Paulsylvester
JF-Expert Member
- Oct 15, 2021
- 1,464
- 3,379
- Thread starter
- #21
Ni wengi kuliko wafuatizi misukule ya chadema na ACTMarehemu hajawahi kuwa na wapambe , nyinyi mnapata wapi ujasiri huo ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni wengi kuliko wafuatizi misukule ya chadema na ACTMarehemu hajawahi kuwa na wapambe , nyinyi mnapata wapi ujasiri huo ?
Kanywe sumu, hapo napo unahitaji hoja?Mna hoja nyepesi sana katika maswala magumu. Lakini mtapotea wote kama alivyopotea mungu wenu.
Hujaelewa kwanini watu waliichukia awamu ya 5, si kwasababu walijenga madaraja, etc, etc, bali ni kwa jinsi walivyokuwa na ubaguzi wa kikabila, uonevu na ukatili mkubwa kwa watu. Kuna watu wengi walidhulumiwa na kuuwawa, wewe unakubaliana na haya? Labda kwasababu za kisiasa na kupenda kujinufaisha binafsi hata kwa kumwaga damu ya wengine. Awamu ya 5 ilikuwa ya kishenzi kabisa.Mliochukizwa na ununuzi wa ndege, kunyweni sumu
Mliochukizwa na upanuzi wa bandari na viwanja vya ndege, kunyweni sumu ya panya
Mliochukizwa na ujenzi wa reli mnywe sumu, mliochukizwa na ujenzi wa bwawa la umeme Rufiji, mnangoja nini kunywa sumu.?
Mliochukizwa na flyover Dar kwa nini msinywe sumu maana hazitoweki Leo hizo
Ujenzi wa vituo vya afya nchi nzima, nawashauri mnywe sumu ili msizione maana zinawapa kero
Mliochukizwa na kubanwa kwa wauza ngada, kunyweni sumu!
Mliochukizwa na ujenzi wa hospital ya kimataifa kule chatto mnangoja nini kunywa sumu maana ile hospital IPO tuu miaka na miaka itawakera mno, kwa nini mruhusu presha badala ya kunywa u ili msiione?
Ambao mlichukizwa na ujenzi barabara njia nane ubungo to Kibaha, jamani, hivi nyinyi mnangoja nini kunywa sumu?
Madaraja ya Busisi, Wami n.k, kwa nini mnaruhusu chuki ndani yenu ili hali mnapitia kwenye hizo daraja, kunyweni sumu ili msiyaone tena!
Huo ni ushauri wa buule kabisa!!
La sivyo, mnyamaze na muone kawaida kwa mtanzania mmoja akifanya mazuri tujivunie, hata nyinyi mnazo nafasi za kufanya vizuri!
Naongezea, zilianza tangu awamu ya nneNikusahihishe hapo Kweny flyover, Tanzania hatuna flyover. Tuna flying bridge pale tazara na ubungo!! Tembelea hapa jiran Kenya utajua flyover zikoje!!
... wako eda ya milele hao achana nao! Ole ni wake amtegemeaye mwanadamu!Wanywe sumu? Wakati kidudu mtu keshafariki? Huu ni muda wa kula Bata.
Nyie wenye majonzi yasiyoisha ndio mnywe sumu
Lipi bora, ni kubaki mipango tuu bila utekerezaji ama kufanyiwa kazi?Naongezea, zilianza tangu awamu ya nne
Kazi zako zikinigusa na kuwa ni njema na zenye manufaa kwa jamii, nitakupongeza hata ukifa ila stakuabudu kibudu wewe, unanafasi ya kufanya mazuri kuliko hayati JPM kwa kuwa wewe bado u hai, kama huna zuri, acha tujivunie kazi za mwenda zake!... wako eda ya milele hao achana nao! Ole ni wake amtegemeaye mwanadamu!
Hili daraja liko wapi nikapite hapo leo?Wami n.k
Mliochukizwa na ununuzi wa ndege, kunyweni sumu
Mliochukizwa na upanuzi wa bandari na viwanja vya ndege, kunyweni sumu ya panya
Mliochukizwa na ujenzi wa reli mnywe sumu, mliochukizwa na ujenzi wa bwawa la umeme Rufiji, mnangoja nini kunywa sumu.?
