Kupandikiza watoto chuki siyo kitu sahihi. Le Mutuz kwa hili anaonewa sana, namtetea

Kupandikiza watoto chuki siyo kitu sahihi. Le Mutuz kwa hili anaonewa sana, namtetea

Umri wa kukaa ughaibuni kwa Furaha ni kuanzia miaka 0 -50. Baada ya hapo ni mateso na kuwa na Msongo wa mawazo hasa kwa mtu ambaye unakuwa mguu mmoja tz na mwingine ughaibuni, unakuwa frustrated na mpweke kama Kiranga ! Jinsi ya kujikwamua ni kujiunga na kuwa na kijiwe kama JF. Kwa bahati mbaya kutokana na Msongo wa mawazo unakuwa na mitizamo hasi! Uha ndipo unaukaribisha! Nimeipenda analysis yako. Ughaibuni ni pahala pa kuchuma si pa kumalizia maisha yako
Kwa nini unaninyanyapaa kwamba mimi mpweke?

Nyie ndio wale wale ninaowasema mkimsoma mtu mitandaoni tayari mnajiwekea ukaribu wa kujitengenezea wenyewe kwamba mnamjua.

Mkuu mimi niko New York City, nimepewa tuzo na JF. Wiki hiyohiyo nimeipata tuzo yangu. Na sijaenda Tanzania. Jinsi network yangu ilivyo tight.

Sasa mtu mwenye upweke anawezaje kufanya kitu kama hicho?

Usinione sana mtandaoni tu ukafikiri mimi mpweke, mimi sina tatizo la upweke, mimi nina the opposite problem, too many people want to know me, too many people want to meet me, too many people are introduced to me, too many people want me to speak at such and such event, kiasi kwamba there is too much demand on my time by too many people.

Sasa nitakuwaje mpweke hapo?

To the contrary, nyie mnaokalia kufuatilia maisha ya watu ndio wenye upweke.

Maisha yenu yako empty mpaka mnaona myatie vitu interesting kwa kufuatilia maisha ya wenzenu.
 
Le mutuz nafikiri alishindwa kuishi marekani labda kwa sababu ya kipato na kuja kuishi shithole countries (usemi WA Trump).Mimi sijawahi ona mtu ambaye maisha yamemshinda tayari huko ughaibuni kutuma pesa Toka Africa kwenda
Alisema mwenyewe kakimbia baada ya kuona kesi nyingi na hela yake inapigwa tu na mama watoto kila mwezi akaamua kurudisha majeshi.
Kadai karudi na dola 1000 tu kipindi hicho..
Alikua member Active humu na mkewe sana tu.
Mpk anarudi alisema hapa jukwaani.
 
Kwa nini unaninyanyapaa kwamba mimi mpweke?

Nyie ndio wale wale ninaowasema mkimsoma mtu mitandaoni tayari mnajiwekea ukaribu wa kujitengenezea wenyewe kwamba mnamjua.

Mkuu mimi niko New York City, nimepewa tuzo na JF. Wiki hiyohiyo nimeipata tuzo yangu. Na sijaenda Tanzania. Jinsi network yangu ilivyo tight.

Sasa mtu mwenye upweke anawezaje kufanya kitu kama hicho?

Usinione sana mtandaoni tu ukafikiri mimi mpweke, mimi sina tatizo la upweke, mimi nina the opposite problem, too many people want to know me, too many people want to meet me, too many people are introduced to me, too many people want me to speak at such and such event, kiasi kwamba there is too much demand on my time by too many people.

Sasa nitakuwaje mpweke hapo?

To the contrary, nyie mnaokalia kufuatilia maisha ya watu ndio wenye upweke.

Maisha yenu yako empty mpaka mnaona myatie vitu interesting kwa kufuatilia maisha ya wenzenu.
Pole sana, nyani hawezi liona k undule mpaka aweke Kioo! Kioo chako ni watu kama Joannah ! Hiki ulichokiandika kinajinasibu upweke
 
Exactly my point.
You have no point on this matter, Neema ndio mshirika wa Mange kwa miaka miaka mingi.

