Kupitia mimi nimejifunza kitu kikubwa sana kuhusu hili jambo. Usioe mwanamke mwenye mtoto

Kama mtu kwao kuna dada, shangazi au mama zake masingle maza tena zaidi kila mtoto na baba yake na anatushauri tusioe masingle maza.....

Huyo mtu anapaswa kusikilizwa na anachokisema kiheshimiwe kwa sababu anaongea kutokana na experience
Tatizo wanaongelea sana hiki kizazi wanachowapa mimba wanawaacha, mbona hawasemi ya mama zao ambao pia wanagongwa gongwa na baba za wadogo zao au wakubwa zao? Wapunguze mihemko ya kijinga. Kwanza chanzo cha usingle ni hawa hawa humu jf wanaosema waliwazalisha na hawakuwaoa afu kutwa kuwadiss mbona hakuna mtu ametokea akisema aisee mama yangu ndo maana hakuwai kuolewa maana alikuwa anagongwa na kila aliyezaa naye.....wengine humu wanawalalamikia baba zao waliwatelekeza, ukute hakutelekezwa ni umalayer wa mama ake tu ila hilo halioni anachoangalia ni usingle wa huyu aliyempa mimba akamwacha na mtoto asimsaidie kulea....qmmyo zao wote wanaodiss mabinti wa watu kuwa single maza na akati wao ni chanzo at the same time na zao nao ni wasimbe pia hadi wanazeeka
 
Hata single maza wanaodissiwa ni mama wa watu, waanzie kwanza kwa mama zao, watu wamelelewa na mama zao malayer malayer tu kama hawa single maza wanaowapa mimba wanawaacha afu kila siku humu single maza single maza
Dah!hapa nashindwa kuelewa yule katukana na kudhalirisha mwanamke we nae umekomaa unadhalirisha mwanamke hivi huwa mnajua baba/Mume wa mtu hufariki Kila siku kwenye ajali ama magonjwa na kutengeneza single parent family mi nadhani ungetulia ungepata banter ya kumpa kuliko kuendelea kufanya alichofanya but uko free kuandika kile kinachokupa amani
Women women women ndio imekuwa wimbo wa Jf
 
Deleted01 usicheke, mnapoleta mada jamiiforums mnatakiwa mzingatie kwamba kuna watu wazima na wazee pia.

Hebu fikiria kwa mfano mzee Nelson Mandela alipotoka jela wangeanza kumshauri asioe single mother hivi angewaelewa kweli?
 
Kuna watu humu wanaandika kwa mihemko bila kuangalia wanaumiaje hao single maza, afu alivokosa hekima wala busara anasema anawazalisha yeye na kuwaacha, inamaana asingekuwa chanzo cha hao kuwa single maza asingewatumia ivo na ukute hata mtoto halei afu kaning'iniza mapumbu kujisifu alizalisha akawafanya single maza....afu nshaona watoto wa kulelewa na hawa wasimbe ndo hawaonagi mbaya kuzalisha zalisha wanawake bila ndoa maana hajui umuhimu wa mtoto kulelewa na wazazi wote wawili. Anaona sawa tu maana hata yeye alilelewa kwa tia maji tia maji ya mahawara wa mama zake.
 
Nikupe pole kwanza mimi sio single maza, halafu usiwe unakurupuka kabla hujasoma na kuelewa nini nimechangia..!!
Mwisho kuwa makini na marinda yako sababu hao mnaowaibia ipo siku watakufanya mboga tukukute kwa dada wa taifa.
Wengi wanaodiss humu sijui single maza, mara kataa ndoa, hamna mwanaume hapo asilimia kubwa wanafukuliwa mitaro yaani nakuhakikishia hakuna mwanaume kama wapo ni 13 out of 100
 
Unaweza Kuta hata mtoto hana usiamini sana hizi keyboard mtu anaweza ongea lolote kupunguza maumivu anayopitia
 
Nimemdharau sana afu haya ni matokeo ya kulelewa na single maza hao hao wanaowadiss. Maana vijana wengi wanaolelewa na baba na mama ndani ya ndoa hupewa warnings sana na madhara ya kuzaa zaa bila ndoa baadaye watoto wanakosa malezi ya msingi ya baba na mama na huwa wanakuwa makini sana huwezi kuta kijana ana akili kama ya Chizi Maarifa anajisifia kuwafanya mabinti wanne single maza afu haoni kama yuko wrong! Inamaana kama alilelewa na single maza anaona mbona sawa tu maana hata mimi nimemelelewa na hawara za mama zangu...shida sana
 
Fumba macho nikuombee dua njema.🙏
 
Hata kama hujamtoa bikra usioe maana mademu wote niliowatoa bikra na niliowagonga mpaka Leo najilia tu vyangu
 
Kataa ndoa 😀
 
Kumbe ni chizi? Sawa bwana tumekupata
 
duuuh hatari............mambo ni moto vipi mkuu hawakupi kweli na pesa wanazo achiwa kama matumizi mezani..'''?

Na kuna mwengine anasema hvyo kwa aliemtoa bikra......na kuna mwengine anasema hivyo kwa alie mla tigo kwa kifupi ndege walikao pamoja hufanana umbo adi rangi
 
Rais ana upiga mwingi!🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
N
Imetembea nayo bila beat mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…