Kupigwa billioni 75 ni ujinga au upumbavu? Tutaendelea kukubali kufanywa kichwa cha mwendawazimu hadi lini?

Kupigwa billioni 75 ni ujinga au upumbavu? Tutaendelea kukubali kufanywa kichwa cha mwendawazimu hadi lini?

Mkuu naomba niweke mchango kidogo hapo kwamba bunge lilikuwa sahihi kutunga sheria inayo ruhusu migogoro ya uwekezaji kusikilizwa ndani ya Nchi. Kwani kulizingatia matumizi ya principle za private international law.

Mikataba ya kimataifa ya uwekezaji inayo husisha parties ambazo zinaongozwa na sheria za mataifa mawili au zaidi. Endapo Ikitokea mgogoro aidha kwenye mikataba na ikatokea kuna mabishano ya mahakama ya nchi gani itumike au sheria za Nchi gani itumike ndiyo vipengele vya private international laws vinaingia.

Kwenye private international laws kuna principle inaitwa Lex fori ambayo inaruhusu machaguo ya sheria na chombo cha usuluhishi kutumika pale migogoro inayohusisha pande za Nchi tofauti. Lex fori inaruhusu matumizi ya sheria za ndani za Nchi kutatua migogoro hiyo. Hapa ndipo sehemu ya msingi ya sheria ya kulinda maliasili na rasilimali za Nchi.

Pili kuna Lex loci contractus principle hii inaruhusu kuwa sehemu ambayo mkataba umesainiwa ndiyo sehemu ambayo mgogoro ukitokea mahakama ya sehemu husika itakuwa na mamlaka. Ndiyo maana Rais Magufuli alikuwa anasisitiza sana mikataba ya uwekezaji isainiwe hapa Tanzania. Kwasababu mkataba ukisainiwa hapa Tanzania mahakama kuu inakuwa na jurisdiction chini ya principle ya Lex Fori.

Kingine tunaangalia domicile au nationality ya watu au subject matter dispute ipo situated wapi. Mfano madini yapo Tanzania hivyo katika kipengele cha domicile nchi ya Tanzania itakuwa na haki ya kutumia sheria zake za rasilimali kutatua migogoro.

Tatizo linaanzia kwa Ma senior advisor na Advocates ambao hawana msaada wa kuishauri serikali ndiyo maana vitu kama hivi vinatokea.

Lengo la awamu ya Magufuli kupitisha sheria hiyo ya rasilimali ni kwasababu wanasheria wetu wana uwezo mdogo sana katika international litigation especially kwenye arbitration. Pia matatizo yanaanzia kwenye mikataba hasa kwenye kipengele cha Law applicable na jurisdiction.
wanasheria wetu huwa wana discuss mikataba na wawekezaji kwa uoga sana kwasababu aidha wanamaslahi 10% au wanapewa maelekezo ya kuuza rasilimali.
It was a wise decision kwa hayati Magufuli kupitisha sheria ile ila tatizo ni Kwamba hatuna watu wanaopenda Nchi yao.

Tatizo lingine ni ratification ya makubaliano ya kimataifa kama UNICITRAL,au Taasisi kama
  • International Chamber of Commerce (“ICC”)
  • London Court of International Arbitration (“LCIA”)
  • International Centre for Dispute Resolution (“ICDR”)
  • Swiss Chambers' Arbitration Institution (SCAI)
  • Vienna International Arbitral Centre ("VIAC")
Mara nyingi wanasheria wetu hawajui procedure za huku kwetu hizi taasisi za Arbitration na kupelekea kushindwa kesi kizembe. Kama raisi Samia alivyo sema wanasheria wetu wakiwa kwenye hizo mahakama za kimataifa wanaogopa wazungu hasa macho yao.

Wito wangu ni kwamba serikali iweke kipaombele sana kwenye maliasili na rasilimali za Nchi kuliko kuwapa kipaumbele wawekezaji.

Na pia zitungwe rules of procedure chini ya sheria ya maliasili na rasilimali "Natural Wealth and Resources (Permanent Sovereignty) Act, 2017 (No. 5 of 2017). " Ambazo zitaongoza utatuzi wa migogoro na mahakama yenye mamlaka pamoja na sheria zitakazo tumika kati ya serikali na wawekezaji. Hii itasaidia sana kulinda rasilimali zetu na kuondoa rushwa, kupunguza gharama za kesi kuendeshwa nje ya Nchi.
Wewe jamaa achana na mambo mengi na kukariri vifungu.usifikiri watu hawajui yote hayo.hayo mambo sio bahati mbaya.hiyo ni michezo ya watu.hizo fault zinawekwa kimkakati tu.Uwezi kua na makosa yale yale miaka yote na hakunaga hatua zinazochukuliwa kwa wahusika.
 
