dr namugari
JF-Expert Member
- Nov 19, 2022
- 10,466
- 18,206
Nimependa hi idea yako je Ni fruji la Bei gani itakuwa convenient kwa mtu mmojaUkiwa na fridge,
Hio 150,000/- kwa mwezi unakula kifalme sanaaaa,
Mchele kg 10 25k
Nyama kg 3 21k
Kuku 2. 14k
Nyanya. 5k
Mafuta litre. 4k
Kiungo cha pilau 3k
Vitunguu & co. 5k
Gas 20/5months. 4k
Mboga majani. 3k
Njegere 3k
Sabuni. 1k
Total. 90k, na hapo utakula msosi mwingi sana wa kushiba, nyama utakula nyingi sio kama za mgahawani 2, pia utapata kiporo utakula milo mitatu per day,
Btw nunua rice cooker kupunguza kazi ya ku adjust gas na kusave time
Kwa nini usiwe mtundu na kulinganisha cost mwenyewe? Kwangu mimi naona kupika mwenyewe ni rahisi zaidi. Nasema hivyo kwa sababu linapokuja suala la cost naweka maanani pia na ubora wa chakula, na hata afya yako in the long term. Mama Ntilie wengine (wana viunjanja janja) na unaweza kujikuta unakula chemicals zenye madhara.Vp lakini wapi ni very cost
Chukua lenye freezer na Fridge, laki nne unusu unapata moja zuri kabisa, ila ukipata la laki 6 linakuwa kubwa zaidiNimependa hi idea yako je Ni fruji la Bei gani itakuwa convenient kwa mtu mmoja
Hahaha, nyie watu nyie, ale wali week? Na hiyo kuchota kama scaveta [emoji119]Kama ni Wali unapika hata wa wiki moja, ukiwa unapakua usikoroge koroge, Unauchota kama scaveta inachota udongo kisehemu tu mpaka chini, Hauchachi haraka [emoji3]
Achana nazo mkuu. Pika hata mayai yanatosha na kuchemsha chai.wife kanifundisha wee,nikipika mwenyewe inakuwa kituko.
nimeshakata tamaa kama nitaweza hata kutengeneza zile za maji
Oooh sorry,kuku gani hao wawili unapata kwa buku 14?
Lenye milango miwiliChukua lenye freezer na Fridge, laki nne unusu unapata moja zuri kabisa, ila ukipata la laki 6 linakuwa kubwa zaidi
Amesema dogo ndio kwanza mwanachuo, hata kujitafuta hajaanza, Hata huo wali kwa wiki nzima ashukuru Mungu.Hahaha, nyie watu nyie, ale wali week? Na hiyo kuchota kama scaveta [emoji119]
vingine najua kupika ila zile chapati za kumimina zinanishinda kabisaAchana nazo mkuu. Pika hata mayai yanatosha na kuchemsha chai.
la bei ya chini kabisa bei gani yaani la kibachelorChukua lenye freezer na Fridge, laki nne unusu unapata moja zuri kabisa, ila ukipata la laki 6 linakuwa kubwa zaidi
oh ok, mimi hao kuku hwapandagi kabisa,Oooh sorry,
Kwa dar kuku wa kisasa ni 7k kuku mzima, sijui wew upo wapi,
Wa kienyeji ni 15k ila uchakachuzi ni mwingi sanaaa
Safi, wanaume tukikaa vijiweni tunajazana ujinga kwamba kumsaidia mke kupika, kufua na kazi nyinginezo ni dalili ya udhaifu, limbwata nk nk.vingine najua kupika ila zile chapati za kumimina zinanishinda kabisa
Safi, wanaume tukikaa vijiweni tunajazana ujinga kwamba kumsaidia mke kupika, kufua na kazi nyinginezo ni dalili ya udhaifu, limbwata nk nk.
Hongera kwa kuweka hadharani.
Binafsi nafanya hayo yote.
Kupunguza Uzito ukiweza penda sana Salads wenyewe wanaita mbogamboga, epuka vyakula vya wanga sana kama ugali, wali nk.Hapa katikati nikajisahau sasa niko mbali na wife na mwisho wa wiki naanza ubachelor upya
huku nikiwa na mtihani wa kupunguza uzito!!
gharama kubwa kivipi? mimi nitapunguza baadhi ya vyakula.Kupunguza Uzito ukiweza penda sana Salads wenyewe wanaita mbogamboga, epuka vyakula vya wanga sana kama ugali, wali nk.
Nimewahi kujaribu nikaweza ila kwasababu zisizozuilika nikaachana navyo.
Nilikua nakula kwa mfano wa sahani yangu, samaki mchemsho, mbogamboga, avocado, glasi ya maziwa mtindi na maji mengi. Usiku vivo hivyo najitahidi kukataa vyakula vya kukaanga na mafuta sana.
Kama nyama basi iwe choma nk.
Nikaacha gharama yake nikaona kubwa kuliko mazoea [emoji3][emoji3][emoji3]
Hotel safi kwa laki na nusu ujala kwa mwezi.Vyombo
Muda
Usafi
Gharama
Emu piga hesabu ukitaka kupika mlo wenye mboga Saba utatumia shingapi kupika??
Plus muda pia
So kama unajitafuta kuwa makini na kutafuta pesa usipoteze muda kupika
Tafuta mama ntilie mmoja safi pilau 2500 total per day kula 5000 kwa mwenzi 150000
Kula hotel ila hotel iwe safi ili uepuke kipindu pindu na typhoid
Uwe na jokofu sasa.Pika, raha sana kujipikia as a bachelor. Ila pika zile za long shots🤣, ubwabwa na samaki...mboga ya samaki inaliwa leo mchana, usiku, kesho uchana na usiku..that's how we lived back then.
Bas chukua kuku mzima wa kienyeji na nyama ya ng'ombe kg 3,oh ok, mimi hao kuku hwapandagi kabisa,
Saso na kienyeji ndo wenyewe