new level
JF-Expert Member
- Apr 21, 2021
- 274
- 583
Me nitaoa golikipa mwanaume nikitoka kazini nimkute mke yuko nyumban tayari kwaku niudumia sio mwanamke unampigia sim anakwambia nipo kwenye kikao cha kazini narudi saa 3 usiku mara nimeamishiwa kitengo nitaenda morogoro mara sijui nini..
Wanaume wenzangu zawadi pekee ya thamani ya kuiachia familia yako ni nyumba (makazi) kwaiyo tafuteni pesa nunueni viwanja jengeni
Hao wanawake wafanyakazi mnao wanadi mkifulia pesa zao hua ni chungu sana kuzitumia mtasalitiwa sana nakua wadogo kama piriton
Ata ukifa leo na umewaachia wanao nyumba tayari wew ni shujaa uyo mwanamke wako ukidanja atapata mchumba na ataenda kwa mwanaume mwengine na kama hujaacha nyumba ata wapeleka watoto kwa ndugu zako au wake.
Your house your legacy chakula ata ndege hupata chakula.
Wanaume wenzangu zawadi pekee ya thamani ya kuiachia familia yako ni nyumba (makazi) kwaiyo tafuteni pesa nunueni viwanja jengeni
Hao wanawake wafanyakazi mnao wanadi mkifulia pesa zao hua ni chungu sana kuzitumia mtasalitiwa sana nakua wadogo kama piriton
Ata ukifa leo na umewaachia wanao nyumba tayari wew ni shujaa uyo mwanamke wako ukidanja atapata mchumba na ataenda kwa mwanaume mwengine na kama hujaacha nyumba ata wapeleka watoto kwa ndugu zako au wake.
Your house your legacy chakula ata ndege hupata chakula.