Kuoa single mother ni mtihani

Kuoa single mother ni mtihani

Kwan si anaweza kosea mkuu
Okay,upo sahihi ila waweza mrekebisha hata kwa kumkemea.Kitendo Cha kuweka kipigo namba 1 inaonesha kupiga mtoto anapokosea kwako ni kipaumbele.Jitahidini kuwapa mimba na kuwaoa at least idadi itapungua tutabaki singlemom ambao ndoa zilivunjika.Mnaowaambia I love you na mkiwapa mimba mnakimbia wapo wengi sana kitaa.Mwenyezi Mungu awafungue.🙏
 
Okay,upo sahihi ila waweza mrekebisha hata kwa kumkemea.Kitendo Cha kuweka kipigo namba 1 inaonesha kupiga mtoto anapokosea kwako ni kipaumbele.Jitahidini kuwapa mimba na kuwaoa at least idadi itapungua tutabaki singlemom ambao ndoa zilivunjika.Mnaowaambia I love you na mkiwapa mimba mnakimbia wapo wengi sana kitaa.Mwenyezi Mungu awafungue.🙏
Fimbo ndio dawa bhana
 
Iki ivi kiukweli mm ninafsi siwezi oa singles mother nina sababu kama kumi hivii na zina mashiko

1. Huna uhuru na mtoto ukimpiga unamwonea
2. Mkigombana kidogo simu kwa x wake
3. Kuchapiwa lazim uchapiwe wengine wameechan kwa ugumu wa maìsha akipata unafuu anatoa tunda
4. Kuchanganya familia yaaan watoto wansbaguana
5. Kiukweli mwanamke mpaka azaee kampenda huyoo jamaaa sana so unaingilia mspenzi ya watu
6. Mbona mabint mtaaan wengi kwann ubebevmzigo wa mtuuu
7. Ex wake akijipata broo huns chako
8. Singles mother automatically ni mke wa mtuu
9. Huwa wanakupenda tuu kwa ajiri ya mtoto/watoto wake

Na mwisho kabisa kuoa singo mother ni kujichimbia kaburi
Hiyo namba 2 mbona inaniudhi japo sijaoa Bado. Yani anapiga simu amwambie ananyanyaswa
 
Iki ivi kiukweli mm ninafsi siwezi oa singles mother nina sababu kama kumi hivii na zina mashiko

1. Huna uhuru na mtoto ukimpiga unamwonea
2. Mkigombana kidogo simu kwa x wake
3. Kuchapiwa lazim uchapiwe wengine wameechan kwa ugumu wa maìsha akipata unafuu anatoa tunda
4. Kuchanganya familia yaaan watoto wansbaguana
5. Kiukweli mwanamke mpaka azaee kampenda huyoo jamaaa sana so unaingilia mspenzi ya watu
6. Mbona mabint mtaaan wengi kwann ubebevmzigo wa mtuuu
7. Ex wake akijipata broo huns chako
8. Singles mother automatically ni mke wa mtuu
9. Huwa wanakupenda tuu kwa ajiri ya mtoto/watoto wake

Na mwisho kabisa kuoa singo mother ni kujichimbia kaburi
Inategemea huyo single mother ametoka kwa Mungu uliomuomba Mungu akupe mke, Mke mwema anatoka kwa Mungu , awe single mother, au binti kama hujapewa na Mungu utateseka ndugu yangu wapo single mother wazuri sana na single mother wabaya sana wapo mabinti wazuri sana na wapo mabinti wabaya sana kwa hiyo piga goti umuombe Mwenyezi Mungu akupe mke ukienda kichwa kichwa utalizwa utajuta kuzaliwa
 
Hizi kampeni za kutaka hao single mum wasiolewe zingezaa matunda kama pia mkazo ukitiliwa kuelimisha wanaume wasikatae wala kutia mimba pasipo kujiridhisha kama wataishi pamoja na kulea huyo mtoi.
 
Iki ivi kiukweli mm ninafsi siwezi oa singles mother nina sababu kama kumi hivii na zina mashiko

1. Huna uhuru na mtoto ukimpiga unamwonea
2. Mkigombana kidogo simu kwa x wake
3. Kuchapiwa lazim uchapiwe wengine wameechan kwa ugumu wa maìsha akipata unafuu anatoa tunda
4. Kuchanganya familia yaaan watoto wansbaguana
5. Kiukweli mwanamke mpaka azaee kampenda huyoo jamaaa sana so unaingilia mspenzi ya watu
6. Mbona mabint mtaaan wengi kwann ubebevmzigo wa mtuuu
7. Ex wake akijipata broo huns chako
8. Singles mother automatically ni mke wa mtuu
9. Huwa wanakupenda tuu kwa ajiri ya mtoto/watoto wake

Na mwisho kabisa kuoa singo mother ni kujichimbia kaburi
Mkuu tema mate chini....
 
Hivi ni single mothers tu ndio wana maEx?? Wewe huyo Ex wako unayempenda hadi kesho kiasi kwamba akirudi huchomoi umemzalisha?? Tena nyie ndio hua mnapigiwa wake zenu hadi mnalea watoto wa watu mkijua ni wenu.
 
Hivi ni single mothers tu ndio wana maEx?? Wewe huyo Ex wako unayempenda hadi kesho kiasi kwamba akirudi huchomoi umemzalisha?? Tena nyie ndio hua mnapigiwa wake zenu hadi mnalea watoto wa watu mkijua ni wenu.
Hiyoo haina shida ila sio single mama
 
Katoto kake kakikosea kacharaze bakora mbele ya mama yake ukimaliza kabebe ukamtafute Baba yake alipo ukifita mbele ya Baba yake mtie bakora zingine mbele ya Baba yake alafu mrudishe nyumbani
 
Katoto kake kakikosea kacharaze bakora mbele ya mama yake ukimaliza kabebe ukamtafute Baba yake alipo ukifita mbele ya Baba yake mtie bakora zingine mbele ya Baba yake alafu mrudishe nyumbani
Ndo uwe na nguvu kama hauna unaweza geuziwa kibao aiseh
 
Back
Top Bottom