Tumekwishaaaaaa🤣🤣
Usicheke inabidi kulia, kuombeleza na kugalala. Kuomba vyote vya kimataifa vichunguze mikataba yetu yote.

Ni kama tunapigwa mabomu makubwa kama kwenye ile hospitali gaza kila siku.

Mamia wanakufa kwa kukosa dawa, ajira, elimu, makazi. Wakulima wanateseka tu. Miaka sabini sasa.
 
Usicheke inabidi kulia, kuombeleza na kugalala. Kuomba vyote vya kimataifa vichunguze mikataba yetu yote.

Ni kama tunapigwa mabomu makubwa kama kwenye ile hospitali gaza kila siku.

Mamia wanakufa kwa kukosa dawa, ajira, elimu, makazi. Wakulima wanateseka tu. Miaka sabini sasa.
Mimi hiyo Bilion 75 nimewaza sana...Inatosha kujenga mahospitali na mashule kadhaaa ila Dah acha bhna
 
Nashukuru leo umeandika kama Paschal Mayalla, kimsingi hizi ni dili za Mkwere, hii kesi haikuwepo imefufuliwa mwezi wa 7 2023 September 2023 malipo yakafanyika sijui kwa budget ipi? Ukisikia wateule wanamsifia sn maza kupita MUNGU wao sababu ni dili kama hizi, mara awe Mama wa Taifa sijui Dkt huku nchi ipo gizani, hakuna maji petrol shida, majibu ni haya. Tuacheni uchawa tusimame na nchi yetu
Mkwere ni wa kunyonga au vipi? Sheria iwe retrospective wanyongwe[emoji2958][emoji2958][emoji2958][emoji2958][emoji848][emoji848][emoji2960][emoji2960]🥱🥱[emoji15][emoji15][emoji15]
 
Hapana lengo la kuweka hivi ni Kwamba a
Wewe jamaa achana na mambo mengi na kukariri vifungu.usifikiri watu hawajui yote hayo.hayo mambo sio bahati mbaya.hiyo ni michezo ya watu.hizo fault zinawekwa kimkakati tu.Uwezi kua na makosa yale yale miaka yote na hakunaga hatua zinazochukuliwa kwa wahusika.

Wewe jamaa achana na mambo mengi na kukariri vifungu.usifikiri watu hawajui yote hayo.hayo mambo sio bahati mbaya.hiyo ni michezo ya watu.hizo fault zinawekwa kimkakati tu.Uwezi kua na makosa yale yale miaka yote na hakunaga hatua zinazochukuliwa kwa wahusika.
Lengo la kuweka maoni haya sio kwamba sijui serikali wana think tanks wengi najua ila lengo langu ni moja tuu katika hawa wasomaji wa comments yupo mtu mmoja huenda akaja kuwa kiongozi au mtu mkubwa serikalini akaweza kuyafanyia kazi.
 
Nashukuru leo umeandika kama Paschal Mayalla, kimsingi hizi ni dili za Mkwere, hii kesi haikuwepo imefufuliwa mwezi wa 7 2023 September 2023 malipo yakafanyika sijui kwa budget ipi? Ukisikia wateule wanamsifia sn maza kupita MUNGU wao sababu ni dili kama hizi, mara awe Mama wa Taifa sijui Dkt huku nchi ipo gizani, hakuna maji petrol shida, majibu ni haya. Tuacheni uchawa tusimame na nchi yetu
Hit them up.
Siyo bure Kuna uchafu mkubwa ....
 
Hii kesi imefufuliwa na wanaume wapige pesa then maza wa mwambie anaupiga mwingi na majina mazuri mazuri huku wanapiga pesa za umma, umewahi kuona wapi kesi kubwa kama hii inaendeshwa kwa miezi 2? kuna kesi ya ubunge ambayo haina maslahi kwao leo ina miaka 2 haijulikani hata mwisho wake.
To me, whether ilifufuliwa ili watu wapige pesa au la, issue ni kwamba kesi hii tuliingiaje? Kama tulikosea, hata kama si leo wala near future, lazima tulipe madeni..!!!

