Mfikirishi
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 8,939
- 10,403
Nyie wazeni kutawala milele..
Lakini mfahmu kitu kimoja.. Hawa watanzania ndo wenye maamuzi ya mwisho!
Maovu mnayo wafanyia yana mwisho wake..!
Naona mnajifanya kuwapa dhahabu feki kwa mkono wa kushoto kisha mnawanyanyasa kwa mkono wa kulia..
Mnawapa elimu za reja reja kwa mifumo ya kijinga jinga ili kuwadumaza akili waendelee kuwaogopa na kuwategemea...!!
Time will tell!!
Hakika mtapata taabu sana!!
Lakini mfahmu kitu kimoja.. Hawa watanzania ndo wenye maamuzi ya mwisho!
Maovu mnayo wafanyia yana mwisho wake..!
Naona mnajifanya kuwapa dhahabu feki kwa mkono wa kushoto kisha mnawanyanyasa kwa mkono wa kulia..
Mnawapa elimu za reja reja kwa mifumo ya kijinga jinga ili kuwadumaza akili waendelee kuwaogopa na kuwategemea...!!
Time will tell!!
Hakika mtapata taabu sana!!