Kuoa mwanamke masikini

Oa Mwanamke
 
Mwanamke akiwa na ;

1: Tako
2: Rangi ya andazi
3: Macho ya kurembua
4: Mguu na pale kwenye joint za goti kwa nyuma kueleweke
5:nywele za asili, ( siyo kipilipili)
6:kipochi manyoya chenye utelezi wa kutosha, joto na kufinyia kwa ndani
7: Tabia njema

Huo ni utajiri tosha tofauti na hapo achana nae atakurudisha nyuma
 
Khee so sisi masikini tusiolewe
 
Bravo mkuuuπŸ‘‘
 
Yaah kabisa mkuu kuna madem wako hivyo. Hata ukipa dili kumwambia huwezi maana yeye atawaza mgao wake hapo.
Ila wapo wale ukimwambia dili lako atakuombea tu upate mafanikio zaidi.
 
Mdoa ni darasa na maisha pia so kwanza omba mungu akupe mwenza mwema na yule ambaye unamahitaji nae, pili swala la kutaka kumpata mwanamke ambaye anamaisha mazuri huo ni uzuzu tu cos anaweza akawa ni mpambanaji halafu asiingie kwenye mifumo yako ya utafutaji na ukapata mwanamke mwenye maisha mabovu akaingia kwenye mifumo ya maisha yako mpaka ukahisi unalogwa kumbe anafanya yale uyapendayo.

So kikubwa muombe mungu tu ipo hvyo.
 
Kwaiyo unataka aje na Godoro kitanda na vitu vyengine vya ndani?
Godoro?
Kitanda?
Glass?
Really?

Asante kwa hii comment yako mkuu!
Hakika Mungu hutukumbusha mema alotutendea kwa namna za ajabu.

Naamini mtoa mada anamaanisha mwanamke aliyejijengea misingi yakujipatia kipato chake.

Sema usipomuelewa mtoa mada unaweza kudhania ni mario anataka kulelewa ila sivyo.

Naamini mtoa mada yuko.vizuri kifedha ila hataki mwanamke asiye na chochote zaidi ya kei.

Na nijuavyo,kwa sasa wanaume wengi wenye pesa zao wanawakwepa wanawake masikini.

Mwanamke masikini kwanza huwezi kujua siku ukifilisika au siku akapata hela atakuaje lakini kama mwanamke tayari anazo na akakupenda na kukuheshimu unajua kabisa ana mapenzi ya kweli kwako.

Pia wanawake masikini wengi ni.washirikina na wanafundishana maujinga.
 
Na siku mmezinguana nae anataka Mali 50/50 maaamae..![emoji38][emoji38][emoji38]
 
Kwa hio wote mnatakiwa muwe nacho au unamaanisha mfananeje nikiwa na Gari na wewe utembelee gari la kwako tukutane kwenye five star hotel
Ndio. Wote mnatakiwa muwe nacho kwa nilivyomuelewa mtoa mada kama nimekosea atanirekebisha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…