Kuomba mchango wa harusi ni matusi makubwa

Mimi nilizaliwa kichaa sugu.Uwe mpole mkuu.
 
hawa vijana wanatumia occipital lobe ya brain(ubongo wa kichogoni) badala ya prefrontal cortex for critical thinking πŸ˜€
hawa vijana wanatumia occipital lobe ya brain(ubongo wa kichogoni) badala ya prefrontal cortex for critical thinking πŸ˜€
πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒWazee viingereza vingi kumbe mnapiga ukunga vijana wenu kuwapa kadi ya mchango wa harusi πŸ˜€he he hee

Yani nyie ndio mnafanya mpk doto magari anadharau wasomi,yani elfu 30 au 50 unakuja kulia nayo hapa jamii forum


Msomi na kiingereza chake kutokwa povu kwa elfu 30 ni fedheha
 
Kuna wenzio wenye uwezo wa kutoa,wewe kama hutaki si unabaki na hio 1000 yako.kwani huko ulipo hua wanakulazimisha 🀠
hawajakatazwa, wanaotoa michango kama hiyo haimaanishi wako advanced ki-fikra au wako financially better, but it's their way of understanding, na kutaka social approval of heir presence.
 
Mwanaume unalia kisa mdau wako kukutaka utoe kwa hiari na si kulazimishwa elfu 30 au 50?πŸ€“wewe siku ukitoa laki si utapiga ukunga?πŸ™†
Kabisa

Mtu kama huyo ndio unamkuta kundi lile la hata akiwa na shida akihitaji hata elfu 5 tu aweza zunguka mtaa mzima kijiji kixima kwa ndugu wote na majirani na marafiki hakuna wa kumpa sababu yeye sio mtu wa watu kwenye kuchangia .Hela yake haitoki na wao hawatoi .Watamwambia sina wakati wanazo kibao
 
.. hata wewe utakuwa mshamba kwa eneo ambalo mimi nina spend fedha nyingi socially ou privately, so heshimu priority za watu, hiyo ni style yako ya maisha baki nayo
 
Michango ya harusi tunatoa kila mara kama family.Ninachotaka kuwaelekeza ni kwamba;harusi siyo dharula.Mjipange na msisumbue watu hadi kuchukiana kwa michango.Muwe waelewa ninyi vilema/wadumavu/tegemezi/wazembe.Kama mnakwama mtuambie baba zenu ili muishi na wake zenu kwenye maboma yetu tu.Nijue nina mke,watoto na ngedere walemavu wa TASAF.
 
hawajakatazwa, wanaotoa michango kama hiyo haimaanishi wako advanced ki-fikra au wako financially better, but it's their way of understanding, na kutaka social approval of heir presence.
Ndio utamaduni wetu Watanzania, kusapotiana kunapokua na jambo la kijamii
Nyie ambao fikra zenu zipo advanced nendeni ulaya mkaishi na wazungu huko

Nyie ndio wale wazee mliosoma sana lakini mmepauka,hua mna hasira na chuki kwa vijana nyieπŸ˜€

Katafuteni jamii yenu mkaishi nayo kwa hizo akili mlizinazo
Hapa Tz tutaenda na utamaduni huu huu
Kudadeki
 
Mimi juzi kuna mtu kanitumia kadi ya mdogo wake wa kike send off. Binafsi hii michango huwa sichangii. Ugonjwa, misiba au mtaji wa biashara pekee ndiko ninakotoa pesa.
Safiiii Mkuu ... Una moyo mzuri sana!

Mimi naumwa njaa naomba mchango πŸ₯²
 
I THANK U VERY MUCH, eti mwanume mzima ana kununia for years kwa sababu huku mchangia harusi yake, hii mijitu ni worse than imbeciles
 
Kuchangisha kwa ajili ndoa ni Ushamba tu na ni ulimbukeni
 
πŸ˜ƒπŸ˜ƒ
Hata sisi michango tunatoa sio wewe tu
Kama wewe ulisapotiwa ukatoka,kwa nini upige ukunga vijana wakisapotiwa?
Wazee wa siku hizi mna akili za nzige sijui πŸ˜ƒ
 
kuchangisha harusi nje ya family members hiyo ni irresponsible behavior, it amounts to a FRAUD, pia ni ni ushamba, how can you raise public funds for your simple personal obligation, this culture IS DISGUSTING
Nadhani hapo neno public funds umelitumia vibaya mkuu, ungesema private funds badala yake. Hata hivyo nia yako, njema imeeleweka.
 
Kama hutaki kumsapoti mtu unakaa kimya tu,kwani amekulazimisha?au kakushikia panga umsapoti?
Hakuna cha support hapo, Kuna mtu unakuta hata huo hakupigii simu ya salamu na Wala hamna ukaribu wowote zaidi ya kufanya kazi kwenye taasisi moja, kitendo cha kutaka kutoa/kuolewa ghafla unakuwa mtu muhimu na WA karibu.
 
πŸ˜ƒπŸ˜ƒ
Hata sisi michango tunatoa sio wewe tu
Kama wewe ulisapotiwa ukatoka,kwa nini upige ukunga vijana wakisapotiwa?
Wazee wa siku hizi mna akili za nzige sijui πŸ˜ƒ
Mimi sikuchangiwa.Mama Wegesa ni shahidi.Nilioa kibabe.
 
.. hata wewe utakuwa mshamba kwa eneo ambalo mimi nina spend fedha nyingi socially ou privately, so heshimu priority za watu, hiyo ni style yako ya maisha baki nayo
Usilie lie sasa,baki na hio pesa yako ule na familia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…