Dr Mwele Malecela msomi aliyeheshimika, mama mlezi wa Mange Kimambi naye ni sehemu ya matunda haya yanayovunwa sasa kwa beef binafsi na Le Mutuz.

Halafu cha kuchekesha hao wanawake watatu Dr Mwele Malecela, Mange Kimambi na Neema Ngwilulupi wote wana exposure ya kutosha na elimu ya kutosha.

Mambo haya yangefanywa na akina Mwajuma Nchokonowe au Asha Ngedere ungekuwa na point, lakini cha kusikitisha hii ni colabo ya wanawake wenye elimu kubwa na exposure ya kutosha ndio main fabricator wa hii saga yote.

Mange ana zaidi ya followers million 7 Instagram unampelekea familia issue kwamba zisisambae? Na hapa issue siyo ujinga wa Neema tu, Bali jamii imjuwe vizuri Mange si mtu mwema, ni katili, shetani na furaha yake ni kuona wengine hawana furaha.

Mange ndio genuine Schadenfreude.

Huna point yoyote.
 
Bottom line unajipa umuhimu usiokuwa nao katika maisha ya watu ambao hata hawakujui kihivyo.

Yani wewe kichwani mwako umejijengea ukaribu mkubwa sana na hawa watu kwa kuwasoma mitandaoni, ukajiona kama unawajua saaana.

Wakati kiuhalisia huwajui kihivyo, unajipa umuhimu tu katika maisha yao.

They are living rent free in your head.

Waswahili hawakuwa wajinga waliposema "Ndugu wakigombana, shika jembe ukalime. Wakipatana, chukua kapu ukavune".

Watu walishaona kuingilia ugomvi wa ndugu ni ujinga siku nyingi mpaka wakatunga methali!
Ndugu inawezekana ikawa ni mambo ya kifamilia lakini Kwa hatua yaliyopofikia na profiles za wahusika inabidi lijadiliwe bayana ili watu au wazazi wengine wanufaike na hili kwenye kujifunza....

Mzizi wa mada ni jinsi gani kijana amemvunjia heshima baba yake kwa kumtusi.... wazazi na walezi wanaweza kuchukua mawili matatu na kujifunza huku hayo mengine yanayoonekana ya kifamilia tukiwaachia wenyewe wanafamilia........

Jambo hili linaweza kuonekana la kawaida na watoto wengine wakaona kumtusi baba yako ni kitu cha kawaida ndio maana wanajamii tumepatwa na mshtuko kuamua kuliangalia katika sura ya uzazi na ulezi na mustakabali mzima wa vizazi vyetu.......
 
Ndugu inawezekana ikawa ni mambo ya kifamilia lakini Kwa hatua yaliyopofikia na profiles za wahusika inabidi lijadiliwe bayana ili watu au wazazi wengine wanufaike na hili kwenye kujifunza....

Mzizi wa mada ni jinsi gani kijana amemvunjia heshima baba yake kwa kumtusi.... wazazi na walezi wanaweza kuchukua mawili matatu na kujifunza huku hayo mengine yanayoonekana ya kifamilia tukiwaachia wenyewe wanafamilia........

Jambo hili linaweza kuonekana la kawaida na watoto wengine wakaona kumtusi baba yako ni kitu cha kawaida ndio maana wanajamii tumepatwa na mshtuko kuamua kuliangalia katika sura ya uzazi na ulezi na mustakabali mzima wa vizazi vyetu.......
Asante Great thinker.😀😀
 
You have no point on this matter, Neema ndio mshirika wa Mange kwa miaka miaka mingi.

Dr Mwele Malecela msomi aliyeheshimika, mama mlezi wa Mange Kimambi naye ni sehemu ya matunda haya yanayovunwa sasa kwa beef binafsi na Le Mutuz.

