Kuona Maiti ikizikwa na Manispaa kumenitafakarisha sana maisha yetu hapa duniani

We jichanganye uone kama utazikwa na ndugu
Sijamaanisha ishu kuzikwa na ndugu.
Hoja yangu ni utambuzi wa ndugu wa marehemu ili wafikiwe na taarifa ya status ya ndugu yao kuwa ni no more.
Hili ndio la muhimu. Kwangu unazikwaje si la muhimu.
 
We unaandika hadithi au unaandika nini? Mbona km mambo ya kusadikika tu. Manispaa gani hiyo? Mi hata sijakuelewa.
 
Hey! Who do you think cares about your physical body? Issue hapa ni roho au the soul ndiyo ina kila kitu. Mwili wetu ni boksi tu iliyotengenezwa kwa different proportions and composition of earth
Jenga imani
 
Dua/sala ya mwisho inamsaidia nn marehemu?
 
Kuna utofauti gan kati ya aliyezikwa na manispaa kama mbwa na ww uliyezikwa kwa heshima na ibada kama mangufuli alivozikwa?? Yaan huyu marehem anapata nn hasa akizikwa kwa ibada/heshima
 
Kama kweli wamefanya hivyo, nawaombea Msamaha kwa Mungu. Yeye ndiye anayejua zaidi.

Aamin na ahsante kwa dua yako Mkuu..
Unawaombea msamaha kwa kosa gan? Kwan huyo alozikwa kwa jeneza haozi?
 
Ndo maana ndugu zetu waislamu wanapenda sana sala ya kuomba mwisho mwema, Mwenyezi Mungu atujaalie mwisho mwema.[emoji120]

No mwisho mwema wanaoomba waislam sio kifo cha staha au cha starehe,ni kifo chenye nafasi ya kuomba msamaha kwa mola wako.
 

Mungu akubariki sana,hadi machozi yamenitoka
 
Hiyo ni kama mtu anaeishi mwenyewe huku akiogopa kwamba siku akifa ndani mwenyewe watu hawatajua..atajikuta ameoza tuu.hahaha ukifa mwenyewe ukaoza na ukifa mwenyewe ndugu wakijua pia wataenda kukuzika na utaoza tuu.
 
Kabisa
 
Nimekumbuka back to 2017 dingi mzazi alinambia ata ukifa uzikwe na manispaa maan nilienda mkoa wa mbali nikawa uko kwa muda hakuna anaenijuwa, na nilimtolea shit, ila saiv tuko fresh kabisa
 
Maiti haki yake ni kuondoshwa. Azikwe au achomwe moto kama Wahindi yote ni sawa. Siamini katika kusalia maiti.
 
mwenyezi mungu atakupia kwa wema ulioutenda,inaumiza sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…