Kupandikiza watoto chuki siyo kitu sahihi. Le Mutuz kwa hili anaonewa sana, namtetea

Kupandikiza watoto chuki siyo kitu sahihi. Le Mutuz kwa hili anaonewa sana, namtetea

Mbona Kama unaandika kwa Jazba Tena?we una uhakika gani Mimi sipajui Kyela?yaani Mimi nisipajue Mwaya na matema kweli?hizo zote sifa ulizoandika Ni sawa asilimia 100 Ila hii nyingine mbona unaikataa?
Unaweza kuwa ulipita tu, na ungekujua huko usingesema ni malaya, umalaya unatokana na kushindwa kujiajiri kwenye biashara na kuamua kuitegemea pochimanyoa.
 
Unaweza kuwa ulipita tu, na ungekujua huko usingesema ni malaya, umalaya unatokana na kushindwa kujiajiri kwenye biashara na kuamua kuitegemea pochimanyoa.
Kwa Nini unahisi nilipita na sikuishi huko? wale wamama wafanyabiashara unaowazungumzia isssue sio pesa yaani issue wanachagua mtu wanaemtaka wao waburudishwe....usipindishe historia aiseee
 
Chanzo ni yeye mwenyewe
Mume au mke Ukimshindwa mwanamke au mwanaume hakikisha unawajibika kwa watoto wako. Uspofanya hivyo ndo hayo sasa

Ila nawaonea huruma hawa watoto maana washapoteza baraka zao toka Mungu. Baraka za Mungu zinapita kwa baba mzazi ndio zishuke kwa mtoto
Lemutuz anajikaanga na mAfuta yake mwnyw,

huwez kua baba, kutwa kucha uko mitandaoni unajinadi uko 5star hotel na Wanawake tofaut tofauti daily

afu wanao uko marekani umewatelekeza kwa mama Yao, hujui wamekula nn,wamevaa nn na mitandaoni wanakuona kila siku.

Haya maisha yake ya kujianika ndo sumu aliyojitengenezea mwnyw kwa wanae, asitafute mchawi.
 
Mange ni shetani. Sio binadamu wa kawaida. Roho ya Mange ni zaidi ya mbaya. Ila Lemutuz naye ni mzee mpumbavu aliyepitiliza. Pia ni mwongo aliyekubuhu. Kuna post zake huwa ana-copy na ku-paste bila kutoa credit kwa authors. Kuna siku kapost uongo kuhusu Amida Chatur wa DRC nikampinga kwa facts lakini cha kushangaza akaishia kunishambulia. Kuhusu unafiki ndo tabia pendwa ya Lemutuz. Wakati wa JPM alijiweka mbali na kina Ridhiwani na kuwa karibu na Makonda huku akimsifu hatari. Mara baada ya kuondoka kwa JPM haikuchukua muda akaanza kurusha mabomu kwa JPM na Makonda huku akitafuta ukaribu na Ridhwani tena. Kimsingi ni ngumu mno kumtetea Lemutuz.
Hizo tabia nyingine hapo siyo za Le Mutuz peke yake, bali ni za Ccm wote.

Sifa kuu ya kuwa mwanaccm ni unafki, hamnaga aibu.

Makonda alihadaa wajinga wenzake anapambana na Dawa za kulevya halafu hapohapo ni swahiba mkubwa wa Kinje, huu ni unafki wa kiwango cha PhD.

Vita fake ya Makonda ya Dawa za kulevya ilikuwa ni vita kati ya drugs cartels kudhibiti biashara yao haram.
 
Afu ndo shida ya single mothers,
Apo Mtoto kumtukana baba ake mwanamke anajiona superwoman balaa[emoji848]
Lakini Neema siyo single Mother, alishaolewa lakini hataki kumove on.

Kuna vitu mnachekesha tu, licha ya vituko vyote yani mwanamke na kazi yako utegemee child support kutoka Kwa blogger Bongo?

Wengi mmenyimwa ufahamu kwenye issue hii, mtu anakimbia Marekani kuja kuwa blogger Bongo siyo jambo la kawaida.
 
Sema Boma Liwanza ana akili kisoda...

Cheki alivyoshushuliwa na mtoto....

View attachment 2590634View attachment 2590635


Halafu asivyo na akili eti anamuambia mtoto "Nimefanya hivi baada ya kuombwa"? Kwamba hiyo new chapter haijatoka moyoni mwake...

Mwanae ana akili sana, ndo maana kamjibu "You are so sick in the head"...
Kampampu kwanza kwamba ni mgonjwa, jamaa kujitetea kwamba haumwi ndio akaambiwa ni mgonjwa kichwani 😂
 
Mbona hapa anahukumiwa mama wa mtoto? Vp Kama baba hakuwa na mahusiano mazuri na watoto wake? Isitoshe mtoto mkubwa anajua baya na zuri hivyo anajua anachokifanya.
Hii ni dunia WANAWAKE tunabebeshwa Sana mizigo.
 
Huyo sio mtoto bali ni mama yake
Naona huwajui watoto wa mamtoni wewe, Mama hawezi gusa simu ya mtoto wa miaka 18+ thubutuu, watoto wa mamtoni hadi wanagombana ngumi kavu kavu na madingi itakua kujibu message?? Msimrushie lawama mama yao, watoto wa mamtoni wana akili sana kuliko percent kubwa ya wababa wa bongo, wanaona mambo yote, sidhani kuna mtoto wa kiume anaweza kumfurahia baba yake kuweka mapicha picha akiwa na wanawake tofauti tofauti kwa 5 star hotels hadi kwa rooms.
NB. sitetei hayo majibu ya huyo mtoto ila hio ndio reality ya watoto wa mamtoni hawajali kitu ingawa sio wote. Wakikunawa wamemaliza.
 
Naona huwajui watoto wa mamtoni wewe, Mama hawezi gusa simu ya mtoto wa miaka 18+ thubutuu, watoto wa mamtoni hadi wanagombana ngumi kavu kavu na madingi itakua kujibu message?? Msimrushie lawama mama yao, watoto wa mamtoni wana akili sana kuliko percent kubwa ya wababa wa bongo, wanaona mambo yote, sidhani kuna mtoto wa kiume anaweza kumfurahia baba yake kuweka mapicha picha akiwa na wanawake tofauti tofauti kwa 5 star hotels hadi kwa rooms.
NB. sitetei hayo majibu ya huyo mtoto ila hio ndio reality ya watoto wa mamtoni hawajali kitu ingawa sio wote. Wakikunawa wamameliza.
Na wewe unaingia Mkumbo uleule, Kwahiyo mamtoni hakuna Watoto wanaolelewa katika misingi bora?

Kwahiyo mamtoni hakuna Watoto ambao watakuja kuwa wachungaji na masheikh wote ni hawa suck my dick?

Msipotoshe watu, Mimi Nina vijomba vyangu vinaniamkia kabisa shikamoo Anko.

Pamoja wamezaliwa na kukulia mamtoni wanafundishwa how to behave kama Mwafrica.
 
Back
Top Bottom