Bi zandile
JF-Expert Member
- Sep 12, 2024
- 301
- 856
- Thread starter
-
- #341
Nimekwambia kibamia huwa kipo vizuri tu....Usikwepe mama njoo na hoja.
So unasupport wanaume kuongeza maumbile Yao??
Kwani nimekuambia natafuta mkeUna uvulana mwingi wewe..
By the way niambie unatafuta mke bikira nikuelekeze pa kumpata?
Kumbe unaelewa eeee , image aliyekunwa na dushe kubwa anaolea na me kwenye ipo normal kama inavyotakiwa.Nimekwambia kibamia huwa kipo vizuri tu....
Kuna ke wajinga na Me wajinga ambao wanaamini kuwa big dushee ndio hukuna vizuri kumbe sivyo hivyo
Aliyekunwa na dushee kubwa huyo hajawahi kupata ule utamu kolea.Kumbe unaelewa eeee , image aliyekunwa na dushe kubwa anaolea na me kwenye ipo normal kama inavyotakiwa.
Sawa kma kaamua kusema uongo mbele ya madhabahuUmemsikia pastor Rose Shaboka alivyojimwambafu kuwa aliolewa akiwa bikira?
Cha ajabu kuna mjuba tulisoma naye pale UDSM alikuwa anamkula sana tu hadi akamjaza mimba ila Rose alifanya abortion mimba ikatoka...
Jiulize hiyo bikra aliyokutwa nayo na mumewe aliitoa wapi 🤣🤣
Wanaume wajinga mnajimwambafu kizoba eti mwanamke bikira ndio wife material ilhali Ke wananunua bikra za mchina na kusema wao ni mabikira kumbe walitobolewa kitambo 😂😂
Siku hizi naskia kuna bikra mbili au anamaanisha ile ingineUmemsikia pastor Rose Shaboka alivyojimwambafu kuwa aliolewa akiwa bikira?
Cha ajabu kuna mjuba tulisoma naye pale UDSM alikuwa anamkula sana tu hadi akamjaza mimba ila Rose alifanya abortion mimba ikatoka...
Jiulize hiyo bikra aliyokutwa nayo na mumewe aliitoa wapi 🤣🤣
Wanaume wajinga mnajimwambafu kizoba eti mwanamke bikira ndio wife material ilhali Ke wananunua bikra za mchina na kusema wao ni mabikira kumbe walitobolewa kitambo 😂😂
Angemaanisha ile ingine angesema wazi kuwa aliolewa akiwa na marinda ila kwa sasa hana....Siku hizi naskia kuna bikra mbili au anamaanisha ile ingine
Punguza hasira bikira ni muhimu sanaKuna wanaume wajinga wajinga hivi wenye akili za kitoto kila uchwao hubweka... "usioe mwanamke asiye bikira." Kiuhalisia hao jamaa hawajui maana ya ndoa ni nini. Wapo walioa mabikira kwa kudhani kuwa ndoa zitadumu kumbe sivyo hivyo. Waliachana na hao mabikira zao.
Wapo wanaojua nini maana ya ndoa walioa wanawake wasio mabikira, hadi leo wanafurahia ndoa za zilizo katika ubora.
Ubikira hauifanyi ndoa kuwa bora. Kinachofanya ndoa iwe bora ni kwa wanandoa kutokuwa na ubinafsi, msamaha, utu wema, uvumilivu na kujitolea. Mimi na mume wangu tusingeoana iwapo tugekosa hizo sifa za kuifanya ndoa iwe bora.
Mnaotafuta mabinti mabikira wa kuoa niwaambie bila kuwaficha.... "bado hamjapata akili ya kuishi na mwanamke - ninyi wenyewe sio mabikira halafu mnatafuta mabikira wa kuoa huo ni ujinga wa kiwango cha kokoto."
Siku mkiacha ujinga mtafanikiwa katika ndoa as couple mliooana huku nyote mkiwa sio mabikira.
Mungu awaondolee ujinga.
Hata mimi najisifu nina bikra wangu mtulivuHlf kuna mjinga mmoja anajisifu kaoa demu bikra
Hasira ipo wapi kwa hii mada?Punguza hasira bikira ni muhimu sana
Bikra ni ImaniTatizo bikra zinauzwa madukani siku hizi.
Kuna binti wa Kidigo nilisoma nae Uganda, ilikuwa tunaishi kama mke na mume na kufanya yote kama wanandoa.
Baada ya kumaliza shule aliambiwa tu kuwa kuna mume katokea na anaolewa.
Moja ya mila za watu wa Tanga ni kuweka shuka nyeupe chumba cha bwana na bibi harusi usiku wa kwanza baada ya ndoa. Wakikuta damu inamaanisha demu alikuwa bikra na wazazi hupewa zawadi.
Kwa yule binti damu ilitoka nyingi na sifa kedekede kwenda kwa wazazi wake kuwa wamemlea vyema.
Baadae kuja kuongea na demu akasema alipewa dawa ya kufunga na mama yake kumfanya awe na utepe tena.
Mumewe mpaka leo anaamini kambikiri mkewe kumbe demu keshabikiriwa toka kinda. Hata mimi sikumkuta na bikra na alishapanch mimba kadhaa.
Ndio zipoje hizo tenaWapo wengi tu ila wana bikira za mchina 😂
Kwa akili yako fupi Mungu nwenyewe kakataza msiwe wazinzi unatoaje bikra Kayla haujaolewa?Kuna wanaume wajinga wajinga hivi wenye akili za kitoto kila uchwao hubweka... "usioe mwanamke asiye bikira." Kiuhalisia hao jamaa hawajui maana ya ndoa ni nini. Wapo walioa mabikira kwa kudhani kuwa ndoa zitadumu kumbe sivyo hivyo. Waliachana na hao mabikira zao.
Wapo wanaojua nini maana ya ndoa walioa wanawake wasio mabikira, hadi leo wanafurahia ndoa za zilizo katika ubora.
Ubikira hauifanyi ndoa kuwa bora. Kinachofanya ndoa iwe bora ni kwa wanandoa kutokuwa na ubinafsi, msamaha, utu wema, uvumilivu na kujitolea. Mimi na mume wangu tusingeoana iwapo tugekosa hizo sifa za kuifanya ndoa iwe bora.
Mnaotafuta mabinti mabikira wa kuoa niwaambie bila kuwaficha.... "bado hamjapata akili ya kuishi na mwanamke - ninyi wenyewe sio mabikira halafu mnatafuta mabikira wa kuoa huo ni ujinga wa kiwango cha kokoto."
Siku mkiacha ujinga mtafanikiwa katika ndoa as couple mliooana huku nyote mkiwa sio mabikira.
Mungu awaondolee ujinga.