Kunyweni sumu wote mliochukizwa na kazi za awamu ya tano

Kunyweni sumu wote mliochukizwa na kazi za awamu ya tano

Wenye chuki walikunywa sumu na kuondoka 17 March 2021.
Mliochukizwa na ununuzi wa ndege, kunyweni sumu

Mliochukizwa na upanuzi wa bandari na viwanja vya ndege, kunyweni sumu ya panya

Mliochukizwa na ujenzi wa reli mnywe sumu, mliochukizwa na ujenzi wa bwawa la umeme Rufiji, mnangoja nini kunywa sumu.?

Mliochukizwa na flyover Dar kwa nini msinywe sumu maana hazitoweki Leo hizo

Ujenzi wa vituo vya afya nchi nzima, nawashauri mnywe sumu ili msizione maana zinawapa kero

Mliochukizwa na kubanwa kwa wauza ngada, kunyweni sumu!

Mliochukizwa na ujenzi wa hospital ya kimataifa kule chatto mnangoja nini kunywa sumu maana ile hospital IPO tuu miaka na miaka itawakera mno, kwa nini mruhusu presha badala ya kunywa u ili msiione?

Ambao mlichukizwa na ujenzi barabara njia nane ubungo to Kibaha, jamani, hivi nyinyi mnangoja nini kunywa sumu?

Madaraja ya Busisi, Wami n.k, kwa nini mnaruhusu chuki ndani yenu ili hali mnapitia kwenye hizo daraja, kunyweni sumu ili msiyaone tena!

Huo ni ushauri wa buule kabisa!!

La sivyo, mnyamaze na muone kawaida kwa mtanzania mmoja akifanya mazuri tujivunie, hata nyinyi mnazo nafasi za kufanya vizuri!
 
Hujaelewa kwanini watu waliichukia awamu ya 5, si kwasababu walijenga madaraja, etc, etc, bali ni kwa jinsi walivyokuwa na ubaguzi wa kikabila, uonevu na ukatili mkubwa kwa watu. Kuna watu wengi walidhulumiwa na kuuwawa, wewe unakubaliana na haya? Labda kwasababu za kisiasa na kupenda kujinufaisha binafsi hata kwa kumwaga damu ya wengine. Awamu ya 5 ilikuwa ya kishenzi kabisa.
JPM alifanikiwa kuwateka watu wenye upeo mdogo kwa kuwadanganya na kuwaaminisha kuwa adui yao ni mfumo wa serikali na awamu zizopita za uongozi ! Akawadhalilisha watumishi wa serikali na kuvuruga taratibu zote za uendeshaji ikiwa ni pamoja na katiba ili aweze kuongoza kiholela na kutumia rasimali za nchi kama ya familia yake. Alitunga sheria ya kuwalinda watu wake waliomsaidia kuvunja sheria na katiba. Alikuwa njiani kubadilisha katiba ili asiache madaraka baada ya miaka kumi.

Kuelekea uchaguzi 2020 yeye na wafuasi wake walijiamini sana kuwa 'wanyonge' wako upande wao. Hata hivyo alipokwenda kwenye kampeni kanda ya ziwa alipopaamini kuwa ni ngome yake, alianza kulegea pale ilipolazimu kutumia malori kupeleka watu kwenye mikutano yake ya kampeni kinyume kabisa na matarajio. Kagera alikataliwa waziwazi.
Kuelekea nyanda za juu kusini ilibidi atembee kwa magoti ingawa haikusaidia.

Wakati huo huo mshindani wake mwenye upeo mkubwa na msomi wa kweli alikuwa ameanza kupangua na kubomoa uongo wote aliowadanganya hao 'wanyonge' kwa miaka 5 ambayo amezuia mikutano ya hadhara na kubaki peke yake kwenye majukwaa ya siasa. Mwisho wa siku, katika hali isiyotarajiwa yeye mwenyewe alianza kukiri jukwaani kuwa mambo mengine aliyokuwa akihubiri yalikuwa uongo. Alikata tamaa na kushindwa kabisa kwenda mikoa ya kusini. Wakaja na sarakasi za kumzuia mshindani wake naye asifanye kampeni mikoa ya kusini! Kwa sababu JK alishaweka precedence ya kuvuruga uchaguzi Zanzibar basi naye akapitia uchochoro huo.
 
na nyie wa awamu ya 5 mnayoimalizia jengeni legacy yenu.
Hao ndiyo tatizo kubwa kwanza hawakati kukubali awamu ya 6 bado so, wakielewa hiyo na kukamilisha ya legendary basi waanze na yao then tuanze kuchuja soya ni ipi na pumba ni ipi.
 
