Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 21,741
- 26,735
Unaweza kuwa ulipita tu, na ungekujua huko usingesema ni malaya, umalaya unatokana na kushindwa kujiajiri kwenye biashara na kuamua kuitegemea pochimanyoa.Mbona Kama unaandika kwa Jazba Tena?we una uhakika gani Mimi sipajui Kyela?yaani Mimi nisipajue Mwaya na matema kweli?hizo zote sifa ulizoandika Ni sawa asilimia 100 Ila hii nyingine mbona unaikataa?
Khaaa ndo maana anatukanwa..
Kwa Nini unahisi nilipita na sikuishi huko? wale wamama wafanyabiashara unaowazungumzia isssue sio pesa yaani issue wanachagua mtu wanaemtaka wao waburudishwe....usipindishe historia aiseeeUnaweza kuwa ulipita tu, na ungekujua huko usingesema ni malaya, umalaya unatokana na kushindwa kujiajiri kwenye biashara na kuamua kuitegemea pochimanyoa.
Sawa, amini hivyo.Kwa Nini unahisi nilipita na sikuishi huko? wale wamama wafanyabiashara unaowazungumzia isssue sio pesa yaani issue wanachagua mtu wanaemtaka wao waburudishwe....usipindishe historia aiseee
SawaSawa, amini hivyo.
Waite kataa ndoa wotee, waje wajionee mitusi watayokula miaka 16 ijayo kutoka Kwa kina Juniors ambao wamewaachia single mothers wawalee[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Yani ugomvi wa Familia mkagombanie Instagram? Halafu eti mediator ni Kigagula Mange Kimambi?
Sielewi kwa nini huoni makosa ya Neema kuleta hili swala kwa mtu ambaye ni enemy wa furaha za watu wengine?
Kwa haya mapicha picha Lemtutuz hajitambui, ndo Maana Hadi watoto wanamtukana.Boma Liwanza...
View attachment 2590570
pole sana.Bora ujinga,kuliko wewe mpumbavu.
Lemutuz anajikaanga na mAfuta yake mwnyw,Chanzo ni yeye mwenyewe
Mume au mke Ukimshindwa mwanamke au mwanaume hakikisha unawajibika kwa watoto wako. Uspofanya hivyo ndo hayo sasa
Ila nawaonea huruma hawa watoto maana washapoteza baraka zao toka Mungu. Baraka za Mungu zinapita kwa baba mzazi ndio zishuke kwa mtoto
Hizo tabia nyingine hapo siyo za Le Mutuz peke yake, bali ni za Ccm wote.Mange ni shetani. Sio binadamu wa kawaida. Roho ya Mange ni zaidi ya mbaya. Ila Lemutuz naye ni mzee mpumbavu aliyepitiliza. Pia ni mwongo aliyekubuhu. Kuna post zake huwa ana-copy na ku-paste bila kutoa credit kwa authors. Kuna siku kapost uongo kuhusu Amida Chatur wa DRC nikampinga kwa facts lakini cha kushangaza akaishia kunishambulia. Kuhusu unafiki ndo tabia pendwa ya Lemutuz. Wakati wa JPM alijiweka mbali na kina Ridhiwani na kuwa karibu na Makonda huku akimsifu hatari. Mara baada ya kuondoka kwa JPM haikuchukua muda akaanza kurusha mabomu kwa JPM na Makonda huku akitafuta ukaribu na Ridhwani tena. Kimsingi ni ngumu mno kumtetea Lemutuz.
Ni Kheri kitokusalimiana kulipo kutukananaNafuu hata hao wako huko mbele, huku kwetu tu wapo wana familia hawasalimiani
Lakini Neema siyo single Mother, alishaolewa lakini hataki kumove on.Afu ndo shida ya single mothers,
Apo Mtoto kumtukana baba ake mwanamke anajiona superwoman balaa[emoji848]
Kampampu kwanza kwamba ni mgonjwa, jamaa kujitetea kwamba haumwi ndio akaambiwa ni mgonjwa kichwani 😂Sema Boma Liwanza ana akili kisoda...
Cheki alivyoshushuliwa na mtoto....
View attachment 2590634View attachment 2590635
Halafu asivyo na akili eti anamuambia mtoto "Nimefanya hivi baada ya kuombwa"? Kwamba hiyo new chapter haijatoka moyoni mwake...
Mwanae ana akili sana, ndo maana kamjibu "You are so sick in the head"...
Mbona hapa anahukumiwa mama wa mtoto? Vp Kama baba hakuwa na mahusiano mazuri na watoto wake? Isitoshe mtoto mkubwa anajua baya na zuri hivyo anajua anachokifanya.
Hii ni dunia WANAWAKE tunabebeshwa Sana mizigo.
Naona huwajui watoto wa mamtoni wewe, Mama hawezi gusa simu ya mtoto wa miaka 18+ thubutuu, watoto wa mamtoni hadi wanagombana ngumi kavu kavu na madingi itakua kujibu message?? Msimrushie lawama mama yao, watoto wa mamtoni wana akili sana kuliko percent kubwa ya wababa wa bongo, wanaona mambo yote, sidhani kuna mtoto wa kiume anaweza kumfurahia baba yake kuweka mapicha picha akiwa na wanawake tofauti tofauti kwa 5 star hotels hadi kwa rooms.Huyo sio mtoto bali ni mama yake
Na wewe unaingia Mkumbo uleule, Kwahiyo mamtoni hakuna Watoto wanaolelewa katika misingi bora?Naona huwajui watoto wa mamtoni wewe, Mama hawezi gusa simu ya mtoto wa miaka 18+ thubutuu, watoto wa mamtoni hadi wanagombana ngumi kavu kavu na madingi itakua kujibu message?? Msimrushie lawama mama yao, watoto wa mamtoni wana akili sana kuliko percent kubwa ya wababa wa bongo, wanaona mambo yote, sidhani kuna mtoto wa kiume anaweza kumfurahia baba yake kuweka mapicha picha akiwa na wanawake tofauti tofauti kwa 5 star hotels hadi kwa rooms.
NB. sitetei hayo majibu ya huyo mtoto ila hio ndio reality ya watoto wa mamtoni hawajali kitu ingawa sio wote. Wakikunawa wamameliza.