Kunyweni sumu wote mliochukizwa na kazi za awamu ya tano

Kunyweni sumu wote mliochukizwa na kazi za awamu ya tano

Mliochukizwa na ununuzi wa ndege, kunyweni sumu

Mliochukizwa na upanuzi wa bandari na viwanja vya ndege, kunyweni sumu ya panya

Mliochukizwa na ujenzi wa reli mnywe sumu, mliochukizwa na ujenzi wa bwawa la umeme Rufiji, mnangoja nini kunywa sumu.?

Mliochukizwa na flyover Dar kwa nini msinywe sumu maana hazitoweki Leo hizo

Ujenzi wa vituo vya afya nchi nzima, nawashauri mnywe sumu ili msizione maana zinawapa kero

Mliochukizwa na kubanwa kwa wauza ngada, kunyweni sumu!

Mliochukizwa na ujenzi wa hospital ya kimataifa kule chatto mnangoja nini kunywa sumu maana ile hospital IPO tuu miaka na miaka itawakera mno, kwa nini mruhusu presha badala ya kunywa u ili msiione?

Ambao mlichukizwa na ujenzi barabara njia nane ubungo to Kibaha, jamani, hivi nyinyi mnangoja nini kunywa sumu?

Madaraja ya Busisi, Wami n.k, kwa nini mnaruhusu chuki ndani yenu ili hali mnapitia kwenye hizo daraja, kunyweni sumu ili msiyaone tena!

Huo ni ushauri wa buule kabisa!!

La sivyo, mnyamaze na muone kawaida kwa mtanzania mmoja akifanya mazuri tujivunie, hata nyinyi mnazo nafasi za kufanya vizuri!
Hujaelewa kwanini watu waliichukia awamu ya 5, si kwasababu walijenga madaraja, etc, etc, bali ni kwa jinsi walivyokuwa na ubaguzi wa kikabila, uonevu na ukatili mkubwa kwa watu. Kuna watu wengi walidhulumiwa na kuuwawa, wewe unakubaliana na haya? Labda kwasababu za kisiasa na kupenda kujinufaisha binafsi hata kwa kumwaga damu ya wengine. Awamu ya 5 ilikuwa ya kishenzi kabisa.
 
Naongezea, zilianza tangu awamu ya nne
Lipi bora, ni kubaki mipango tuu bila utekerezaji ama kufanyiwa kazi?

Ikiwa ni vibaya mipango ya awamu ya NNE kutekerezwa kwenye awamu tano, kanywe sumu
 
... wako eda ya milele hao achana nao! Ole ni wake amtegemeaye mwanadamu!
Kazi zako zikinigusa na kuwa ni njema na zenye manufaa kwa jamii, nitakupongeza hata ukifa ila stakuabudu kibudu wewe, unanafasi ya kufanya mazuri kuliko hayati JPM kwa kuwa wewe bado u hai, kama huna zuri, acha tujivunie kazi za mwenda zake!

Ukiwa na wivu, kunywa sumu
 
Mliochukizwa na ununuzi wa ndege, kunyweni sumu

Mliochukizwa na upanuzi wa bandari na viwanja vya ndege, kunyweni sumu ya panya

Mliochukizwa na ujenzi wa reli mnywe sumu, mliochukizwa na ujenzi wa bwawa la umeme Rufiji, mnangoja nini kunywa sumu.?

Mliochukizwa na flyover Dar kwa nini msinywe sumu maana hazitoweki Leo hizo

Ujenzi wa vituo vya afya nchi nzima, nawashauri mnywe sumu ili msizione maana zinawapa kero

Mliochukizwa na kubanwa kwa wauza ngada, kunyweni sumu!

Mliochukizwa na ujenzi wa hospital ya kimataifa kule chatto mnangoja nini kunywa sumu maana ile hospital IPO tuu miaka na miaka itawakera mno, kwa nini mruhusu presha badala ya kunywa u ili msiione?

