Kuoa Mwanamke Anayefanya Kazi Vs Kuoa Mwanamke Goli Kipa kipi bora?

Kuoa Mwanamke Anayefanya Kazi Vs Kuoa Mwanamke Goli Kipa kipi bora?

Sisi wanaume tuliokomaa kiakili tunaoa goalkeaper, japo kuna wengine wanaoaa wafanyakazi kwa sababu ya upendo. Kuna kundi la wanaume wajinga sana wanaoa wafanyakazi kwa sababu ya kusaidiana maisha na mwanamke hawa ni wajinga hawa ndio wanapangiwa na zamu ya kupika na wake zao na ndio hawa kila siku wanalalamika kunyimwa unyumba humu JF.
Kuoa Mwanamke Anayefanya Kazi
Vs Kuoa Mwanamke Goli Kipa kipi bora?
Nahitaji jiko ebu nishaurine wadau
najua wengi wenu mnauzoefu .
[emoji3578][emoji3578][emoji3578][emoji3578][emoji3578][emoji3578][emoji3578][emoji3578]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanwake huwa tuna viswali flani vya kijinga japo vina maana pia ni fikirishi na vyenye ubinafsi kwamba twajua me ndio atatangulia....."ukifa mie na watoto tutaishije"🤣

Usifurahie mkeo kukaa ndani tu na kuita jina la kejeli eti goli kipa "ukifa ataishije"😁
Akilazwa ndani mwezi mmoja yupo tayari lambalamba wamlambie
 
Kuoa Mwanamke Anayefanya Kazi
Vs Kuoa Mwanamke Goli Kipa kipi bora?
Nahitaji jiko ebu nishaurine wadau
najua wengi wenu mnauzoefu .
✍️✍️✍️✍️✍️✍️✍️✍️
Nina uzoefu mzuri sana. Unaweza kuoa mwanamke ''golikipa'' na ukamgeuza kuwa mfanyakazi/mjasiriamali mzuri mno mno. Hivyo hakuna jibu la moja kwa moja. Jibu ni kwamba jitihadi upate mwanamke mwenye sifa zinazostahili. Na zaidi unaweza kuoa mwanamke mfanyakazi lakini asipokuwa na sifa za kuwa mke bora ukaishia kujuta. Hivyo nakushauri kama hujaoa zingatia sifa bora na siyo shughuli anayofanya. Shughuli anayofanya ni ''entity'' inayoweza kubadilishwa lakini ''sifa bora'' inaweza kuwa entity ngumu kurekebishika.
 
USITHUBUTU KUOA MFANYAKAZI KAMA UNA BISHA NENDA ULE UZI WA KULA TUNDA KIMASIHARA.

HATA KAMA KATULIA IPO SIKU ATATOA MECHI TU.

KUNA BOSS WAKE KUTAKA KUMPANDISHA CHEO,KUNA ZILE SAFARI ZA PERDIEM AMBAZO ILI AZIPATE LAZIMA AMPE TUNDA BOSS



OA MWANAMKE ASIYE NA KAZI THEN MFUNGULIE OFISI/KAMPUNI AU BIASHARA YAKE AWE BOSS.


TENA USITHUBUTU KUOA MWANAMKE SIJUI AFISA KILIMO SIJUI KWENYE HALMASHAURI NA OFISI ZA WAKUU WA WILAYA NA MIKOAA

WANACHAPWA MNO
 
Mwanamke anatakiwa awe msaidiz wako,uweze kumtuma kufanya baadhi ya mambo yako,sasa kama ameajiriwa ina maana ni kama mumemuoa wanaume wawili

kAma mwanaume una akili za kutosha za upambanaji,mama wa nyumban ni anakufaa
 
Personality ni kila kitu mkuu kuna ke ni golikipa ila wanaboa kama nn sijui,

Mambo ya kazi yaweke pembeni angalia personality ya mtu utanishukuru baadae mkuuuu
Oya we jamaa unanijazia notification kule
 
Kila siku nasisitiza humu, Mwanaume ili uoe lazima uwe na uwezo wa Kuhudumia, Kulinda, Kuongoza na kupiga mashine kisawasawa.

BUT ni bora zaidi ukioa Mwanamke atakayekaa nyumbani na kulea watoto wako, na kama atafanya kazi, basi hakikisha wewe ndio Boss wake.

Be a Man, be responsible.
Nimekunukuu:- "BUT ni bora zaidi ukioa Mwanamke atakayekaa nyumbani na kulea watoto wako, na kama atafanya kazi, basi hakikisha wewe ndio Boss wake".

1. Labda nikuulize wewe ukiwa na binti yako uliyemsomesha mpaka elimu ya juu akapata kazi utamshauri aache kazi awe mama wa nyumbani alee watoto kisa mumewe ana mhudumia?

2. There's tomorrow n' no one knows tomorrow, what if mumewe kazi yake au biashara yake ikifa mahitaji ya familia yatatimizwa vipi japo kwa kiasi ikiwa baba hana kitu na mama goli kipa,uoni kuna mgogoro unaweza tokea, una reference ngapi za wanaume kukimbiwa na wenza wao baada ya kutokuwa na kitu mfukoni wewe ni mgeni wa hilo?

3. Wewe kwa fikra zako hizo unahisi kuna haja ya kumsomesha mtoto wako wa kike kama unaye au kumshauri ndugu yako kumsomesha binti yake au utamwambia binti yako utaolewa tu mumeo atakuhudumia sisumbuki kukusomesha?

