Kupandishwa vyeo, mishahara na mengineyo: Watumishi wa umma mna maoni gani?

Kupandishwa vyeo, mishahara na mengineyo: Watumishi wa umma mna maoni gani?

Kuna wapiga kura milioni 29, wafanyakazi wapo laki tano.

Mnapoteza muda hapo.
 
Je, Rais Dkt. Magufuli akishinda na Kurejea zake tena 'Madarakani' na 'akiyatekeleza' yote haya uliyoyataja hapa 'Kikamilifu' kabisa utasemaje tena?
Akishachaguliwa atasemea wapi tena, Mhutu ana roho ya paka na awamu hii ngwe ya pili kuna mambo mengi ya ajabu na kupindisha sana sheria maradufu zaidi ya awamu yake ya kwanza. Safari hii risasi njenje maana upinzani dhidi yake utakuwa umekuwa maradufu. Mtu wa pekee wa kusema maovu yake ni Lissu na sasa yuko imara. JPM ana kila dalili ya kung'ang'ania
 
Wameshaambiwa ni mwendo wa msoto tu hata waichagua tena ccm sasa nashangaa why wakurugenzi wa tume wanajipendekezea nn
 
Wafanyakazi wa umma hawawezi kuiacha CCM kwani huko kwingine wameambiwa kuwa waliokotwa majalalani.
 
niikatae ccm kwa kisa gani?
Mawaziri wa Serikali ya CCM wanaonea sana wafanyabiashara Lissu atamaliza huu ujinga unalazimisha mkopo wa piki piki ili iweje..? Imekua ni tabia ya viongozi wa ccm kufanya wafanya biashara vitega uchumi wao.
 
-Annual increments kwa miaka mitano holaaaaaa!
-Nyongeza ya mishahara kwa miaka mitano holaaaaa!
-Kupandisha madaraja baada ya miaka Sita au mitano.
-Kikokotoo hicho kinakuja, mstaafu utapangiwa matumizi na serikali hahaha, hela ni yako lakini utapangiwa matumizi,cjawah ona.
-Fao la kujitoa holaaaaaa, limeshafutwa
-Wanasiasa wa CCM kuingilia professional zenu
Halafu unakuja kuniambia utapandisha mishahara nikikaribia kutoka madarakani si ndio kipind hiki unatoka, Kwan una uhakika gani unarudi. Wafanyakazi wa umma uliyeumizwa na serikali hii usiku Ali tena upate maumivu, Sema basi CCM.
Sababu zako za kuikataa CCM, hazina kichwa wala miguu.
 
-Annual increments kwa miaka mitano holaaaaaa!
-Nyongeza ya mishahara kwa miaka mitano holaaaaa!
-Kupandisha madaraja baada ya miaka Sita au mitano.
-Kikokotoo hicho kinakuja, mstaafu utapangiwa matumizi na serikali hahaha, hela ni yako lakini utapangiwa matumizi,cjawah ona.
-Fao la kujitoa holaaaaaa, limeshafutwa
-Wanasiasa wa CCM kuingilia professional zenu
Halafu unakuja kuniambia utapandisha mishahara nikikaribia kutoka madarakani si ndio kipind hiki unatoka, Kwan una uhakika gani unarudi. Wafanyakazi wa umma uliyeumizwa na serikali hii usiku Ali tena upate maumivu, Sema basi CCM.
Kama Kawa
 
Tuikatae mara 2? Naamini hata Kassim Majaliwa atampigia Lissu kura. Kwani yeye hataki nyongeza ya mshahara?
-Annual increments kwa miaka mitano holaaaaaa!
-Nyongeza ya mishahara kwa miaka mitano holaaaaa!
-Kupandisha madaraja baada ya miaka Sita au mitano.
-Kikokotoo hicho kinakuja, mstaafu utapangiwa matumizi na serikali hahaha, hela ni yako lakini utapangiwa matumizi,cjawah ona.
-Fao la kujitoa holaaaaaa, limeshafutwa
-Wanasiasa wa CCM kuingilia professional zenu
Halafu unakuja kuniambia utapandisha mishahara nikikaribia kutoka madarakani si ndio kipind hiki unatoka, Kwan una uhakika gani unarudi. Wafanyakazi wa umma uliyeumizwa na serikali hii usiku Ali tena upate maumivu, Sema basi CCM.
 
Huwa nachat na jamaa zangu wawili walitia nia kanda ya ziwa, wanasema Lissu ajiandae kuunda serikali ya mseto maana CCM itapata wabunge wengi lakini JPM atakosa ushindi. Hali ya maisha ni ngumu sana, LISU aangalie asifanye makosa ya kudharau hali ya maisha ya watu na kuhangaika na magorofa. Watanzania ni watu sio magorofa....
Kwa dalili na uhalisia wa kazi nzuri ya Rais Magufuli CCM itashinda kwa kishindo!
 
Jamaa kafanya mambo yote mazuri.Lakini kosa lake kasahau kuwa hata kama anajenga nyumba nzuri ya tofali na bati ilituondoke kwenye nyumba ya nyasi na udongo,lishe Bora kwa familia ni muhimu vinginevyo itapata utapia mlo na utapata hasara ya kuwatibu hospital kwa gharama kubwa
 
Kikao hiki ni muhimu sana kwa mustakabali wa maisha yetu.

Awamu ya tano imeweka rekodi ya kutunyima kupanda madaraja na mishahara tena kwa dharau.

Kura zeru zinatosha kupeleka ujumbe kwamba sisi pia ni binadamu.

Wao wanapesa hadi za kugawa mitaani, na kununua jogoo kwa laki moja lakini swala la mishahara yetu linaonekana ni la kipuuzi.

Agenda.

1. Wafanyakazi wa umma kwenda kupiga kura.. Hamasa.

2. Kukataa jina la mtu jeuri asiye thamini wafanyakazi wa Umma.

3. Mengineyo.

Karibu mwenyekiti na wajumbe kikao kimefunguliwa.


View attachment 1530815

Na hivi kituo cha kupiga kura kipo nyuma ya nyumbani kwangu, Meko atajuta. Nimehamasisha wanafamilia sita wakajiandikishe na wote wana wachinjio.

Lazima tumfundishe adabu kama tulivyomfanyia 2015.
 
Jamaa kafanya mambo yote mazuri.Lakini kosa lake kasahau kuwa hata kama anajenga nyumba nzuri ya tofali na bati ilituondoke kwenye nyumba ya nyasi na udongo,lishe Bora kwa familia ni muhimu vinginevyo itapata utapia mlo na utapata hasara ya kuwatibu hospital kwa gharama kubwa
Baba anakula minofu pekee yake halafu sisi anasema tujifunge mikanda utafikiri tutaishi mara mbili.Kwa kweli ambao ujana umetukuta kwenye utawala huu,ujana umetukuta pabaya
 
Back
Top Bottom