Halafu cha kuchekesha hao wanawake watatu Dr Mwele Malecela, Mange Kimambi na Neema Ngwilulupi wote wana exposure ya kutosha na elimu ya kutosha.

Mambo haya yangefanywa na akina Mwajuma Nchokonowe au Asha Ngedere ungekuwa na point, lakini cha kusikitisha hii ni colabo ya wanawake wenye elimu kubwa na exposure ya kutosha ndio main fabricator wa hii saga yote.

Mange ana zaidi ya followers million 7 Instagram unampelekea familia issue kwamba zisisambae? Na hapa issue siyo ujinga wa Neema tu, Bali jamii imjuwe vizuri Mange si mtu mwema, ni katili, shetani na furaha yake ni kuona wengine hawana furaha.

Mange ndio genuine Schadenfreude.

Huna point yoyote.
Umeukuta moto wa ugomvi wa familia, badala ya kushiriki kuuzima au kuuacha uendelee na hamsini zako, umeumwagia petroli uwake zaidi mawazoni mwa wananchi wengi zaidi kwa kuuleta hapa JF.

Huu ni umbea tu.
 
Ndugu inawezekana ikawa ni mambo ya kifamilia lakini Kwa hatua yaliyopofikia na profiles za wahusika inabidi lijadiliwe bayana ili watu au wazazi wengine wanufaike na hili kwenye kujifunza....

Mzizi wa mada ni jinsi gani kijana amemvunjia heshima baba yake kwa kumtusi.... wazazi na walezi wanaweza kuchukua mawili matatu na kujifunza huku hayo mengine yanayoonekana ya kifamilia tukiwaachia wenyewe wanafamilia........

Jambo hili linaweza kuonekana la kawaida na watoto wengine wakaona kumtusi baba yako ni kitu cha kawaida ndio maana wanajamii tumepatwa na mshtuko kuamua kuliangalia katika sura ya uzazi na ulezi na mustakabali mzima wa vizazi vyetu.......
Hii ni gia ya kusambaza ubuyu tu, watu wanataka ubuyu kwa gia ya kujifunza.

Watu wanafurahia kupata ubuyu, acheni kutumia hii pretence ya kujifunza.

Hapa ni sawa na mtu aliyekuta connection ya picha za ngono imevuja, halafu anaisambaza kwa gia ya kujifunza.
 
Da Dr Matola, nimejikuta natokwa na machozi. Hiyo laana na ni itakitafuna hicho kizazi cha hao watoto na mama yao. Kulikuwa na namna nyingine ya mtoto kumjibu baba yake. Ila huyo mama kichwa chake kimejaa kamasi.
Ila let's trace mambo yalikoanzia, Mama mzazi WA lemutuz alikuwa rafiki na mama Yao kina Mwele, sijui Nani alimyakulia mwenzie....Ila it happened Le Mutuz kazaliwa peke yake, huku wamezaliwa wenzake....na mama Yao Mwele ndo official wife, pika pakua na Mzee...and it seems hakuwa na maelewano na Le Mutuz (Mtoto wa nje).....wote tunalijua vibe la mama wa kambo, (Baba naye hafurukuti) umbali ukatengenezwa Kati yake na Baba yake....je na yeye Le Mutuz hajawahi kumvunjia heshima Baba yake hata kimoyomoyo🤣🤣
Kama aliwahi kumchukia Baba yake Kwa maneno ya kupandikizwa basi ajue hii ni karma....apambane amalize hii series, tatizo wanaume hamuongei ukweli, mnajikaza na ndo mnakufa mapema.....awaambie watoto ukweli.
Nao wanakua, watayaona maghorofa ya dunia....Kama si Leo basi kesho watamuelewa Baba yao.
 