4. Mkeo akae nyumbani kwa mshahara wako wa 900k au 1m kuna ubosi gani katika 900k au 1m are you serious?
Una mke, watoto, ulipe ada za watoto, chakula, umeme, maji, ujenzi, gesi, king'amuzi, car fuel, car services, takataka, ulinzi, mikopo, kodi ya nyumba, salary dada wa kazi nk.
Una acha kiasi gani nyumbani 400k,unakaa nyumba nzima ya 100k ipo hiyo nyumba mjini hapa?
Huo mchele tu unaoeleweka 1kg buku 3+ tuwe serious na maisha.

Nb: Charity begins at home...unavyomlea na kumsomesha binti yako ndivyo unavyomuandaa mke wa mtu wa baadae atayechangia maendeleo ya familia yake.
 
Mweny kazi au asiye na kazi sio kigezo .

Kikubwa kupendana na mambo hayo hapo yanakuja automatically hata sehemu ya kazi mnaweza kupendana na mkaoana hamna shida.


Mwisho wa siku hakuna maana yeyote ile sawa kwani mwanaume utahudumia familia mazima kama kichwa cha familia na usitegemee comfort kwa vile mwanamke ana kipato ...Utakuja kuachwa kweupe awe na kazi au asiwe na kazi kwa kutokutoa matunzo na kuhudumia familia...
 
Nina uzoefu mzuri sana. Unaweza kuoa mwanamke ''golikipa'' na ukamgeuza kuwa mfanyakazi/mjasiriamali mzuri mno mno. Hivyo hakuna jibu la moja kwa moja. Jibu ni kwamba jitihadi upate mwanamke mwenye sifa zinazostahili. Na zaidi unaweza kuoa mwanamke mfanyakazi lakini asipokuwa na sifa za kuwa mke bora ukaishia kujuta. Hivyo nakushauri kama hujaoa zingatia sifa bora na siyo shughuli anayofanya. Shughuli anayofanya ni ''entity'' inayoweza kubadilishwa lakini ''sifa bora'' inaweza kuwa entity ngumu kurekebishika.
Haya ndio maneno ya kiume hasa
 
USITHUBUTU KUOA MFANYAKAZI KAMA UNA BISHA NENDA ULE UZI WA KULA TUNDA KIMASIHARA.

HATA KAMA KATULIA IPO SIKU ATATOA MECHI TU.

KUNA BOSS WAKE KUTAKA KUMPANDISHA CHEO,KUNA ZILE SAFARI ZA PERDIEM AMBAZO ILI AZIPATE LAZIMA AMPE TUNDA BOSS



OA MWANAMKE ASIYE NA KAZI THEN MFUNGULIE OFISI/KAMPUNI AU BIASHARA YAKE AWE BOSS.


TENA USITHUBUTU KUOA MWANAMKE SIJUI AFISA KILIMO SIJUI KWENYE HALMASHAURI NA OFISI ZA WAKUU WA WILAYA NA MIKOAA

WANACHAPWA MNO
Ule uzi una kamba nyingi sana mno usikubali kila kitu sisi wanaume tunapenda sifa sana na kujiona tunafanya sana ngono na wanawake mbalimbali..

Mwanamke anayefanya kazi na kujielewa ni bora pia ,kikubwa awe na sifa mnaendana ..
 
1684396985200.png
 
Wanawake huwa tuna viswali flani vya kijinga japo vina maana pia ni fikirishi na vyenye ubinafsi kwamba twajua me ndio atatangulia....."ukifa mie na watoto tutaishije"[emoji1787]

Usifurahie mkeo kukaa ndani tu na kuita jina la kejeli eti goli kipa "ukifa ataishije"[emoji16]
Mwanamke hawezi shindwa kuishi hata kama mwanaume akifa. Mwanamke akitunzwa ubora wake hautafifia na hatokosa mtu wa kumpenda ikiwa mume hatokuepo tujitahidi kuwatunza.. na ikiwa mtaachana mwanamke kuchukua asilimia 50 ya Mali au robo ni haki yake ili ajiendeshe kwa maisha yajayo haijalishi yeye ana kazi au la.. ila mwanamke asiefanya kazi ni bora zaidi kuliko anaefanya kazi.. jukumu la mwanamke hasa akiwa na familia ni kumtunza mume na kusimamia malezi ya watoto ipasavyo pamoja na Mali kiujumla wakati huo jukumu la mwanamume ni kutafuta Mali,fedha,rasilimali kwa ajili ya familia husika... ila angalizo mwanamke ninaemzungumzia hapa ni yule ambae umetoka nae zero mpaka kupata ulichopata ana haki nacho tuache unyanyasaji wanaume
 
Mwanamke hawezi shindwa kuishi hata kama mwanaume akifa. Mwanamke akitunzwa ubora wake hautafifia na hatokosa mtu wa kumpenda ikiwa mume hatokuepo tujitahidi kuwatunza.. na ikiwa mtaachana mwanamke kuchukua asilimia 50 ya Mali au robo ni haki yake ili ajiendeshe kwa maisha yajayo haijalishi yeye ana kazi au la.. ila mwanamke asiefanya kazi ni bora zaidi kuliko anaefanya kazi.. jukumu la mwanamke hasa akiwa na familia ni kumtunza mume na kusimamia malezi ya watoto ipasavyo pamoja na Mali kiujumla wakati huo jukumu la mwanamume ni kutafuta Mali,fedha,rasilimali kwa ajili ya familia husika... ila angalizo mwanamke ninaemzungumzia hapa ni yule ambae umetoka nae zero mpaka kupata ulichopata ana haki nacho tuache unyanyasaji wanaume
Mmmh unaetafuta nae from zero ukivipata unamuona haendani na mali zako🤣🤣 unatafuta mtoto namba E wa kutumbua nae mali
 
Back
Top Bottom