Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Personality ni kila kitu mkuu kuna ke ni golikipa ila wanaboa kama nn sijui,Kuoa Mwanamke Anayefanya Kazi
Vs Kuoa Mwanamke Goli Kipa kipi bora?
Nahitaji jiko ebu nishaurine wadau
najua wengi wenu mnauzoefu .
✍️✍️✍️✍️✍️✍️✍️✍️
Hapo sawa na Kubeti tu boss... Wewe ndo unatakiwa ujipange usimtegemee mwanamkeKuoa Mwanamke Anayefanya Kazi
Vs Kuoa Mwanamke Goli Kipa kipi bora?
Nahitaji jiko ebu nishaurine wadau
najua wengi wenu mnauzoefu .
✍️✍️✍️✍️✍️✍️✍️✍️
Ushauri Bora SanaPersonality ni kila kitu mkuu kuna ke ni golikipa ila wanaboa kama nn sijui,
Mambo ya kazi yaweke pembeni angalia personality ya mtu utanishukuru baadae mkuuuu
Mimi naona personalities ndo azingatieWanwake huwa tuna viswali flani vya kijinga japo vina maana pia ni fikirishi na vyenye ubinafsi kwamba twajua me ndio atatangulia....."ukifa mie na watoto tutaishije"🤣
Usifurahie mkeo kukaa ndani tu na kuita jina la kejeli eti goli kipa "ukifa ataishije"😁
Unamchanganya mwamba, personality au morphology 😁Oa mwenye morphology
Kumbe ww ni ke ngoja nitupe ndoano yanguAsubuhi yote hiii...... Tunachambuliwa kama karanga za Saida Karori..
Tukifanya kazi makelele kama yote, Tukikaa nyumbani tunaitwa goli kipa..
Tuhurumieni kama sisi tunavyowahurumia
Kuoa Mwanamke Anayefanya Kazi
Vs Kuoa Mwanamke Goli Kipa kipi bora?
Ukijua kusudi lako la Kuoa utajua yupi ni sahihi kwakoKuoa Mwanamke Anayefanya Kazi
Vs Kuoa Mwanamke Goli Kipa kipi bora?
Nahitaji jiko ebu nishaurine wadau
najua wengi wenu mnauzoefu .
[emoji3578][emoji3578][emoji3578][emoji3578][emoji3578][emoji3578][emoji3578][emoji3578]
Na kuna anayefanya kazi na huku kazi yake haisaidii chochote nyumba..!!Personality ni kila kitu mkuu kuna ke ni golikipa ila wanaboa kama nn sijui,
Mambo ya kazi yaweke pembeni angalia personality ya mtu utanishukuru baadae mkuuuu
Kabisa mkuu, cha muhimu azingatie tabiaNa kuna anayefanya kazi na huku kazi yake haisaidii chochote nyumba..!!
Kama una ajira, oa mwanamke asiye na ajira ili akusaidie kulea watoto na kazi za nyumbani.Kuoa Mwanamke Anayefanya Kazi
Vs Kuoa Mwanamke Goli Kipa kipi bora?
Nahitaji jiko ebu nishaurine wadau
najua wengi wenu mnauzoefu .
✍️✍️✍️✍️✍️✍️✍️✍️