata ubia mkubwa kwenye kampuni kubwa ya meli hapa africa mashariki na kuwashawishi wafanyabiashara wa nchi jirani kama wanataka kusafirisha mizigo basi waende kule.meli haibebi mizigo kuanzia dar.hili nalo limewafanya wanaotoa mizigo kuañza kufanya hivyo.sasa meli nyingi huona ni hasara aje ashushe aondoke mtupu(hizi kauli nimewHi ziona humu)kuna taasisi ndani ya nchi inafuatilia hili.
Kile chuo cha degree ya kijeshi arusha kina mengi ya kufundisha vijana wetu.
Umeongea Kizalendo sana Ndugu yangu
 
Wakuu, nini kinaendelea Bandarini hapa Dar hakuna Meli, inayopakia wala kupakua. Gati zote ziko wazi!! Nini kinaendelea?
Zimepeleka watalii ARUSHA na KILIMANJARO, acha umbea
 
Sema ticts wako speed sana,juzi kuna meli nne zilikuwa pale mara paap hazipo
 
Tender yao ishatangazwa
Nasikia boss wao mkubwa ni mzungu,so kazi zinafanyika kifanisi sana,yaani swala la kumaliza meli siyo shida tena ,wamejipanga sana wale jamaa,wiki ile niliona wameingiza yale mamashine mapya manne,tuachenj utank,jamaa wanaupiga sana
 
Maybe there is a coup d'etat in progress. He he he. Lakini mimi nimeishi Ferry muda mrefu sana. Ni tabu kwangu kuamini ukiniambia hakuna meli bandarini.
Au Vita ya Ukraine unaleta balsa.
 
Hivi wizara ya fedha na uchumi/siku hizi kuna biashara na uchumi na hao uchukuzi /au uwekezaji wameshawahi kukaa pamoja kama team na kuangalia na kulinganisha ufanisi wa bandari.
Kuna tetesi za rais wa Rwanda kudai kwamba Tanzania inaweza kujiendesha kwa bandari tu.yaani makodi yote yasiwepo lakini bandari tu inaendesha nchi?
Pili hata hayati alikuwa ana amini hilo utajiri wa kodi Tanzania upo bandarini?
Vijiweni kunasemw hivyo ,hizo wizara wameshawHi kutathimini namna ya kuboresha mazingira haya ya ushindani?
Mimi ni mdau wa kodi na mara nyingi nafuatilia,nimewahi kusikia majirani zetu wamepata ubia mkubwa kwenye kampuni kubwa ya meli hapa africa mashariki na kuwashawishi wafanyabiashara wa nchi jirani kama wanataka kusafirisha mizigo basi waende kule.meli haibebi mizigo kuanzia dar.hili nalo limewafanya wanaotoa mizigo kuañza kufanya hivyo.sasa meli nyingi huona ni hasara aje ashushe aondoke mtupu(hizi kauli nimewHi ziona humu)kuna taasisi ndani ya nchi inafuatilia hili.
Kile chuo cha degree ya kijeshi arusha kina mengi ya kufundisha vijana wetu.
Wanajua yote haya shida ni kuwa wana siasa ndiyo wanaharibu kuweka/kuwapa watu wasio na vigezo kusimamia na kuendesha Ile bandari
 
Back
Top Bottom