Kupitia mimi nimejifunza kitu kikubwa sana kuhusu hili jambo. Usioe mwanamke mwenye mtoto

Wewe either ni
SINGLE MOTHER
au
UMEOA SINGLE MOTHER.

UNALO HILO DOGO. TUTAKUGONGA NA KUKUGONGEA.
 
Wewe either ni
SINGLE MOTHER
au
UMEOA SINGLE MOTHER.

UNALO HILO DOGO. TUTAKUGONGA NA KUKUGONGEA
 
Tatizo lenu mnafikiri Jamiiforums wote ni vijana au watoto!

Unapomshauri mtu mzima au mzee asioe single mother anabaki anakushangaa tu.

Wewe either ni
SINGLE MOTHER
au
UMEOA SINGLE MOTHER.

UNALO HILO DOGO. TUTAKUGONGA NA KUKUGONGEA
 
Naunga mkono hoja lakin lakin bado nasisitiza itafute aman uifuate
 


Wewe either ni
SINGLE MOTHER
au
UMEOA SINGLE MOTHER.

UNALO HILO DOGO. TUTAKUGONGA NA KUKUGONGEA
 
Deleted01 usicheke, mnapoleta mada jamiiforums mnatakiwa mzingatie kwamba kuna watu wazima na wazee pia.

Hebu fikiria kwa mfano mzee Nelson Mandela alipotoka jela wangeanza kumshauri asioe single mother hivi angewaelewa kweli?


Wewe either ni
SINGLE MOTHER
au
UMEOA SINGLE MOTHER.

UNALO HILO DOGO. TUTAKUGONGA NA KUKUGONGEA
 

MTAENDELEA KUCHEZEWA TU MPAKA MPATE AKILI.
 
Unaweza Kuta hata mtoto hana usiamini sana hizi keyboard mtu anaweza ongea lolote kupunguza maumivu anayopitia
Wewe either ni
SINGLE MOTHER
au
UMEOA SINGLE MOTHER.

UNALO HILO DOGO. TUTAKUGONGA NA KUKUGONGEA
 
Wewe either ni
SINGLE MOTHER
au
UMEOA SINGLE MOTHER.

UNALO HILO DOGO. TUTAKUGONGA NA KUKUGONGEA
Jadili hoja usimjadili mtoa hoja, hata hivyo nimekumbuka wewe hujawahi kuwa na hoja kwenye post yako yoyote ile, siku zote unaandikaga pumba tu wa kuonewa huruma ni hao wanawake waliokubali kukuzalia na hao watoto wenye baba kilaza kama wewe
 
Jadili hoja usimjadili mtoa hoja, hata hivyo nimekumbuka wewe hujawahi kuwa na hoja kwenye post yako yoyote ile, siku zote unaandikaga pumba tu wa kuonewa huruma ni hao wanawake waliokubali kukuzalia na hao watoto wenye baba kilaza kama wewe

Hoja ni nini. Tuanzie hapo.

Wewe either ni
SINGLE MOTHER
au
UMEOA SINGLE MOTHER.

UNALO HILO DOGO. TUTAKUGONGA NA KUKUGONGEA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…