Umri wa kukaa ughaibuni kwa Furaha ni kuanzia miaka 0 -50. Baada ya hapo ni mateso na kuwa na Msongo wa mawazo hasa kwa mtu ambaye unakuwa mguu mmoja tz na mwingine ughaibuni, unakuwa frustrated na mpweke kama Kiranga ! Jinsi ya kujikwamua ni kujiunga na kuwa na kijiwe kama JF. Kwa bahati mbaya kutokana na Msongo wa mawazo unakuwa na mitizamo hasi! Uha ndipo unaukaribisha! Nimeipenda analysis yako. Ughaibuni ni pahala pa kuchuma si pa kumalizia maisha yako
Yes!Sasa wewe umeiweka vizuri,in a very simple way anasumbuliwa na msongo wa mawazo..........
 
Umeukuta moto wa ugomvi wa familia, badala ya kushiriki kuuzima au kuuacha uendelee na hamsini zako, umeumwagia petroli uwake zaidi mawazoni mwa wananchi wengi zaidi kwa kuuleta hapa JF.

Huu nu umbea tu.
Huna point yoyote, tengeneza Capuchino uchangamshe ubongo umelala.

Mange Kimambi, shetani na ni zaidi ya mchawi huyu ndio genuine Schadenfreude, halafu Neema ndio best friend wake wa kushare negative family issues, then lawama unaleta kwangu?

Well kama huu ni umbea am proud of it, JF lazima hapa tufundishane kwa mifano namna ya kuzilea familia zetu bila kujali baba na mama wana mgogoro gani.

Wewe inaonekana ni selfish unayetamani dunia iishi kwa mawazo yako, kwa kifupi tofauti yako na watu kama Stalin ni kwamba wewe huna Madaraka tu.
 
Huna point yoyote, tengeneza Capuchino uchangamshe ubongo umelala.

Mange Kimambi, shetani na ni zaidi ya mchawi huyu ndio genuine Schadenfreude, halafu Neema ndio best friend wake wa kushare negative family issues, then lawama unaleta kwangu?

Well kama huu ni umbea am proud of it, JF lazima hapa tufundishane kwa mifano namna ya kuzilea familia zetu bila kujali baba na mama wana mgogoro gani.

Wewe inaonekana ni selfish unayetamani dunia iishi kwa mawazo yako, kwa kifupi tofauti yako na watu kama Stalin ni kwamba wewe huna Madaraka tu.
Wewe mtoto wa kiume unaendekeza umbea tu, whichever way you cut this.
 
Hii ni gia ya kusambaza ubuyu tu, watu wanataka ubuyu kwa gia ya kujifunza.

Watu wanafurahia kupata ubuyu, acheni kutumia hii pretence ya kujifunza.

Hapa ni sawa na mtu aliyekuta connection ya picha za ngono imevuja, halafu anaisambaza kwa gia ya kujifunza.
Mbona Una comment Kama vile unaogopa🤣🤣, yani Kama unaogopa vile na wewe vichalii siku vikikutukana tutaletewa taarifa? Ndo maana unatamani hili lifunikwe? Punguzeni uzungu huko ughaibuni, wafundisheni adabu za kiafrika.
 
Mbona Una comment Kama vile unaogopa🤣🤣, yani Kama unaogopa vile na wewe vichalii siku video vikikutukana tutaletewa taarifa? Ndo maana unatamani hili lifunikwe? Punguzeni uzungu huko ughaibuni, wafundisheni adabu za kiafrika.
Mimi simuogopi Mungu, itakuwa mtu?

Nyie ndio wale wale mkimsoma mtu JF mshajiwekea ukaribu kwamba mnamjua.

Do not flatter yourself, you do not posses the lowest required wattage to worry me.

Nyie wabongo mnatafuta mchawi kwenye umasikini wenu, lakini mchawi wenu ni nyie wenyewe.

Badala ya kufuatilia mambo ya maendeleo yenu, mnafuatilia ubuyu wa maisha ya watu.

Kwa mtaji huu mtaendelea kuwa jamii ya kimasikini kwa muda mrefu sana.
 
Back
Top Bottom