Ni wengi kuliko wafuatizi misukule ya chadema na ACT

Tatizo lenu mnaishambulia chadema ambayo haipo kwenye maamuzi ya nchi. Ila niwaambie atakaye wapiga na kuwafuta kwenye ramani sio chadema bali ni wenye mamlaka.

Endeleni na ujinga wa dictator alitumia nguvu nyingi kupambana na chadema lakini mwisho wa siku wanaomgeuka Ni wengine.
 
Lipi bora, ni kubaki mipango tuu bila utekerezaji ama kufanyiwa kazi?

Ikiwa ni vibaya mipango ya awamu ya NNE kutekerezwa kwenye awamu tano, kanywe sumu

Sasa unamsifu aliyekuja na mipango au aliyekuta mipango ipo?. Mimi nilishangaa hata Terminal ilikuwa mpango wa awamu ya nne lakini watu wamekimbilia Ni awamu ya tano.
 
JPM alifanikiwa kuwateka watu wenye upeo mdogo kwa kuwadanganya na kuwaaminisha kuwa adui yao ni mfumo wa serikali na awamu zizopita za uongozi ! Akawadhalilisha watumishi wa serikali na kuvuruga taratibu zote za uendeshaji ikiwa ni pamoja na katiba ili aweze kuongoza kiholela na kutumia rasimali za nchi kama ya familia yake. Alitunga sheria ya kuwalinda watu wake waliomsaidia kuvunja sheria na katiba. Alikuwa njiani kubadilisha katiba ili asiache madaraka baada ya miaka kumi.

Kuelekea uchaguzi 2020 yeye na wafuasi wake walijiamini sana kuwa 'wanyonge' wako upande wao. Hata hivyo alipokwenda kwenye kampeni kanda ya ziwa alipopaamini kuwa ni ngome yake, alianza kulegea pale ilipolazimu kutumia malori kupeleka watu kwenye mikutano yake ya kampeni kinyume kabisa na matarajio. Kagera alikataliwa waziwazi.
Kuelekea nyanda za juu kusini ilibidi atembee kwa magoti ingawa haikusaidia.

Wakati huo huo mshindani wake mwenye upeo mkubwa na msomi wa kweli alikuwa ameanza kupangua na kubomoa uongo wote aliowadanganya hao 'wanyonge' kwa miaka 5 ambayo amezuia mikutano ya hadhara na kubaki peke yake kwenye majukwaa ya siasa. Mwisho wa siku, katika hali isiyotarajiwa yeye mwenyewe alianza kukiri jukwaani kuwa mambo mengine aliyokuwa akihubiri yalikuwa uongo. Alikata tamaa na kushindwa kabisa kwenda mikoa ya kusini. Wakaja na sarakasi za kumzuia mshindani wake naye asifanye kampeni mikoa ya kusini! Kwa sababu JK alishaweka precedence ya kuvuruga uchaguzi Zanzibar basi naye akapitia uchochoro huo.
Wengi wa wanaopinga nguvu na ujenzi Mkubwa wa Nchi yetu kupitia awamu ya tano wamejificha kwenye mitandao na mmoja wao ni wewe!

Lakini acha iwe hivyo kwa sababu si rahisi kukutana na MTU ukamwambia ukweli kwamba, nawewe eti unamchukia huyu mwamba kwa sababu vyeti vyako vilikuwa feki, ama ulikuwa muuza ngada na au fisadi

Ni vigumu kujitambulisha hivyo mbele ya watu wema, kaa na kinyongo chako cha kijinga, ni Nani alikuambia sifa nzuri ni kuwa fisadi, muuza ngada au vyeti feki?
 
Mliochukizwa na ununuzi wa ndege, kunyweni sumu

Mliochukizwa na upanuzi wa bandari na viwanja vya ndege, kunyweni sumu ya panya

Mliochukizwa na ujenzi wa reli mnywe sumu, mliochukizwa na ujenzi wa bwawa la umeme Rufiji, mnangoja nini kunywa sumu.?

