Kuona Maiti ikizikwa na Manispaa kumenitafakarisha sana maisha yetu hapa duniani

Mwananyamala hospital hata kama hukupenda kuweka wazi jina la hospital husika... Je nimepatia?

Kwa bahati mbaya Serikali haina muda wa kufanya utambuzi wa DNA ili walau waondolewe kwenye kundi la waliopotea wasitafutwe zaidi na ndugu zao.
 
Chai
 
Unataka wamuombee ili afufuke?
 
Mkuu binadam akifa ni sawa tu na maiti ya ngombe bmbuzi ama chochote huo umebaki mwili ila kitu cha thaman ni ile nafsi iliyoacha mwili so sioni shida kabisa hata wangeletwa fisi wakala ili kuepusha kujaza nafasi za kuzika na gharama pia, kuna mataifa mengine mtu akifa anaenda kuwekwa sehem kama jalala kuna ndege wanaitwa vurture hatari na nusu ndani ya robo saa tu utakuta mifupa imebakia
 
Mwananyamala hospital hata kama hukupenda kuweka wazi jina la hospital husika... Je nimepatia?

Kwa bahati mbaya serikali haina muda wa kufanya utambuzi wa DNA ili walau waondolewe kwenye kundi la waliopotea wasitafutwe zaidi na ndugu zao
Haya ndio tukiambiwa tunaishi in a shithole country tuelewe, hata wahanga wa vita wanazikwa kwa heshima na utambulisho wao hasa wa DNA, ndio maana utasikia hizi mass graves zinapogundulika huwa zinafukuliwa na utambuzi unafanyika kwa DNA au dental formula, haya ni matokeo ya uzuzu na watawala wanaendeleza hii kitu ili familia zao zitawale nchi hii kwa muda mrefu
 
Hongera kwa kuwa na Moyo mkuu wa ubinadamu.

Hapo hapo unaweza anzia kwa kuanzisha trust fund ya kusaidia hiyo kazi kwa watu waliofariki na Kukosa ndugu, nadhani kuna wadau wengine wenye moyo wa huruma na utu watachangia Pesa na hiyo taarsisi itasimama.
 
Potelea mbali hukumu Ni kwa Mungu hao wanayofanya maigizo ili wazikwe kwa sala achana nao.
 
Uko sahihi Ila kwenye mazingira Kama aliyisimulia mtoa mada hakuona Kama Ni sahihi.

Taifa halijengwi na wenye roho za kikatili pekee,chukulia mfano mediators wasingekuwepo ambao Ni sawa na mtoa mada ndio kusema maisha yangekuwa Kama ya wanyama mbabe ndio ata survive na hats huko vitani kupata hiyo ceasefire au kukomesha Vita inakuwa ngumu na unachukua mda mrefu huku watu wakiendelea kuteketea..

Kama watu wenu mnaodai kuwapigania wakiteketea wote Taifa hapo linatoka wapi? Vita huwa Ni njia ya mwisho lakini ikiwa haileti matokea kwa haraka lazima mrudi mezani kwa msingi wa ubinadamu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…