Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 20,694
- 32,527
- Thread starter
-
- #141
Vilaza wapo kwenye ualimu tuMimi nipo huko na dv yangu nzuri tu ya enzi hizo nikiwa kilosa agricultural sec school o'level, adv Ihungo bukoba moja na chuo ni mhitimu wa SUA GPA ni 3.8 uppers second class. Jamii yyte hata afya ama injinia wapo na vilaza ambayo dr. Mwinyi kawatimua juzi tu.
Unahisi kwa nini wahasibu au madaktari hawajaomba hizo kazi za sensa?Tena za kukosa ukarani wa sensa kisa walimu wameomba.
IQ ipo low sanaKama Kuna mambo yana sababisha walimu kuchukiwa ni kuomba hizi kazi za sensa na uchaguzi.Kila inapofikia kipindi hiki chuki zinaonekana wazi.Ila hata kada zingine wanaomba shida ni uwingi Wa walimu.Ukimuuliza vizuri mtoa mada ni kwanini anachuki na walimu utashangaa sababu zake zisizo na msingi.
Walimu walionifundisha miaka hiyo Wana akili sana, hapa nazungumzia hawa wa Sasa Hawa wanaoitwa mwendokasiMtu aliyekufundisha kusoma na kuandika leo unamletea dharau Sad
Ooh, Okay.Option nzuri ni kuwadunisha kisaikolojia kupitia training na practice.
Nimecheka sanaaaaNapigia msumari.
Walimu wanahitaji maombi.
Hivi kuna mtu mwenye akili timamu anaweza kumpiga mteja wake?
Mwalimu ndiye mfanyabiashara pekee anayemdunda mteja wake
Hatuwaachi mpaka mbadilikeMna mitazamo ya kitoto sana ambayo bila shaka haiwasaidii sana.Why shouldnt you mind your own biz..
Mkuu nakuja inbox unipe Mbinu.Nilikuwa mwalimu pale mawe matatu Misungwi, nikaona ualimu ni ukuda, nikaacha.
Na hapo kuna mobile banking, Ila bado wanakimbilia ATM kuangalia salioLeo kwenye atm na maeneo around ya benki kulikuwa na watu wengi sana nikasema kuna ugeni nini au semina
Ila nilivyoona wengi wamevaa suruali za vitambaa na mashati ya drafti wamechomekea baadhi na baada ya kusoma huu uzi nimejua [emoji16]
..
Sio utani ni kweli
Ila cha kujiuliza kwa nini wengine hawadharauliki ni nyinyi tu ? Shida iko wapi ?
Bora na nyie mseme huu ukwelijambo kubwa ninalosikitika ni kwamba, nimefundishwa na waalimu, walinivumilia sana. lakini ukweli usiopingika ni kwamba, waalimu wana uelewe mdogo sana, wana roho mbaya sana na kamwe hawatakuja kujikwamua. ninasema hivi kwasababu pamoja na kuwepo ukweli huu, sina ujasiri kuwaambia hivyo kwasababu wao wanasema mimi nisingefika hapa bila wao. tuendelee tu kuwafariji.
Mbinu nikwenda kusomea cada nyingine labda utumishi au business administration au itMkuu nakuja inbox unipe Mbinu.
IQ yenu ni ndogo sanaLegacy za Magufuli hizii!
Kwa hiyo hata bosi wako Majaliwa ambaye ukimuona tu unatamani kumlamba miguu naye hajitambui siyo!Hatuwaachi mpaka mbadilike
Mimi na kazi ya sensa wapi na wapi?Wamemkosesha kazi ya ukarani wa sensa. Maisha ni magumu sana. Tuvumilianeni tu maana hakuna namna!
Badala ya kuelekeza chuki kwenye kiini cha tatizo yeye anashambulia walimu. Majitu huko juu yanapiga trillions hayafanywi kitu lakini masikini huku wanachukiana kisa shilingi elfu ishirini kwa siku...
Mahela yanayopigwa na mafisadi huko yangetumika vyema yangeweza kuinua hali ya maisha ya watu wetu na kuondoa hizi chuki za kimasikini!
Inahuzunisha sana!
Mental case hiyo...achana nayoKwa hiyo hata bosi wako Majaliwa ambaye ukimuona tu unatamani kumlamba miguu naye hajitambui siyo!
Na yule marehemu unayemsujudi mpaka kesho naye alikuwa hajitambui?
Na Kuna kuwabadilisha itachukua muda sanaMi sina shida na walimu ila wamejisahau sana ikifika meimosi huwa wanaamini ile ni siku special kwaajili yao tu na siyo watu wengine, na kwenye mbio za mwenge wanashona sare za vitenge
Ungekuwa una IQ kubwa na unajitambua kweli! ungekuwa kada wa ccm?IQ yenu ni ndogo sana
Uzuri watu wengi wamekiri kuwa hamna akiliUna mimba changa itakuwa inakusumbua wewe. Siyo bure. Hapo ulipo utakuwa unajisikia tu kichefu chefu na malimao yako.
Majaliwa ana akili nyingi mnooo, na aliondoka huko kwenye ualimu miaka mingi.Kwa hiyo hata bosi wako Majaliwa ambaye ukimuona tu unatamani kumlamba miguu naye hajitambui siyo!
Na yule marehemu unayemsujudi mpaka kesho naye alikuwa hajitambui?