Mliochukizwa na flyover Dar kwa nini msinywe sumu maana hazitoweki Leo hizo
Ujenzi wa vituo vya afya nchi nzima, nawashauri mnywe sumu ili msizione maana zinawapa kero
Mliochukizwa na kubanwa kwa wauza ngada, kunyweni sumu!
Mliochukizwa na ujenzi wa hospital ya kimataifa kule chatto mnangoja nini kunywa sumu maana ile hospital IPO tuu miaka na miaka itawakera mno, kwa nini mruhusu presha badala ya kunywa u ili msiione?
Ambao mlichukizwa na ujenzi barabara njia nane ubungo to Kibaha, jamani, hivi nyinyi mnangoja nini kunywa sumu?
Madaraja ya Busisi, Wami n.k, kwa nini mnaruhusu chuki ndani yenu ili hali mnapitia kwenye hizo daraja, kunyweni sumu ili msiyaone tena!
Huo ni ushauri wa buule kabisa!!
La sivyo, mnyamaze na muone kawaida kwa mtanzania mmoja akifanya mazuri tujivunie, hata nyinyi mnazo nafasi za kufanya vizuri!
Magufuli the greatest!
Sasa mbona unachuki zikinunuliwa awamu ya tano...! Kunywa sumu sasaMbona ndege zilinunuliwa hata kipindi Cha Nyerere awamu ya kwanza. Tusiongee Kama vile Tanzania ilipata Uhuru mwaka 2015.
Unajua kipindupindu cha ccm kimeuaxwatz wangapi ? Hadi jpm alipo shika nchi na kukikomeshaTulichukizwa na mauaji tufanye?
Elekea Tanga na Arusha mkuu utalipata!Hili daraja liko wapi nikapite hapo leo?
Hongera JPM
Kama wapo waliochukizwa, wanye sumu mkuuKiwanja cha chato
JPM baba lao.
Mliochukizwa na ununuzi wa ndege, kunyweni sumu
Mliochukizwa na upanuzi wa bandari na viwanja vya ndege, kunyweni sumu ya panya
Mliochukizwa na ujenzi wa reli mnywe sumu, mliochukizwa na ujenzi wa bwawa la umeme Rufiji, mnangoja nini kunywa sumu.?
Mliochukizwa na flyover Dar kwa nini msinywe sumu maana hazitoweki Leo hizo
Ujenzi wa vituo vya afya nchi nzima, nawashauri mnywe sumu ili msizione maana zinawapa kero
Mliochukizwa na kubanwa kwa wauza ngada, kunyweni sumu!
Mliochukizwa na ujenzi wa hospital ya kimataifa kule chatto mnangoja nini kunywa sumu maana ile hospital IPO tuu miaka na miaka itawakera mno, kwa nini mruhusu presha badala ya kunywa u ili msiione?
Ambao mlichukizwa na ujenzi barabara njia nane ubungo to Kibaha, jamani, hivi nyinyi mnangoja nini kunywa sumu?
Madaraja ya Busisi, Wami n.k, kwa nini mnaruhusu chuki ndani yenu ili hali mnapitia kwenye hizo daraja, kunyweni sumu ili msiyaone tena!
Huo ni ushauri wa buule kabisa!!
La sivyo, mnyamaze na muone kawaida kwa mtanzania mmoja akifanya mazuri tujivunie, hata nyinyi mnazo nafasi za kufanya vizuri!
Kazi zako zikinigusa na kuwa ni njema na zenye manufaa kwa jamii, nitakupongeza hata ukifa ila stakuabudu kibudu wewe, unanafasi ya kufanya mazuri kuliko hayati JPM kwa kuwa wewe bado u hai, kama huna zuri, acha tujivunie kazi za mwenda zake!
Ukiwa na wivu, kunywa sumu
... yule ambaye mikono yake ilijaa damu? Ndio huyo wa kupongeza? Unapoteza muda wako.Kazi zako zikinigusa na kuwa ni njema na zenye manufaa kwa jamii, nitakupongeza hata ukifa ila stakuabudu kibudu wewe, unanafasi ya kufanya mazuri kuliko hayati JPM kwa kuwa wewe bado u hai, kama huna zuri, acha tujivunie kazi za mwenda zake!
Ukiwa na wivu, kunywa sumu
Unajua kipindupindu cha ccm kimeuaxwatz wangapi ? Hadi jpm alipo shika nchi na kukikomesha