Kunyweni sumu wote mliochukizwa na kazi za awamu ya tano

Kunyweni sumu wote mliochukizwa na kazi za awamu ya tano

Nikusahihishe hapo Kweny flyover, Tanzania hatuna flyover. Tuna flying bridge pale tazara na ubungo!! Tembelea hapa jiran Kenya utajua flyover zikoje!!
Pia ile ni miradi aliyoianzisha JK, sema mzee JK hataki kujigamba, Ubungo na Mfugale ni kazi ya JK
 
Mliochukizwa na ununuzi wa ndege, kunyweni sumu

Mliochukizwa na upanuzi wa bandari na viwanja vya ndege, kunyweni sumu ya panya

Mliochukizwa na ujenzi wa reli mnywe sumu, mliochukizwa na ujenzi wa bwawa la umeme Rufiji, mnangoja nini kunywa sumu.?

Mliochukizwa na flyover Dar kwa nini msinywe sumu maana hazitoweki Leo hizo

Ujenzi wa vituo vya afya nchi nzima, nawashauri mnywe sumu ili msizione maana zinawapa kero

Mliochukizwa na kubanwa kwa wauza ngada, kunyweni sumu!

Mliochukizwa na ujenzi wa hospital ya kimataifa kule chatto mnangoja nini kunywa sumu maana ile hospital IPO tuu miaka na miaka itawakera mno, kwa nini mruhusu presha badala ya kunywa u ili msiione?

Ambao mlichukizwa na ujenzi barabara njia nane ubungo to Kibaha, jamani, hivi nyinyi mnangoja nini kunywa sumu?

Madaraja ya Busisi, Wami n.k, kwa nini mnaruhusu chuki ndani yenu ili hali mnapitia kwenye hizo daraja, kunyweni sumu ili msiyaone tena!

Huo ni ushauri wa buule kabisa!!

La sivyo, mnyamaze na muone kawaida kwa mtanzania mmoja akifanya mazuri tujivunie, hata nyinyi mnazo nafasi za kufanya vizuri!
Nyie ndo mnywe sumu ili mkifa mzikwe na mwendazake pumbafu
 
Nyie ndo mnywe sumu ili mkifa mzikwe na mwendazake pumbafu
Sisi tunazipenda kazi zake, sasa kwenu mliochukizwa na kazi zake na bahati mbaya kabisa kazi zake zingine zinadumu hadi kizazi cha tano huko, na nyie hamtaki kuziona, kwa nini Msivywe sumu
 
Mliochukizwa na ununuzi wa ndege, kunyweni sumu

Mliochukizwa na upanuzi wa bandari na viwanja vya ndege, kunyweni sumu ya panya

Mliochukizwa na ujenzi wa reli mnywe sumu, mliochukizwa na ujenzi wa bwawa la umeme Rufiji, mnangoja nini kunywa sumu.?

Mliochukizwa na flyover Dar kwa nini msinywe sumu maana hazitoweki Leo hizo

Ujenzi wa vituo vya afya nchi nzima, nawashauri mnywe sumu ili msizione maana zinawapa kero

Mliochukizwa na kubanwa kwa wauza ngada, kunyweni sumu!

Mliochukizwa na ujenzi wa hospital ya kimataifa kule chatto mnangoja nini kunywa sumu maana ile hospital IPO tuu miaka na miaka itawakera mno, kwa nini mruhusu presha badala ya kunywa u ili msiione?

Ambao mlichukizwa na ujenzi barabara njia nane ubungo to Kibaha, jamani, hivi nyinyi mnangoja nini kunywa sumu?

Madaraja ya Busisi, Wami n.k, kwa nini mnaruhusu chuki ndani yenu ili hali mnapitia kwenye hizo daraja, kunyweni sumu ili msiyaone tena!

Huo ni ushauri wa buule kabisa!!

La sivyo, mnyamaze na muone kawaida kwa mtanzania mmoja akifanya mazuri tujivunie, hata nyinyi mnazo nafasi za kufanya vizuri!
Hatunywi sumu mkuu. Hatujachukia ila kwa maumivu haya tunafikiria kwenda Burundi kama tulivyoambiwa tuwaachie wenyewe nchi yao!!!!
 
Back
Top Bottom