Kupandikiza watoto chuki siyo kitu sahihi. Le Mutuz kwa hili anaonewa sana, namtetea

Hajatukanwa huyo lemutuz sema kaambiwa ukweli , naked truth
 
Wabongo wengi mnapenda sana ubuyu.

Halafu style zenu za kuenezeana ubuyu sasa.

Mtu anaanzisha uzi unaona kabisa huyu anafurahia ubuyu, lakini anajifanya kama kahuzunishwa na hii habari anaileta hapa kuonya jamii.

Wakati unaona kabisa huyu anafurahia ubuyu!
 
Siwezi kujaji,sijui huyo mtoto aliyoyaishi magumu hadi kuwa na hasira kama hiyo.Kumbuka Baba yake alimuacha 10 yrs dry. Tena akiwa mtoto na sasa ni mtu mzima.
 
Aaah and most of them ni wanawake . Nadhani the reason ni Kwamba hatupo busy na maisha ya utafutaji
 
Siwezi kujaji,sijui huyo mtoto aliyoyaishi magumu hadi kuwa na hasira kama hiyo.Kumbuka Baba yake alimuacha 10 yrs dry. Tena akiwa mtoto na sasa ni mtu mzima.
Kuna watoto wameishi maisha nagumu sana kwa miaka mingu, ila hawajafikia hatua ya lugha chafu kama hiyoo.. kama mtoto ana lugha chafu kwa mtu alietoka kiunoni mwake, itakuwaje kwa watu baki ?
 
Aaah and most of them ni wanawake . Nadhani the reason ni Kwamba hatupo busy na maisha ya utafutaji
Wanaume nao wanakuja juu mkuu.

Aliyeanzisha huu uzi eti naye mwanamme.

Unaona ndoa ya mwanamme mwenzako imeteketea, familia imefarakana, eti na wewe unayejiita mwanamme unaeneza hizo habari mitandaoni.

Watu huwajui, hawakujui.

Unajipa umuhimu tu katika maisha yao!
 
Kuna watoto wameishi maisha nagumu sana kwa miaka mingu, ila hawajafikia hatua ya lugha chafu kama hiyoo.. kama mtoto ana lugha chafu kwa mtu alietoka kiunoni mwake, itakuwaje kwa watu baki ?
Hiyo lugha imetokana na chuki aliyojenga dhidi ya baba yake.kipindi anakua kuna magumu alipitia na aliamini baba.yake angekuwepo angesolve. Huyo mtoto hawezi kumjibu mtu baki hivyo.All in all tuwalee watoto wetu katika hali zote,kumbuka hakuna mtoto alieomba kuzaliwa,ni sisi wazazi tuliamua kuzaa,hivyo ukizaa hakikisha unakuwepo kwenye maisha ya mwanao kwa mali na hali,katika hali zote .
 
Kuna Mama Mdogo wangu she was married na Kupata watoto wa nne na kuachana na Mwanaume wake the reasons ya kuachana is where MAMA Mdogo Kupata kesi na kuwa mahabusu Hadi Gerezani kwa kumpiga mchipuko wa mme wake .

Alikaa ndani miaka 2 kipindi yupo Gerezani watoto wake walilelewa na Babu yetu na Bibi watoto jumla wanne .


Yule mme wake alikataa kutoa support hata kupiga simu Hadi watoto wakawa watu wazima Hadi leo hapigi simu Wala kutuma messages
Bahati mbaya Hawa watoto maisha yanawaendea wrong but the reasons ya maisha kuwa wrong ni kwasababu hawakupata malezi Bora kutoka kwa Baba Yao .


Sasa mjinga Kama huyu Mme wake na Mama Mdogo akijibiwa Kama watoto wa Lemutuz je atakuwa anaonewa ?

Wanaume wa Tz hawajitambui most of them wanawaza michipuko tu awaangalii the future of their kids lakini umri ukienda ndo wanaanza Kujitambua WTF
 
Ndio maisha ya watu maarufu jambo lao likija in public azima liongelewe. Hamna cha jinsia wala nini umaarufu ni mzigo wa n'nya ukipita popote lazima nzi wakufuate.
 
Hata Kama hauna hela hakikisha unasapoti Familiya yako hata kupiga simu na messages Mimi najua Lemutuz is fucking father lakini kukaa mbali na Familiya yako bila hata kupiga simu Wala kuwajulia Hali lazima utaishia kuambia kuamamake na watoto wako
 
Wazazi wa siku hizi ndo wanalea watoto wa siku hizi.

Tabia za siku hizi ni undava undava
 
Ndio maisha ya watu maarufu jambo lao likija in public azima liongelewe. Hamna cha jinsia wala nini umaarufu ni mzigo wa n'nya ukipita popote lazima nzi wakufuate.
Sasa si mseme tu tunaeneza ubuyu wa watu maarufu tujue mmaeneza ubuyu tu?

Ya nini kujipa tabu za kujifanya mnaonya jamii, mnataka kufikisha ujumbe, wakati mnachotaka ni ubuyu, fitna, kusengenyana na kuwasema watu maarufu kwa schadenfreude tu?

Waswahili walisema, ndugu wakigombana, shika jembe ukalime. Wakipatana, shika kapu ukavune.
 
Eeeh ukiwa mtu maarufu jiandae na public opinion iwe ya kuonya ya kutukanwa etc. Kama hutaki hiyo kadhia usiwe maarufu.
Kule celebrity forum tunamuongelea kanye west yupo marekani na tunamuongelea kama tunakaa naye nyumba moja. Na sio watanzania tu nchi yoyote mtu maarufu lazima jambo lake likija public liongelewe kwa kuonya, kushangaa na hata kupongeza
 
Yani unamtukana baba yako halafu unamblock.

Nani mwenye access na simu ya huyu mtoto? Hivi habari ufikishe kwa Kigagula Mange mwenye followers sijui million 10 kuna siri gani tena hapo?
Wakati hii text imeingia mtoto alimshirikisha mama na mama ndiye aliyejibu hiyo jibu, sometime bora umfadhili punda atakubebea hata maji, sio mwanamke mpumbavu.
Ila kama ndo mtoto ana guts hii, asee hata kama baba awe chizi kiasi gani karma will backfire
 
Huwezi kuwageuza Watoto kama fimbo ya kumchapia mtalaka wako, hasa kwakuwa Wewe ndio mwenye custodian.

Pamoja na upuuzi wote wa Le Mutuz lakini alifanya jambo la maana sana kuandika historia yake kwa mkono wake kabla hajafa.

Kama unaujuwa upande wa Pili wa shilling wa William pamoja na mapungufu yake yote ambayo wengi tunayajuwa lakini hakuwa mbaya kihivyo kama tunavyotaka kuaminishwa.

Hizi tabia za kuwatumia Watoto kuwachapia baba zao kwa ugomvi wenu binafsi hazifai.

Leo hii Watoto hawajui kama mama yao alikuwa anakazwa hovyo ndio ugomvi ulipoanzia lakini hayo yote mnayaficha, je Le Mutuz naye awaambie mama yao Malaya?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…