Kunani, mbona JK kakasirika hivi?

Mzee kavulugwa ,huyu ndo kabaki Kama mzee, mzee Mwinyi uyo kaisha kula chumvi ,kwake KILA kitu ndio, Wanamvuluga mzee, ila kweli lipo Jambo Kama haliko sawa hata msaidizi wake amechec flan alafu amekunja uso pia
 
Kweli kabisa kanuna sana
 
Kuongoza nchi kazi. Hapo huko kununa lazima current akufanyie kazi. Hebu angalieni kwenye orodha ya wanaohudhuria kuapishwa kwa Mteule Rais Ruto yuko ama kakatwa?
 
Wakuu

Nawaza kwa sauti!

"Mstaafu aliekwisha kustaafu lakini hataki kustaafu kustaafishwa"

"Kitabu kilichoandikwa Kisha kikaachwa kitamaliziwa kwa staili HII"


Màana

Haoni kimbele juu alivokuwa amepanga hasa urais wa vijana wake!

Vuguvugu la Burundi limemchanganya coz ndio upepo utaanzia magharibi kuja kwetu!

Ujio wa FDR unakuja kwa Kasi na FDR Sio chaguo lake inamuuma coz maslahi yake yanaweza kusiginwa!


Pk kamshinda ujanja katika ujasusi wa kumpachika mtu wao somewhere au kamshinda kijasusi hivyo anataharuki Moyoni!

Au

Hapo kenya mambo hayajawa alivyotaka!

Tusubiri

"Rasimu ya warioba irudi mezani SASA iwe KATIBA MPYA"!
 
Amechukia bei ya mafuta kushuka, alitaka izidi kupaa wazidi kufaidi
 
In the loving memory of Borntown

In the loving memory of Mr Tanzanite

In the loving memory of Mzee

Refer yoga!!!?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…