Chupayamaji
JF-Expert Member
- Sep 19, 2017
- 5,784
- 13,642
Labda naye makato yememkumba.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mzee kavulugwa ,huyu ndo kabaki Kama mzee, mzee Mwinyi uyo kaisha kula chumvi ,kwake KILA kitu ndio, Wanamvuluga mzee, ila kweli lipo Jambo Kama haliko sawa hata msaidizi wake amechec flan alafu amekunja uso piaRais mstaafu wa awamu ya nne leo yupo kwenye sherehe za kilele cha maadhimisho ya miaka 10 ya chuo cha Taifa cha Ulinzi ambapo mgeni rasmi ni Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania.
Tofauti na JK mwenye bashasha, mchana huu JK sura yake sio ya mchezo mchezo mpaka TBC wamekwepesha camera.
View attachment 2350179
Si ndio hapo sasa. Mafala hayaHiyo mibarakoa wanamvalia nani?
Usalama wa taifa wanaangalia Sana tu..😂Hivi Kuna Watu wanaangalia TBC??
Kweli kabisa kanuna sanaRais mstaafu wa awamu ya nne leo yupo kwenye sherehe za kilele cha maadhimisho ya miaka 10 ya chuo cha Taifa cha Ulinzi ambapo mgeni rasmi ni Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania.
Tofauti na JK mwenye bashasha, mchana huu JK sura yake sio ya mchezo mchezo mpaka TBC wamekwepesha camera.
View attachment 2350179
Fafanua, shd kvp!!Tetesi: huko juu, Uzanzibari unaleta shida!
anawaza jinsi vile uhuru kenyatta na ruto walivyomchezea akili....za chini ya kapeti zinadai deep state ya tz ilikuwa inamtaka odinga.
Kwamba alitumika bila kujua???anawaza jinsi vile uhuru kenyatta na ruto walivyomchezea akili....za chini ya kapeti zinadai deep state ya tz ilikuwa inamtaka odinga.
Hahahahaahaaaaaa wewe jamaa wewe, kweli Dunia Haina sirianawaza jinsi vile uhuru kenyatta na ruto walivyomchezea akili....za chini ya kapeti zinadai deep state ya tz ilikuwa inamtaka odinga.
Umesikia mchango wa nauliKwani amelazimishwa kwenda pale?
Amechukia bei ya mafuta kushuka, alitaka izidi kupaa wazidi kufaidiRais mstaafu wa awamu ya nne leo yupo kwenye sherehe za kilele cha maadhimisho ya miaka 10 ya chuo cha Taifa cha Ulinzi ambapo mgeni rasmi ni Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania.
Tofauti na JK mwenye bashasha, mchana huu JK sura yake sio ya mchezo mchezo mpaka TBC wamekwepesha camera.
View attachment 2350179
Hivi ipo kwani? Mpira unatuharibu sijui!Hivi Kuna Watu wanaangalia TBC??
In the loving memory of BorntownRais mstaafu wa awamu ya nne leo yupo kwenye sherehe za kilele cha maadhimisho ya miaka 10 ya chuo cha Taifa cha Ulinzi ambapo mgeni rasmi ni Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania.
Tofauti na JK mwenye bashasha, mchana huu JK sura yake sio ya mchezo mchezo mpaka TBC wamekwepesha camera.
View attachment 2350179
Hiyo mibarakoa wanamvalia nani?