masopakyindi
Platinum Member
- Jul 5, 2011
- 18,207
- 13,839
- Thread starter
-
- #61
Muwamba ngoma hata mada hupindishia kwake.Kitendo cha Nyerere kutoendeleza Butiama hakimuonyeshi Mwalimu kuwa ni mzalendo sana! Ni mapungufu yake, kama mapungufu mengine waliyonayo watu wengine...
Mkuu umeongea ukweli mtupuTatizo ni huu unafiki wa kushindwa hata kusema tatizo unaloliona na nani anapendelewa. Sema ni nani ili tujadili na kukemea tatizo. Unaogopa hata kusema unachofahamu kwa majina bandia!! Cowardice!...
Si kwamba hajui kinachoongelewa, tatizo wengine wanataka kudadavuliwa kila kitu na kuwa spoon fed.Mkuu umeongea ukweli mtupu
Maneno mazito mkuu!Kamwe nashindwa kupita kimyakimya kwenye mada kama hii inayosononesha moyo.
Wakati huo huo, karibu kila mtu anaimba "Tano Tena", kama utani vile!
Sijui nchii imepatwa na janga gani.
Ni kama wote tumepigwa ganzi tusitambue ni nini hasa kinatokea.
Mimi sijui ni nani atakayekuja kututapisha sumu hii tuliyoonjeshwa sasa, ili taifa letu liendelee kuwa taifa lenye mshikamano kama aliouacha Mwalimu Nyerere.
Eeenh, sasa Mwalimu hata anasimangwa. Wale watoto nao wamekuwa kama mazuzu vile, wanatafuta ulaji, wanapoukosa wanaambiwa sababu ni kuwa baba yao hakufanya kitu nyumbani kwao!
Nakubaliana mkuu.Kamwe nashindwa kupita kimyakimya kwenye mada kama hii inayosononesha moyo.
Wakati huo huo, karibu kila mtu anaimba "Tano Tena", kama utani vile!
Sijui nchii imepatwa na janga gani.
Ni kama wote tumepigwa ganzi tusitambue ni nini hasa kinatokea.
Mimi sijui ni nani atakayekuja kututapisha sumu hii tuliyoonjeshwa sasa, ili taifa letu liendelee kuwa taifa lenye mshikamano kama aliouacha Mwalimu Nyerere.
Eeenh, sasa Mwalimu hata anasimangwa. Wale watoto nao wamekuwa kama mazuzu vile, wanatafuta ulaji, wanapoukosa wanaambiwa sababu ni kuwa baba yao hakufanya kitu nyumbani kwao!
"Resolve" ya kutokiuka taratibu zilizowekwa kupata hiyo "fairness" ikiachwa ifanye kazi bila ya kuingiliwa na mtu mmoja mwenye madaraka yote, hapo patakuwa na utulivu wa hali ya juu.Nakubaliana mkuu.
Ile dhamira njema inayoitwa resolve, lazima iendane na fairness na goodwill.
Mwalimu alijaribu sana kubalance haya mambo.
Lingering on nepotism.Kanda ya ziwa sasa hivi naona neema imewajia mpaka kwenye teuzi
kaka hebu tueleze miradi ya maendeleo iliyopelekwa jimbo la mwanga kwa upendeleo ni ipi? unasema wewe ulikuwepo wakati cleopa msuya anawahujumu watanzania sasa hebu tupe walau mifano miwili mitatu ili kuthibitisha madai yako.Tulikuwepo wakati wa upendeleo wa wazi wakati CD akipendelea kwao na baadaye kukemewa na Mwalimu.
Huwezi pindisha historia.
Na Mwalimu in exasperation aliwahi kusema.”Nimekuwa na Mwaziri wakuu wengi, pamoja na Waziri Mkuu wa Mwanga..”
It was a rebuke!
Haya tunayoyaona sasa yana ulinganishi.
Uzi kama huu umeuanzisha kwa sababu kubwa kuliko hizi bhla! bhla! kama ni hizi tu hukuwa bna sababu ya kuanzisha uzi JF.Tunaishi nyakati unazizijua vema.
Na mada umeilewa vema ila una unafiki wa ku act kuwa a wounded guy.
Kisaikolojia umasikini wako unaamua kujihalalishia ubaguzi wako.
Refer kwa Mwalimu, nakupeleka SUNGURATEX Butiama, ingwaje kule wanalima pamba.
Hata barabara kwenda Butiama zilijengwa baada ya yeye kufariki.
Buhemba pale kuna dhahabu, lakini Mwalimu hakuweka umimi mbele.
Tunayoyaona yanashangaza.
Hayo ndo majibu tunayoyataka. Tujadili badala ya kushitakiana. Kuna tabia watu wanafundishwa tangu wadogo ukitaka kuziondoa ukubwani lazima nguvu itumike.Eti wahaya hawaalikani? Naona umelewa rubisi si bure.
Infact hao uliosema wamejaa CRDB na TRA wapo na walikuwepo na watazidi kuwepo
Anzisha wewe basi uzi wenye madini tuuone.Uzi kama huu umeuanzisha kwa sababu kubwa kuliko hizi bhla! bhla! kama ni hizi tu hukuwa bna sababu ya kuanzisha uzi JF.