Wewe pamoja na Pascal Mayalla tujiulize yafuatayo.!!

1. Nani aliyetuingiza kwenye kesi??? Je ni aliyefufua kesi au aliyesababisha tuingie kwenye kesi..!??? Kwanini tunahangaika na aliyefufua badala ya aliyetuingiza kwenye kesi??

2. Huyo mfufua kesi, hadi awe na uwezo wa kuifufua na hatimaye kupata ushindi, hii kesi kusahaulika ndo kulikuwa pona yetu???

3. Kwani huko siku za nyuma hatukuwahi kuonywa na watu tofauti tofauti wakiwemo akina Lisu, Lema juu ya kesi za namna hii?

4. Kwanini kila wanaotuambia kuwa tunakoelekea ni kubaya huwa tunawaita siyo wazalendo?

5. Hao waliotuingiza mkenge leo, tunawafanya kitu gani?

6. Kulishawahi funguliwa mahakama ya mafisadi huko nyuma. To me, bila kupepesa macho wala kuumauma maneno, mahakama ile ilifunguliwa ili ku-deal na Lowasa tu. Yaani serikali nzima inahangaika na mtu mmoja. Matokea yake, na yeye jinsi anavyojua kucheza karata zake, akajiunga nao. Ndo ukawa mwisho wa mahakama ile. Hawa watu wanaotuingiza mkenge kila kukicha kwanini wasishitakiwe kwa uhujumu ujuchumi au ufisadi.??

7. Kuna watu kwenye almost kila deal la hela ambalo nchi yetu imepigwa wamooo..!! Yaani hao tukisema wameitia serikali mkononi tutakuwa tunakosea????

8. Mpaka hapo, kila tulilolipishwa kwa namna moja ama nyingine, lilishawahi semwa na baadhi ya watu, na nchi ikaweka masikio pamba. Kwa mtiririko huu, tuna mangapi tutalipishwa huko tuendako.??

TUACHE KUMPOTOSHA MAMA KWA KUMSIFIA KUWA ANAUPIGWA MWINGI WAKATI TUNALIPISHWA KILA SIKU KISA HAO HAO WANAMSIFIA KUWA ANAUPIGA MWINGI
 
Hii inji ni tajiri sana.. hivyo kuna baadhi ya viongozi wanaona kama hizo fedha ni zao hivyo wanaweza kuzifanyia lolote. Unajua tena tabia za maskini akipata kipato ( baadhi)

Tutawafanya nini, wanaamua kwa utashi wao na sio sheria na taratibu za kulunda mslahi ya nchi.

Hakuna cha ujinga, ni upumbavu tu.
 
Nashukuru leo umeandika kama Paschal Mayalla, kimsingi hizi ni dili za Mkwere, hii kesi haikuwepo imefufuliwa mwezi wa 7 2023 September 2023 malipo yakafanyika sijui kwa budget ipi? Ukisikia wateule wanamsifia sn maza kupita MUNGU wao sababu ni dili kama hizi, mara awe Mama wa Taifa sijui Dkt huku nchi ipo gizani, hakuna maji petrol shida, majibu ni haya. Tuacheni uchawa tusimame na nchi yetu
Haikuwepo kivii na yule pofesa uchwara Mromo alikuwa anajibu kesi ipi?

Hii kesi Hii Hapa, jikumbushe:

 
Pascal Mayalla

Hii kesi kama serikali imeamua kuimaliza nje ya mahakama kwa $30 m, wamefanya la maaana sana kuliko wangeendelea kuvutana nayo, ilikuwa haina ushindi na wangelipa pesa nyingi sana na gharama kubwa kubwa za nenda rudi.

Hizi ndizo kesi alizotuumiza mwendazake na maprofesa wake uchwara kina Kabudi na Mruma.

Jikumbushe uone kama kulikuwa kuna ushindi hapa:



Aliyewashauri kulipa kwa kufikia makubaliano ya nje ya mahakama amefanya la maana sana.

Na mama kurishia, ia kafanya la maana na kaifanyia kazi R ya ya Reconciliation, nnauhakia na hapo hapo kaona fursa ya Resilience.

Hili ni la kupongezwa siyo kupondwa, hakuna aliyetupiga, tumejipiga wenyewe kwa sababu huwezi kurusha lawama kwa aliyeondoka.

SS to Reform na ku Rebuild.
 
Back
Top Bottom