Kunyweni sumu wote mliochukizwa na kazi za awamu ya tano

Mabaya yaliyofanyika awamu yake yaachwe yale yote mema yaliyofanyika yaendelezwe !!! Ni hivyo tu !! Jinai huwa haifi waliotenda makosa basi wapelekwe mahakamani !! Matusi na malumbano hayasaidii kitu !!
 
Sumu hatunywi na spana tunaendelea kupiga kama Kawa. Ila nyie mmaempenda DIKTETA wa Chato nendeni mkachimbe makaburi Chato muzikwe karibu yake
 
Ambao walipiga shangwe kuua kwa Ben Sanane, kupigwa risasi TAL , mauaji ya Rufiji,kumpoteza Azaryo , watu kuokotwa kwenye viroba na ukatali waina yote wa Nduli wa Burigi aka baki namavi yako aka kichaa anywe MAVI
 
Haswa! Wasisubiri hadi jua likazama.
 
Mabaya yaliyofanyika awamu yake yaachwe yale yote mema yaliyofanyika yaendelezwe !!! Ni hivyo tu !! Jinai huwa haifi waliotenda makosa basi wapelekwe mahakamani !! Matusi na malumbano hayasaidii kitu !!
Ainisha matusi hapa..kumbuka jamii ni watu..na vizazi ni watu at different times " tenda mema vizazi vyote vikukumbuke na sivinginevo.
 
Mjinga wewe, Beni SAA nane nenda kwa kubenea atakwambia kuwa Mara ya mwisho kuonekana huyo mtanzania mwenzetu alikuwa na M/kiti wake!

Gazeti lake liliripoti hivyo

Mjinga mwenyewe pumbafu mkubwa. Leo ndio mnaona magazeti ya Kubenea yanasema ukweli?. Kama yanasema ukweli mliyafungia ya Nini?.

Teteeni ujinga ila yakiwatokea msilalamike mbele za watu Kama makonda anavolia kuwa anataka kuuawa. Cha muhimu auae kwa upanga atakufa kwa upanga, damu ya Saanane imeshalipiwa tayari kwa hayawani kufariki.
 
Mjinga wewe, Beni SAA nane nenda kwa kubenea atakwambia kuwa Mara ya mwisho kuonekana huyo mtanzania mwenzetu alikuwa na M/kiti wake!

Gazeti lake liliripoti hivyo

Jiheshimu usiniletee tabia za Magufuli za kutukana watu hovyo. Nani kakutukana?. Ndio shida yenu mnalazimisha uongo kuwa kweli. Tutaujua ukweli tu, maana muuaji na jambazi kuu kafariki. Damu ya Saanane itamwandama hata huko kaburini.
 
Watetezi wakubwa wa JPM humu pengine hawakuwahi kupata uteuzi hata wa kata! Waliolamba teuzi enzi hizo na pengine JPM alifikiri wangempigania wapo wanalamba asali na kula kwa urefu wa kamba [emoji39]
 
Basi acha uchulo, unanafi nzuri ya kufanya makubwa kulikoni yeye!

Wewe una matatizo sio kidogo. Unaleta ukichaa wako mbele za watu. Pole Sana najua unapitia kipindi kigumu maana jamaa yenu mliyemwamini kwa ujinga kafariki mnatafuta watu watu kumalizia hasira zenu.
 
Wewe una matatizo sio kidogo. Unaleta ukichaa wako mbele za watu. Pole Sana najua unapitia kipindi kigumu maana jamaa yenu mliyemwamini kwa ujinga kafariki mnatafuta watu watu kumalizia hasira zenu.
Hahahaha hahahaha!!

Wewe ni mtu Duni mno, kujiunga Jf sio mwisho wa ujinga, wewe ni mjinga tuu, maana kwa unachoandika tuu, ndicho kinasadifu ujinga wako

Alokwambia babu yako ama wewe utaishi milele ni Nani?

Fanya mazuri kumshinda huyo unayembatiza majina kwa utakavyo wewe ili na wewe tubishanie hayo utakayoyaacha kwenye Taifa letu!
 
Sawa!
 
Jiheshimu usiniletee tabia za Magufuli za kutukana watu hovyo. Nani kakutukana?. Ndio shida yenu mnalazimisha uongo kuwa kweli. Tutaujua ukweli tu, maana muuaji na jambazi kuu kafariki. Damu ya Saanane itamwandama hata huko kaburini.
Kunywa sumu, unangoja nini?
 
Wewe ni binadamuu...!!! Au ni hayawani??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…