Bana likasi
JF-Expert Member
- Jan 7, 2020
- 6,926
- 6,422
Na watumishi wanaoongoza kwa uzezeta huu (Mungu anisamehe) ni WALIMU.
Nikikumbuka walivyokuwa wananicharaza bakora kuufuta ujinga kwenye bongo yangu. Sikujua kumbe bongo zao ndo zinahitaji kufutwa ujinga zaidi.
Pesa haipaswi kukaa mfukoni mwa mtu asiyejielewa. Labda ipitie tu kwake na kwenda kwa anayejielewa.
Si kwamba watumishi wote ni mifuko, bali asilimia kubwa ni mifuko, hawajielewi. Na hawa mifuko ndiyo wanaowaponza wenzao.
Kiongozi anapowaangalia hawa mifukoni anapata picha ya kundi zima. Inapelekea kiongozi kuamua lolote juu ya watumishi wa umma bila woga.
- Watumishi wa idara mbalimbali walilipwa Tsh. 20000 ili wakafanye maandamano ya amani kumsifia mtu aliyerudisha kikokotoo cha zamani. Ijulikane kuwa si kikokotoo kipya wala cha zamani kinachoweza kumpa mtumishi wa umma maisha bora.
Waliweza kusahau maumivu yao ya kutoongezewa mishahara na kutokupanda madaraja kwa miaka karibu 4 wakaingia road kwa shinikizo la wanasiasa wachache kwa malipo ya fedha ambayo nikimpa mwanangu wa la kwanza Jumamosi asubuhi mapema siku anayoshinda nyumbani mpaka saa 12 mfukoni anabakiwa na buku tu (Not real).
- Mpaka leo sijapata habari ya mtumishi aliyekwenda ofisi za TUCTA au CW, TALGWU, TUGHE, TUICO kutaka ajiondoe uanachama kwakuwa anakatwa pesa ambayo hajui fedha yake inafanya nini.
Kila leo mtu anajinasibu nchi ina fedha za kutosha ila ukimgusia kuhusu maslahi ya watumishi wanaambiwa wasubiri miradi ikamilike ndipo watafikiriwa na hupiga makofi wakishangilia.
Kama watumishi wenyewe ndiyo hawa, ni bora wasubiri miradi mikubwa ikamilike ndipo walete kelele zao.
Hakuna binadamu asiye mjinga... nikiwemo mimi,wewe na walimuFuta hii comment nakushauri,unaousema ujinga wao ndo umekufanya leo unaandika hapa na kuwadharau?
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe ungekuwa mwanaume ungeverify account yako kama sisi wengine ili tuone hauogopi. Sasa uko nyuma ya keyboard then unajiita shujaaa. Shujaaa koko weweWenye akili awaburuzwi
Na watumishi wanaoongoza kwa uzezeta huu (Mungu anisamehe) ni WALIMU.
Nikikumbuka walivyokuwa wananicharaza bakora kuufuta ujinga kwenye bongo yangu. Sikujua kumbe bongo zao ndo zinahitaji kufutwa ujinga zaidi.
Pole sana mwalimu....Zezeta wa kwanza ni wewe uliyeaminishwa Walimu ndio tatizo la nchi hii kwa ujinga.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuongoza maiti raha sanaWewe ungekuwa mwanaume ungeverify account yako kama sisi wengine ili tuone hauogopi. Sasa uko nyuma ya keyboard then unajiita shujaaa. Shujaaa koko wewe
Sio wanaume tu hata wanawake wanaumia pia ila wapi pa kusemea Wangari??Ila tuseme ukweli Magufuli unatuumizia waume zetu mjinga wewe...wanaume wanakuwa na stress wanakonda...!
Najua ban itahusu...ila ndo nishasema...!
Sio wanaume tu hata wanawake wanaumia pia ila wapi pa kusemea Wangari??
Sent using Jamii Forums mobile app
Baada ya kusoma heading nilitaka kukutukana baada ya kusoma yaliomo ,, nimeamua kukuunga mkonoPesa haipaswi kukaa mfukoni mwa mtu asiyejielewa. Labda ipitie tu kwake na kwenda kwa anayejielewa.
Si kwamba watumishi wote ni mifuko, bali asilimia kubwa ni mifuko, hawajielewi. Na hawa mifuko ndiyo wanaowaponza wenzao.
Kiongozi anapowaangalia hawa mifukoni anapata picha ya kundi zima. Inapelekea kiongozi kuamua lolote juu ya watumishi wa umma bila woga.
- Watumishi wa idara mbalimbali walilipwa Tsh. 20000 ili wakafanye maandamano ya amani kumsifia mtu aliyerudisha kikokotoo cha zamani. Ijulikane kuwa si kikokotoo kipya wala cha zamani kinachoweza kumpa mtumishi wa umma maisha bora.
Waliweza kusahau maumivu yao ya kutoongezewa mishahara na kutokupanda madaraja kwa miaka karibu 4 wakaingia road kwa shinikizo la wanasiasa wachache kwa malipo ya fedha ambayo nikimpa mwanangu wa la kwanza Jumamosi asubuhi mapema siku anayoshinda nyumbani mpaka saa 12 mfukoni anabakiwa na buku tu (Not real).
- Mpaka leo sijapata habari ya mtumishi aliyekwenda ofisi za TUCTA au CW, TALGWU, TUGHE, TUICO kutaka ajiondoe uanachama kwakuwa anakatwa pesa ambayo hajui fedha yake inafanya nini.
Kila leo mtu anajinasibu nchi ina fedha za kutosha ila ukimgusia kuhusu maslahi ya watumishi wanaambiwa wasubiri miradi ikamilike ndipo watafikiriwa na hupiga makofi wakishangilia.
Kama watumishi wenyewe ndiyo hawa, ni bora wasubiri miradi mikubwa ikamilike ndipo walete kelele zao.
Maiti ni wewe unayejificha nyuma ya keyboard dunia nzima wanaharakati ni Tanzania tu wanaojiita wanaume ambao siyo maiti wanajificha nyuma ya keyboard kisha wanaanza kubweka kama mbwa.Kuongoza maiti raha sana
We ni mpiga dili wa awamu hii huna machungu na watumishi walionyimwa haki zao za kikatiba mna kiwango cha juu sana cha ubinafsMaiti ni wewe unayejificha nyuma ya keyboard dunia nzima wanaharakati ni Tanzania tu wanaojiita wanaume ambao siyo maiti wanajificha nyuma ya keyboard kisha wanaanza kubweka kama mbwa.