Okay,upo sahihi ila waweza mrekebisha hata kwa kumkemea.Kitendo Cha kuweka kipigo namba 1 inaonesha kupiga mtoto anapokosea kwako ni kipaumbele.Jitahidini kuwapa mimba na kuwaoa at least idadi itapungua tutabaki singlemom ambao ndoa zilivunjika.Mnaowaambia I love you na mkiwapa mimba mnakimbia wapo wengi sana kitaa.Mwenyezi Mungu awafungue.🙏Kwan si anaweza kosea mkuu
Fimbo ndio dawa bhanaOkay,upo sahihi ila waweza mrekebisha hata kwa kumkemea.Kitendo Cha kuweka kipigo namba 1 inaonesha kupiga mtoto anapokosea kwako ni kipaumbele.Jitahidini kuwapa mimba na kuwaoa at least idadi itapungua tutabaki singlemom ambao ndoa zilivunjika.Mnaowaambia I love you na mkiwapa mimba mnakimbia wapo wengi sana kitaa.Mwenyezi Mungu awafungue.🙏
bro mfano wanawake wote ulio hit & run wangetunga mimba paka sasa ungekuwa umezalisha single mothers wangapi?Kanyimboo
Sasa siwez oa singo mm
Ili nani awaoe?Wengi
Hiyo namba 2 mbona inaniudhi japo sijaoa Bado. Yani anapiga simu amwambie ananyanyaswaIki ivi kiukweli mm ninafsi siwezi oa singles mother nina sababu kama kumi hivii na zina mashiko
1. Huna uhuru na mtoto ukimpiga unamwonea
2. Mkigombana kidogo simu kwa x wake
3. Kuchapiwa lazim uchapiwe wengine wameechan kwa ugumu wa maìsha akipata unafuu anatoa tunda
4. Kuchanganya familia yaaan watoto wansbaguana
5. Kiukweli mwanamke mpaka azaee kampenda huyoo jamaaa sana so unaingilia mspenzi ya watu
6. Mbona mabint mtaaan wengi kwann ubebevmzigo wa mtuuu
7. Ex wake akijipata broo huns chako
8. Singles mother automatically ni mke wa mtuu
9. Huwa wanakupenda tuu kwa ajiri ya mtoto/watoto wake
Na mwisho kabisa kuoa singo mother ni kujichimbia kaburi
🤣🤣🤣Nacopy ulichoandika kisha napest kwa single mother wangu kwa sms na chochote kitakachonitokea utahusika broh😬
Inategemea huyo single mother ametoka kwa Mungu uliomuomba Mungu akupe mke, Mke mwema anatoka kwa Mungu , awe single mother, au binti kama hujapewa na Mungu utateseka ndugu yangu wapo single mother wazuri sana na single mother wabaya sana wapo mabinti wazuri sana na wapo mabinti wabaya sana kwa hiyo piga goti umuombe Mwenyezi Mungu akupe mke ukienda kichwa kichwa utalizwa utajuta kuzaliwaIki ivi kiukweli mm ninafsi siwezi oa singles mother nina sababu kama kumi hivii na zina mashiko
1. Huna uhuru na mtoto ukimpiga unamwonea
2. Mkigombana kidogo simu kwa x wake
3. Kuchapiwa lazim uchapiwe wengine wameechan kwa ugumu wa maìsha akipata unafuu anatoa tunda
4. Kuchanganya familia yaaan watoto wansbaguana
5. Kiukweli mwanamke mpaka azaee kampenda huyoo jamaaa sana so unaingilia mspenzi ya watu
6. Mbona mabint mtaaan wengi kwann ubebevmzigo wa mtuuu
7. Ex wake akijipata broo huns chako
8. Singles mother automatically ni mke wa mtuu
9. Huwa wanakupenda tuu kwa ajiri ya mtoto/watoto wake
Na mwisho kabisa kuoa singo mother ni kujichimbia kaburi
Mkuu tema mate chini....Iki ivi kiukweli mm ninafsi siwezi oa singles mother nina sababu kama kumi hivii na zina mashiko
1. Huna uhuru na mtoto ukimpiga unamwonea
2. Mkigombana kidogo simu kwa x wake
3. Kuchapiwa lazim uchapiwe wengine wameechan kwa ugumu wa maìsha akipata unafuu anatoa tunda
4. Kuchanganya familia yaaan watoto wansbaguana
5. Kiukweli mwanamke mpaka azaee kampenda huyoo jamaaa sana so unaingilia mspenzi ya watu
6. Mbona mabint mtaaan wengi kwann ubebevmzigo wa mtuuu
7. Ex wake akijipata broo huns chako
8. Singles mother automatically ni mke wa mtuu
9. Huwa wanakupenda tuu kwa ajiri ya mtoto/watoto wake
Na mwisho kabisa kuoa singo mother ni kujichimbia kaburi
Hiyoo haina shida ila sio single mamaHivi ni single mothers tu ndio wana maEx?? Wewe huyo Ex wako unayempenda hadi kesho kiasi kwamba akirudi huchomoi umemzalisha?? Tena nyie ndio hua mnapigiwa wake zenu hadi mnalea watoto wa watu mkijua ni wenu.
Ndo uwe na nguvu kama hauna unaweza geuziwa kibao aisehKatoto kake kakikosea kacharaze bakora mbele ya mama yake ukimaliza kabebe ukamtafute Baba yake alipo ukifita mbele ya Baba yake mtie bakora zingine mbele ya Baba yake alafu mrudishe nyumbani