BodGanleonid
JF-Expert Member
- Nov 14, 2022
- 3,021
- 4,330
Kwahiyo wewe hakuna mtu yeyote maarufu duniani unayemfatilia?????Sijasema Le Mutuz tu, sijasema lisiongelewe.
Nawaeleza hiyo ni dalili ya emptiness.
Ni kama vile watu wameshindwa kusimamia maisha yao, wanafurahi kuona matatizo ya wengine.
Yani mtu mwingine kupata matatizo yakajulikana public inawapa nafuu fulani.
Wanajiona afadhali wao pamoja na matatizo yao yote, hawajadhalilika hivi publicly.
Ni aina fulani ya saikolojia inayoonesha maisha yaliyo very empty.
Watu wengi wako hivyo. Si wewe tu.
Wajerumani wana neno kabisa katika lugha yao kuelezea hili.
Schadenfreude.
Amcheki Kanye west alivyo achana na Kim Kardashian, Hawa ndio wanatoa picha nzuri nini maana ya child support...[emoji3][emoji3]Unaijuwa child support Marekani? Sikia hivyo hivyo.
Kwanini bado upo kwenye thread ya kimbea??Mange hajaanzisha thread JF.
Mimi naonesha jinsi Wabongo walivyo na tabia za kufuatiliana tu.
Yani mtu anaona bora akose hela kuliko kukosa kufuatilia maisha ya mtu baki!
Ila Neema kumpelekea Mange family issues kwako Wewe ndio unaona sahihi?Sasa kama Neema yupo JF na wewe unajali sana mambo ya familia yake, kwa nini hukumtafuta directly umpe mawaidha yako?
Kwa nini ukaona umuhimu wa kuanzisha thread?
Kuna Watanzania mamilioni wana dysfunctional families, utawaanzishia threads wangapi leo?
Wewe mwenyewe ya familia yako umeyamaliza?
Shida watu hawafanani na haitawezekana..It's the life you chose.
Wote. Hao maarufu, na nyie mnaowasengenya na kueneza fitna.
Mimi kwa kweli nikifikiri sana, kuanza kumuongelea Le Mutuz na familia yake inakuwa ngumu.
Simjui kihivyo, kumsoma social media si kumjua, mambo ya familia mengi sana, na hata ningemjua ningeongea naye mwenyewe. Nisingekaanga mbuyu mitandaoni.
Siwezi kujipa umuhimu sana katika shauri nisilolijua, kumhusu mtu ambaye simfahamu, ambaye hata hajaniomba ushauri.
Kujipa umuhimu hivyo ni dalili ya emptiness katika maisha ya mtu. Ni kama vile mtu hana familia yake kuiangalia, hana kazi zake za kufuatilia, anaishia kuishi maisha yake kwa kumfuatilia Le Mutuz.
Yani mtu anakuwa na maisha empty mpaka anajitengenezea ukaribu wa kufikirika na Le Mutuz anajiona na yeye kama mwanafamilia wa familia ya Le Mutuz vilee.
Ni aina fulani ya emptiness.
Kumnogea bwana wewe.Ila Neema kumpelekea Mange family issues kwako Wewe ndio unaona sahihi?
JF hii ni platform where we dare to speak openly.
Mkuu wajinga hawawezi kuisha hii dunia.Na bado kuna watu wanajizima data wanatetea huu upuuzi.
Sawa ni mawazo yako pia."Ushetani" hauendani na gender,mtu yeyote bila kujali mwanamke au mwanamme anaweza kuwa na tabia za "kishetani"
Yani kukimbia kuwajibika ndo iwe source ya mtoto kumwambia baba ake vile????Mwana umleavyo ndivyo akuavyo
Lawama haziendi mbali na lemutuz kama baba. Kukimbia kuwajibika ndio kumeleta hayo
Naelewa watu hawafanani.Shida watu hawafanani na haitawezekana..
Unajaribu ili watu wafikirie kama wewe ki weledi zaidi.
Sio rahisi ni kuacha tu.
Mkuu,I feel sorry for William, binafsi naunga mkono huu uzi. Uyo aliyekuwa mke wa Le mutuz anafanya vibaya sana kupeleka ubaya kwa watoto
Aisee kama wanaume wenyewe ndo hawa,tumekwisha.MaweeeeeYani kukimbia kuwajibika ndo iwe source ya mtoto kumwambia baba ake vile????
Na mmekwisha kweli kwa sababu ya ujinga mlio nao vichwani mwenu.Aisee kama wanaume wenyewe ndo hawa,tumekwisha.Maweeeee
Wakiume ndio maana hakutaka mjadala just s#&k my d!£&k you bkackass nigger anasema msamaha anaomba sabb kuna watu wamemwabia afanye hivyo 😆Sema Boma Liwanza ana akili kisoda...
Cheki alivyoshushuliwa na mtoto....
View attachment 2590634View attachment 2590635
Halafu asivyo na akili eti anamuambia mtoto "Nimefanya hivi baada ya kuombwa"? Kwamba hiyo new chapter haijatoka moyoni mwake...
Mwanae ana akili sana, ndo maana kamjibu "You are so sick in the head"...
Vitu vingine vinakasikirisha bruhHata ingekuwa miaka 100... kama zina charge huwezi mtukana mtu ulietoka viunoni mwake.. baba anabaki kuwa baba tu, hakuna baba wawili.. na sio tu kumtukana baba, haifai hayo matusi kumtukana mtu yoyote kwa mtu alie timamu.. zipo namna nyingi na lugha zenye stahaa za kuonesha hujapendezwa na jambo
Nimepitia comments zako itoshe kusema wewe ni moja ya wanawake wajinga, feminists, narcissists na kama umeolewa huyo mwanaume ana tabu tupu.Aisee kama wanaume wenyewe ndo hawa,tumekwisha.Maweeeee