Kupandishwa vyeo, mishahara na mengineyo: Watumishi wa umma mna maoni gani?

Kupandishwa vyeo, mishahara na mengineyo: Watumishi wa umma mna maoni gani?

Kada kama ya ualimu ndio imeeongoza kutoa Viongozi wa nchi hii kede kede 80% lakini walimu hao wakishakuwa Viongozi awakumbiki walipotoka na kuwakumbuka wenzao walio juani wawapunguzie shida.Unakuta mwalimu anaishi kwa kutegemea bodaboda yeye akiwa ndie boda hadi alambe vichwa ndio aishi huku kadi zake za ATM akizisalenda kwa watoa riba lakini ndie anaeongoza kuisaidia ushind ccm ambayo ikishaupata haimkumbuki hadi uchaguzi ujao
 
Futa hii comment nakushauri,unaousema ujinga wao ndo umekufanya leo unaandika hapa na kuwadharau?
Na watumishi wanaoongoza kwa uzezeta huu (Mungu anisamehe) ni WALIMU.

Nikikumbuka walivyokuwa wananicharaza bakora kuufuta ujinga kwenye bongo yangu. Sikujua kumbe bongo zao ndo zinahitaji kufutwa ujinga zaidi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sawa K wewe .!!!
Pesa haipaswi kukaa mfukoni mwa mtu asiyejielewa. Labda ipitie tu kwake na kwenda kwa anayejielewa.
Si kwamba watumishi wote ni mifuko, bali asilimia kubwa ni mifuko, hawajielewi. Na hawa mifuko ndiyo wanaowaponza wenzao.

Kiongozi anapowaangalia hawa mifukoni anapata picha ya kundi zima. Inapelekea kiongozi kuamua lolote juu ya watumishi wa umma bila woga.

- Watumishi wa idara mbalimbali walilipwa Tsh. 20000 ili wakafanye maandamano ya amani kumsifia mtu aliyerudisha kikokotoo cha zamani. Ijulikane kuwa si kikokotoo kipya wala cha zamani kinachoweza kumpa mtumishi wa umma maisha bora.

Waliweza kusahau maumivu yao ya kutoongezewa mishahara na kutokupanda madaraja kwa miaka karibu 4 wakaingia road kwa shinikizo la wanasiasa wachache kwa malipo ya fedha ambayo nikimpa mwanangu wa la kwanza Jumamosi asubuhi mapema siku anayoshinda nyumbani mpaka saa 12 mfukoni anabakiwa na buku tu (Not real).

- Mpaka leo sijapata habari ya mtumishi aliyekwenda ofisi za TUCTA au CW, TALGWU, TUGHE, TUICO kutaka ajiondoe uanachama kwakuwa anakatwa pesa ambayo hajui fedha yake inafanya nini.

Kila leo mtu anajinasibu nchi ina fedha za kutosha ila ukimgusia kuhusu maslahi ya watumishi wanaambiwa wasubiri miradi ikamilike ndipo watafikiriwa na hupiga makofi wakishangilia.

Kama watumishi wenyewe ndiyo hawa, ni bora wasubiri miradi mikubwa ikamilike ndipo walete kelele zao.

Sent from my SM-J110H using JamiiForums mobile app
 
👍🙏
 

Attachments

  • 2316672_uvccm.jpg
    2316672_uvccm.jpg
    20.8 KB · Views: 2
Pesa haipaswi kukaa mfukoni mwa mtu asiyejielewa. Labda ipitie tu kwake na kwenda kwa anayejielewa.
Si kwamba watumishi wote ni mifuko, bali asilimia kubwa ni mifuko, hawajielewi. Na hawa mifuko ndiyo wanaowaponza wenzao.

Kiongozi anapowaangalia hawa mifukoni anapata picha ya kundi zima. Inapelekea kiongozi kuamua lolote juu ya watumishi wa umma bila woga.

- Watumishi wa idara mbalimbali walilipwa Tsh. 20000 ili wakafanye maandamano ya amani kumsifia mtu aliyerudisha kikokotoo cha zamani. Ijulikane kuwa si kikokotoo kipya wala cha zamani kinachoweza kumpa mtumishi wa umma maisha bora.

Waliweza kusahau maumivu yao ya kutoongezewa mishahara na kutokupanda madaraja kwa miaka karibu 4 wakaingia road kwa shinikizo la wanasiasa wachache kwa malipo ya fedha ambayo nikimpa mwanangu wa la kwanza Jumamosi asubuhi mapema siku anayoshinda nyumbani mpaka saa 12 mfukoni anabakiwa na buku tu (Not real).

- Mpaka leo sijapata habari ya mtumishi aliyekwenda ofisi za TUCTA au CW, TALGWU, TUGHE, TUICO kutaka ajiondoe uanachama kwakuwa anakatwa pesa ambayo hajui fedha yake inafanya nini.

Kila leo mtu anajinasibu nchi ina fedha za kutosha ila ukimgusia kuhusu maslahi ya watumishi wanaambiwa wasubiri miradi ikamilike ndipo watafikiriwa na hupiga makofi wakishangilia.

Kama watumishi wenyewe ndiyo hawa, ni bora wasubiri miradi mikubwa ikamilike ndipo walete kelele zao.
Baada ya kusoma heading nilitaka kukutukana baada ya kusoma yaliomo ,, nimeamua kukuunga mkono

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Maiti ni wewe unayejificha nyuma ya keyboard dunia nzima wanaharakati ni Tanzania tu wanaojiita wanaume ambao siyo maiti wanajificha nyuma ya keyboard kisha wanaanza kubweka kama mbwa.
We ni mpiga dili wa awamu hii huna machungu na watumishi walionyimwa haki zao za kikatiba mna kiwango cha juu sana cha ubinafs
 
Mimi hata serikali inikate mshahara nibaki na nusu mshahara powaa tu ili mradi nibaki ofisini tu inatosha,umenielewaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom