Kupandikiza watoto chuki siyo kitu sahihi. Le Mutuz kwa hili anaonewa sana, namtetea

Kupandikiza watoto chuki siyo kitu sahihi. Le Mutuz kwa hili anaonewa sana, namtetea

Sijasema Le Mutuz tu, sijasema lisiongelewe.

Nawaeleza hiyo ni dalili ya emptiness.

Ni kama vile watu wameshindwa kusimamia maisha yao, wanafurahi kuona matatizo ya wengine.

Yani mtu mwingine kupata matatizo yakajulikana public inawapa nafuu fulani.

Wanajiona afadhali wao pamoja na matatizo yao yote, hawajadhalilika hivi publicly.

Ni aina fulani ya saikolojia inayoonesha maisha yaliyo very empty.

Watu wengi wako hivyo. Si wewe tu.

Wajerumani wana neno kabisa katika lugha yao kuelezea hili.

Schadenfreude.
Kwahiyo wewe hakuna mtu yeyote maarufu duniani unayemfatilia?????
 
Sasa kama Neema yupo JF na wewe unajali sana mambo ya familia yake, kwa nini hukumtafuta directly umpe mawaidha yako?

Kwa nini ukaona umuhimu wa kuanzisha thread?

Kuna Watanzania mamilioni wana dysfunctional families, utawaanzishia threads wangapi leo?

Wewe mwenyewe ya familia yako umeyamaliza?
Ila Neema kumpelekea Mange family issues kwako Wewe ndio unaona sahihi?

JF hii ni platform where we dare to speak openly.
 
It's the life you chose.

Wote. Hao maarufu, na nyie mnaowasengenya na kueneza fitna.

Mimi kwa kweli nikifikiri sana, kuanza kumuongelea Le Mutuz na familia yake inakuwa ngumu.

Simjui kihivyo, kumsoma social media si kumjua, mambo ya familia mengi sana, na hata ningemjua ningeongea naye mwenyewe. Nisingekaanga mbuyu mitandaoni.

Siwezi kujipa umuhimu sana katika shauri nisilolijua, kumhusu mtu ambaye simfahamu, ambaye hata hajaniomba ushauri.

Kujipa umuhimu hivyo ni dalili ya emptiness katika maisha ya mtu. Ni kama vile mtu hana familia yake kuiangalia, hana kazi zake za kufuatilia, anaishia kuishi maisha yake kwa kumfuatilia Le Mutuz.

Yani mtu anakuwa na maisha empty mpaka anajitengenezea ukaribu wa kufikirika na Le Mutuz anajiona na yeye kama mwanafamilia wa familia ya Le Mutuz vilee.

Ni aina fulani ya emptiness.
Shida watu hawafanani na haitawezekana..

Unajaribu ili watu wafikirie kama wewe ki weledi zaidi.
Sio rahisi ni kuacha tu.
 
Shida watu hawafanani na haitawezekana..

Unajaribu ili watu wafikirie kama wewe ki weledi zaidi.
Sio rahisi ni kuacha tu.
Naelewa watu hawafanani.

Na wala sitaki wafanane.

Naonesha mawazo mbadala tu.

Ili miaka hata 3,000 baada ya leo wakija future digital archaeologist wakifukua internet za Watanzania walikuwa wanaongea nini, wakiona utumbo mwingi, lack of empathy, lack of compassion, umbea, schadenfreude, kupenda kueneza fitna, kupenda kusengenyana, kuwindana, kutukanana, waone angalau kuna mtu mmoja mmoja hapa na pale aliyekataa kwenda na premise hiyo ya passive aggressive low key cannibalism na willy nilly judgement.

Na wachache kati yetu leo wanaoelewa ninachoandika wasijione wako peke yao.
 
Kimsingi, wazazi watambue tofauti zao ni mambo yao binafsi haitakiwi kuwahusisha watoto. Haijalishi mlikosana nini na kwa kiasi gani. Hadi mtoto kufikia kumwambia baba yake ambaye anatembelea DNA yake kuwa "suck my dick". Kiukweli hata huyo mama anaewakuza (siyo kuwalea) hao watoto ana shida kichwani.

Hata hivyo, huu ni ujumbe kwenda kwa vijana kuchagua wanawake sahihi wa kuoa maana siyo "Kila mwanamke ni MKE". Mwanamke wa kugombana tu anatoa siri za ndani kwa ndugu, majirani, na marafiki huyo ni feki, utajuta maishani.
 
Lemetuz qnadharaulika kwa mambo mawili.

1. Tabia zake chafu chafu na akili zake za upuuzi.

2. Hana lolote la maana sio cheo, sio biashara, hayuko kwenye system yoyote yenye kuleta umateumate.

Laiti lemtuz angekuwa anajiheshimi na maisha yake binafsi na angekuwa na ka ukwasi fulani au kacheo hata angepotea miaka 30 watoto wake wangemtafuta tu watake wasitake.

Pamoja na yote huyo dogo hakupaswa kumtukana baba yake mzazi. Ni kiashiria kwamba Hana malezi kutoka kwa mama yake.

Anyway mambo yao tuwaachie wenyewe wamalizane
 
Sema Boma Liwanza ana akili kisoda...

Cheki alivyoshushuliwa na mtoto....

View attachment 2590634View attachment 2590635


Halafu asivyo na akili eti anamuambia mtoto "Nimefanya hivi baada ya kuombwa"? Kwamba hiyo new chapter haijatoka moyoni mwake...

Mwanae ana akili sana, ndo maana kamjibu "You are so sick in the head"...
Wakiume ndio maana hakutaka mjadala just s#&k my d!£&k you bkackass nigger anasema msamaha anaomba sabb kuna watu wamemwabia afanye hivyo 😆
 
Hata ingekuwa miaka 100... kama zina charge huwezi mtukana mtu ulietoka viunoni mwake.. baba anabaki kuwa baba tu, hakuna baba wawili.. na sio tu kumtukana baba, haifai hayo matusi kumtukana mtu yoyote kwa mtu alie timamu.. zipo namna nyingi na lugha zenye stahaa za kuonesha hujapendezwa na jambo
Vitu vingine vinakasikirisha bruh
Dogo anasema hajawahi kuwasiliana nae for 10yrs yeye mtandaoni ni kutukanana na watu na pics za wanawake tofauti
Hata kama ni mimi ningekuwa tu kama wa kiume ningemwabia just s#&k my d!&£k u blackass nigger
 
Back
Top Bottom