Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuoa sio lazima, lakini katika Uislam ni tendo la Sunna lililotiliwa nguvu...
بسم الله الرحمن الرحيم.
وَإِنْ خِفْتُمْ أَلَّا تُقْسِطُواْ فِى ٱلْيَتَٰمَىٰ فَٱنكِحُواْ مَا طَابَ لَكُم مِّنَ ٱلنِّسَآءِ مَثْنَىٰ وَثُلَٰثَ وَرُبَٰعَ ۖ فَإِنْ خِفْتُمْ أَلَّا تَعْدِلُواْ فَوَٰحِدَةً.
Ikiwa mna khofu ya kutowafanyia wema mayatima basi oweni miongoni mwa mnaowapenda katika wanawake wawili na watatu na wanne, ikiwa ikiwa mna hofu ya kutowafanyia uadilifu basi oweni mmoja.
القاعدة
Katika Uislam mtoto wa nje ya ndoa harithi.
Assume kwa mfano umepata kiharusi,ndugu zako wataweza kukuogesha,kukusafisha,kukubeba usiku wa manane kukupeleka chooni?Shida gani mfano ambayo unaweza kuipata ndugu wa damu wakakukimbia lakini mke akawa na wewe?
Vipi siku mwenye ng'ombe wake akiamua awachinje!?maziwa napata yanini kufuga ng'ombe?
Nielezee mashaka yako yalipoMimi ni muslamu ila hiki kipengele huwa nakuaga na mashaka nayo
Hiyo ni kwa mujibu wa Uislam.Urithi umeingiaje hapo, so ikiwa hujaoa ila unazo mali na watoto umezaa... inakuwaje hii!!
natafuta ng'ombe mwengine,Vipi siku mwenye ng'ombe wake akiamua awachinje!?
Vipi umefikiria kuhusu uzee, ugonjwa, ulemavu, kizazi?natafuta ng'ombe mwengine,
mbona simple ?
idadi yao ni kubwa mno kuliko sisi, wako kila kona kila pembe
hata yeye pia atakua mzee, na wanvyozeekaga mapemauzee
kuna hospitaliugonjwa
hapa hata yeye atakukimbiaulemavu
yeye anafika menopause piakizazi
Swali gumu sana ili umemuuliza...Shida gani mfano ambayo unaweza kuipata ndugu wa damu wakakukimbia lakini mke akawa na wewe?
So lazima,Swali linalotaka jibu sahihi.
Kama Mwanaume anapata kila anachotakiwa kukipata kwenye ndoa kwa njia mbadala, kuna haja ya Kuoa?
Sex atapata nje
Mtoto atamzalisha mtu
Kufua kuna Laundry
Out kuna Hunters
Kula hotelini,
Uzuri hapati stress
Hii tafsiri unaipata wapi ndugu yangu..!!Ndoa ni makubaliano kati yako na rafiki yako au mpenzi wako. Mfano mzuri ni kwa Adam na Hawa sidhani kama walienda kanisani au msikitini kufunga ndoa ila mungu tu kuwawakutanisha pamoja ni tayari walishakua wamekubaliana kuishi mpaka kufa pamoja
Naam..!!!Watoto wazinaa waliozaliwa na wazazi wazinzi lazima watasema kuoa sio lazima
1 Wakorintho 7 : 9So lazima,
Kwa sababu huna adhabu ya kutooa Wala hukumu utakayohukumiwa chini duniani Wala juu mbinguni.
Mtume Paulo, kwenye waraka wake wa kwanza kwa wakorintho, nadhani sura ya 19,au 20 au 21 , amesisitiza pia kwamba jambo hili Ni maamuzi ya mtu binafsi.
Hata hivo , pamoja na sababu mbalimbali za kuoa kuwa na fumbuzi mbadala, Bado ndoa Ni muhimu kwa ajili ya ustawi wa jamii, maana ndipo penye uhakika wa malezi Bora ya watoto.
Vinginevyo Ni ongezeko la watoto wanaolelewa na mzazi upande mmoja, ambalo ndio kwa kawaida hupelekea ongezeko la watoto wa mtaani..
Hata ukiwa na mke, huwa wanakimbia... Au wanatafuta divorceAssume katikati upate disability yeyote afu huna msaidizi yani mke wala mtoto utabaki kulaumu ndugu tu