Mliochukizwa na flyover Dar kwa nini msinywe sumu maana hazitoweki Leo hizo

Ujenzi wa vituo vya afya nchi nzima, nawashauri mnywe sumu ili msizione maana zinawapa kero

Mliochukizwa na kubanwa kwa wauza ngada, kunyweni sumu!

Mliochukizwa na ujenzi wa hospital ya kimataifa kule chatto mnangoja nini kunywa sumu maana ile hospital IPO tuu miaka na miaka itawakera mno, kwa nini mruhusu presha badala ya kunywa u ili msiione?

Ambao mlichukizwa na ujenzi barabara njia nane ubungo to Kibaha, jamani, hivi nyinyi mnangoja nini kunywa sumu?

Madaraja ya Busisi, Wami n.k, kwa nini mnaruhusu chuki ndani yenu ili hali mnapitia kwenye hizo daraja, kunyweni sumu ili msiyaone tena!

Huo ni ushauri wa buule kabisa!!

La sivyo, mnyamaze na muone kawaida kwa mtanzania mmoja akifanya mazuri tujivunie, hata nyinyi mnazo nafasi za kufanya vizuri!
Mambo gani ya maana yanayofunika wizi na ubadhirifu uliofanywa na TanRoads chini ya Mwendakuzimu
Soma ripoti CAG uone wizi mkubwa uliofanyika kwa kisingizio Cha miradi mikubwa.
 
JPM anatakiwa kushitakiwa kwa mauaji ya been saanane,Azory Gwanda na kushambuliwa kwa Lissu. Bora aliondoka yule muuaji mkubwa. Damu ya Sanane ipo juu yake.
Mjinga wewe, Beni SAA nane nenda kwa kubenea atakwambia kuwa Mara ya mwisho kuonekana huyo mtanzania mwenzetu alikuwa na M/kiti wake!

Gazeti lake liliripoti hivyo
 
Mambo gani ya maana yanayofunika wizi na ubadhirifu uliofanywa na TanRoads chini ya Mwendakuzimu
Soma ripoti CAG uone wizi mkubwa uliofanyika kwa kisingizio Cha miradi mikubwa.
Njoo na hoja mjinga wewe!
 
Mliochukizwa na ununuzi wa ndege, kunyweni sumu

Mliochukizwa na upanuzi wa bandari na viwanja vya ndege, kunyweni sumu ya panya

Mliochukizwa na ujenzi wa reli mnywe sumu, mliochukizwa na ujenzi wa bwawa la umeme Rufiji, mnangoja nini kunywa sumu.?

Mliochukizwa na flyover Dar kwa nini msinywe sumu maana hazitoweki Leo hizo

Ujenzi wa vituo vya afya nchi nzima, nawashauri mnywe sumu ili msizione maana zinawapa kero

Mliochukizwa na kubanwa kwa wauza ngada, kunyweni sumu!

Mliochukizwa na ujenzi wa hospital ya kimataifa kule chatto mnangoja nini kunywa sumu maana ile hospital IPO tuu miaka na miaka itawakera mno, kwa nini mruhusu presha badala ya kunywa u ili msiione?

Ambao mlichukizwa na ujenzi barabara njia nane ubungo to Kibaha, jamani, hivi nyinyi mnangoja nini kunywa sumu?

Madaraja ya Busisi, Wami n.k, kwa nini mnaruhusu chuki ndani yenu ili hali mnapitia kwenye hizo daraja, kunyweni sumu ili msiyaone tena!

Huo ni ushauri wa buule kabisa!!

La sivyo, mnyamaze na muone kawaida kwa mtanzania mmoja akifanya mazuri tujivunie, hata nyinyi mnazo nafasi za kufanya vizuri!
Mkuu vipi tukuunge na Hadija kopa utoe single maana si kwa mashushu hayo, kama mtoto wa kike duh!
by the way usajiri wa Chama unaendeleaje?
 
Kama wewe unachukia kwa kusemwa kwake kwa maovu aliyofanya nenda kasage chupa, weka na sumu ya panya, korogea na DDT kunywa kafie mbali ukaungane nae kule mkijutia uovu wenu!
 
Back
Top Bottom