Majivuno ya kikabila unatuletea, haya basi mmesoma sana nyiehuu ni UONGO. hebu tueleze wilaya ya mwanga ina kitu gani cha ajabu ambacho kimepelekwa na msuya na mbunge mwingine hawezi kukipeleka. msuya ndiye aliyepewa jukumu la kujenga viwanda baada ya jumuiya ya afrika mashariki kuvunjika. je, mwanga kuna kiwanda chochote kile? kuna gofu la kiwanda kilichojengwa enzi za mwalimu na msuya? barabara za milimani zinazowashangaza wengi zilijengwa na wafumwa wakati wa mkoloni.
Hii habari ya kusema wapare walipendelewa ni uongo uongo uongo. wapare wa kusini wana barabara ya mkomazi mpaka same wanalia mpaka kesho kwamba haijajengwa kiwango cha lami. na hiyo ndiyo barabara kongwe nchini lakini kila raisi anaipiga danadana kuijenga, halafu kuna mtu leo nimemsoma anasema daniel yona alipendelea same na wapare.
kilichowainua wapare ni uamuzi wa wafumwa kuchangamkia elimu kwa kila mtoto ambao ulitekelezwa kwa majaribio wakati wa mkoloni. uamuzi huo ndio uliopelekea wapare wathamini elimu hata ya mtoto wa kike. wakati tunapata uhuru Waislamu wa Upare walikuwa na shule zaidi ya 20, wakati Waislamu nchi nzima wanaambiwa hawapendi kusoma.
Wapare walishawahi kuwa na gazeti lao habari za Upare. kingine kilichowainua ni tabia ya wapare kutoka maeneo walikozaliwa kwenda mijini kutafuta maisha na kutokusahau kwao. wapare waliotoka nje zamani ndio waliopeleka wazo la kupasua barabara za milimani wakati wa utawala wa wafumwa/ machifu.
Ogopa Mungu kusema uongo nchi ilipendelewa wapi? Kama nchi ingependelewa na waliopita basi leo Mkoa wa Mara ungekuwa nchi kamili kwa sababu una kila kitu cha kuifanya kuwa nchi kuliko Burundi na Rwanda,Zanzibar yangekuwa makao makuu ya nchi ya Tanzania,Mtwara kungekuwa na miundo mbinu inayojitosheleza kuliko mikoa mingine na Bagamoyo ingekuwa Bandari kuu kuliko Dar es Salaam na shughuli za kiserikali zingeamia huko.Una umri gani wewe? Upendeleo ulikuwepo miaka yote. Nahisi kuna watu upendeleo umewatega mgongo ndo maana wanalia lia! Walipopendelewa wakasema ni haki yao. tulieni nchi inyooke.
Ulisoma Historia ya wapi wewe? Mikoa kama Kilimanjaro,Kagera,Mbeya na Arusha walinufaika sana kutokana na vipaumbele vya wakoloni kwenye mikoa hiyo,walianzisha shule nyingi huko,hospitali na huduma mbalimbali za jamii kiasi kwamba hata baada ya uhuru sehemu hizo kulikuwa na ustaarabu wa kutosha kuweza kuwanyanyua kimaisha,lakini ustaarabu huu tunaoulazimisha sasa kuna siku utakuja kuliponza taifa.Ubaguzi nchini una historia ya muda mrefu sana na kila uchao ubaguzi unazidi sasa makabila hivi makabila na jamii mbalimbali nchini at leat zinaanza kujielewa na kufanya kama wao walivyofanyiwa kipindi cha nyuma yaani malipizo,malipizo ambayo kimsingi ndo yanazidi kutuumiza na yanafayika kwa ubaya zaidi.....sasa miaka kadhaa baadae tutavuna tulichopanda kabisa , mana hadi sasa tunaona hasara za ubaguzi ulionza toka kipindi cha Uhuru,wapuuzi wachache waliokuwa viongozi enzi hizo walichukua faida ya umuhimu wao nchini na uzandiki ukaanzia hapo sasa wanadamu unakuta wanakusubiria kwenye pembe sahihi ili wakubomoe vizuri na ndo hapo kila anayepata nafasi anajaribu kufanya kile kilichafanywa miaka ya nyuma na pengine kuongeza ambapo kiuhalisia ni ujinga na upuuzi unaoturudisha nyuma kwa kufanya mambo ya jalalani.....
Tunaishi nyakati unazizijua vema.
Na mada umeilewa vema ila una unafiki wa ku act kuwa a wounded guy.
Kisaikolojia umasikini wako unaamua kujihalalishia ubaguzi wako.
Refer kwa Mwalimu, nakupeleka SUNGURATEX Butiama, ingwaje kule wanalima pamba.
Hata barabara kwenda Butiama zilijengwa baada ya yeye kufariki.
Buhemba pale kuna dhahabu, lakini Mwalimu hakuweka umimi mbele.
Tunayoyaona yanashangaza.
Hukumuelewa!Ogopa Mungu kusema uongo nchi ilipendelewa wapi? Kama nchi ingependelewa na waliopita basi leo Mkoa wa Mara ungekuwa nchi kamili kwa sababu una kila kitu cha kuifanya kuwa nchi kuliko Burundi na Rwanda,Zanzibar yangekuwa makao makuu ya nchi ya Tanzania,Mtwara kungekuwa na miundo mbinu inayojitosheleza kuliko mikoa mingine na Bagamoyo ingekuwa Bandari kuu kuliko Dar es Salaam na shughuli za kiserikali zingeamia huko.