Ambao mlichukizwa na ujenzi barabara njia nane ubungo to Kibaha, jamani, hivi nyinyi mnangoja nini kunywa sumu?

Madaraja ya Busisi, Wami n.k, kwa nini mnaruhusu chuki ndani yenu ili hali mnapitia kwenye hizo daraja, kunyweni sumu ili msiyaone tena!

Huo ni ushauri wa buule kabisa!!

La sivyo, mnyamaze na muone kawaida kwa mtanzania mmoja akifanya mazuri tujivunie, hata nyinyi mnazo nafasi za kufanya vizuri!

Mbona ndege zilinunuliwa hata kipindi Cha Nyerere awamu ya kwanza. Tusiongee Kama vile Tanzania ilipata Uhuru mwaka 2015.
 
Mliochukizwa na ununuzi wa ndege, kunyweni sumu

Mliochukizwa na upanuzi wa bandari na viwanja vya ndege, kunyweni sumu ya panya

Mliochukizwa na ujenzi wa reli mnywe sumu, mliochukizwa na ujenzi wa bwawa la umeme Rufiji, mnangoja nini kunywa sumu.?

Mliochukizwa na flyover Dar kwa nini msinywe sumu maana hazitoweki Leo hizo

Ujenzi wa vituo vya afya nchi nzima, nawashauri mnywe sumu ili msizione maana zinawapa kero

Mliochukizwa na kubanwa kwa wauza ngada, kunyweni sumu!

Mliochukizwa na ujenzi wa hospital ya kimataifa kule chatto mnangoja nini kunywa sumu maana ile hospital IPO tuu miaka na miaka itawakera mno, kwa nini mruhusu presha badala ya kunywa u ili msiione?

Ambao mlichukizwa na ujenzi barabara njia nane ubungo to Kibaha, jamani, hivi nyinyi mnangoja nini kunywa sumu?

Madaraja ya Busisi, Wami n.k, kwa nini mnaruhusu chuki ndani yenu ili hali mnapitia kwenye hizo daraja, kunyweni sumu ili msiyaone tena!

Huo ni ushauri wa buule kabisa!!

La sivyo, mnyamaze na muone kawaida kwa mtanzania mmoja akifanya mazuri tujivunie, hata nyinyi mnazo nafasi za kufanya vizuri!
IMG-20220420-WA0443.jpg
 
Kazi zako zikinigusa na kuwa ni njema na zenye manufaa kwa jamii, nitakupongeza hata ukifa ila stakuabudu kibudu wewe, unanafasi ya kufanya mazuri kuliko hayati JPM kwa kuwa wewe bado u hai, kama huna zuri, acha tujivunie kazi za mwenda zake!

Ukiwa na wivu, kunywa sumu

Watu walifanya sherehe baada ya dictator kufa. Uhai wa mtu Ni muhimu kuliko hayo ma mabarabara, unaua watu unajificha kwa kujenga flying bridge ili usifiwe.
 
Kazi zako zikinigusa na kuwa ni njema na zenye manufaa kwa jamii, nitakupongeza hata ukifa ila stakuabudu kibudu wewe, unanafasi ya kufanya mazuri kuliko hayati JPM kwa kuwa wewe bado u hai, kama huna zuri, acha tujivunie kazi za mwenda zake!

Ukiwa na wivu, kunywa sumu
... yule ambaye mikono yake ilijaa damu? Ndio huyo wa kupongeza? Unapoteza muda wako.
 
Unajua kipindupindu cha ccm kimeuaxwatz wangapi ? Hadi jpm alipo shika nchi na kukikomesha

JPM anatakiwa kushitakiwa kwa mauaji ya been saanane,Azory Gwanda na kushambuliwa kwa Lissu. Bora aliondoka yule muuaji mkubwa. Damu ya Sanane ipo juu yake.
 
Back
Top Bottom