Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Oa MwanamkeWakuu hii ishu ya kumuowa mwanamke masikini asiekuwa na kila kitu mnaichukuliaje, kuna wanaume wengine kama mimi kigezo cha sura na tako wala sikipi uzito.
Mimi ni mpambanaji na kiuchumi walau niko vizuri inakuwaje nioe mwanamke masikini? yaani siku anakuja kwangu anakuja na kabegi kake ka nguo tu.
Khee so sisi masikini tusioleweWakuu hii ishu ya kumuowa mwanamke masikini asiekuwa na kila kitu mnaichukuliaje, kuna wanaume wengine kama mimi kigezo cha sura na tako wala sikipi uzito.
Mimi ni mpambanaji na kiuchumi walau niko vizuri inakuwaje nioe mwanamke masikini? yaani siku anakuja kwangu anakuja na kabegi kake ka nguo tu.
Bravo mkuuu👑........wengi wetu huwa tunadhani vigezo vibayan ktk kuchagua mwanamke ni shepu na sura tu, lakini pia wengi wetu tunadhani kwamba kuoa mwenye kazi au elimu kubwa ndo ujanja, wengi wetu huwa tunadhani taasisi ya ndoa inaendeshwa kidini ndio maana ndo upendo ndani ya ndoa umekufa kwa sababu ya kuchaguana kwa itikadi za kidni, wengi wetu huwa tunadhani ndoa ni taasisi ya kiuchumi ndo maana upendo haupo tena coz watu wanachagua business partner badala ya love partner, wengi wetu hudhani.......endeleza comment hii kwa kuanza na neno wengi wetu hudhani.........
Yaah kabisa mkuu kuna madem wako hivyo. Hata ukipa dili kumwambia huwezi maana yeye atawaza mgao wake hapo.Niko na mawazo yako, ila naongezea uelewa hapo.
Maskini kabisa na mwenye uwezo wa kati wana uelewa tofauti kutokana na kwao walitokaje.
Mara ya mwisho naachana na demu maskini alicarry somo akarudia semester nzima ila wazazi wake wakagoma kumlipia na wakagoma kumlipia kila kitu sijui kodi na matumizi.
Niliachana naye alipomaliza masomo yake, haikuniingia akilini niwe na mtu wazazi wake wamemtupa vile. Na bado akili yake ilikuwa ina umaskini ndani yake, na akaanza kupenda hela kuliko mapenzi yenyewe.
Nikajiachia na mtu ninayejua kuhusu hela haihusiki, hata kama natoa ila sio niwe na mtu naogopa hata kumwambia plans zangu asijue nina hela kiasi gani asije zalisha shida za kutosha. Unakuwa na mtu unaogopa hata kumsimulia habari njema ulivyopata deal fulani la hela
Wala haubagui mkuu.Upendo hauchagui mkuu .
Godoro?Kwaiyo unataka aje na Godoro kitanda na vitu vyengine vya ndani?
Upendo hauchagui mkuu .
Na siku mmezinguana nae anataka Mali 50/50 maaamae..![emoji38][emoji38][emoji38]Wakuu hii ishu ya kumuowa mwanamke masikini asiekuwa na kila kitu mnaichukuliaje, kuna wanaume wengine kama mimi kigezo cha sura na tako wala sikipi uzito.
Mimi ni mpambanaji na kiuchumi walau niko vizuri inakuwaje nioe mwanamke masikini? yaani siku anakuja kwangu anakuja na kabegi kake ka nguo tu.
Kabisa mkuuWanaume tumebaki wachache mno!
Aisee hii Ni ya Mkeka? Au Sogea tusukume Siku za kuishi[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Huyo naona hatuendani... we jiandae tu[emoji2][emoji2][emoji2]
Ndio. Wote mnatakiwa muwe nacho kwa nilivyomuelewa mtoa mada kama nimekosea atanirekebisha.Kwa hio wote mnatakiwa muwe nacho au unamaanisha mfananeje nikiwa na Gari na wewe utembelee gari la kwako tukutane kwenye five star hotel
Itafahamika hukohuko 😃😃😃Aisee hii Ni ya Mkeka? Au Sogea tusukume Siku za kuishi[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Daaaah aisee harufu ya mtu kuliwa kimasikhara kabisaa[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]Itafahamika hukohuko [emoji2][emoji2][emoji2]
Hahahah😂😂😂,, me niko kufurahisha genge tu hapa my friend 😂😂😂🙌Daaaah aisee harufu ya mtu kuliwa kimasikhara kabisaa[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
Yah..! Kachumbari bila pilipili Ni fake[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Hahahah[emoji23][emoji23][emoji23],, me niko kufurahisha genge tu hapa my friend [emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]