Vishu Mtata
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 15,954
- 35,415
MTAENDELEA KUCHEZEWA TU MPAKA MPATE AKILI.
Wewe either ni
SINGLE MOTHER
au
UMEOA SINGLE MOTHER.
UNALO HILO DOGO. TUTAKUGONGA NA KUKUGONGEA
Chizi Maarifa ungemaliza kwa kusema oeni at your own risk.
Maana kuna watu ni matomaso kama mimi vile, pamoja na shuhuda zote hizi bado unaweza kuta nikaoa singo maza. Wengine tuna kusikia kwa kenge 😂😂.
Sasa mbona
umeanza kuandika kwa herufi kubwakubwa? Button imeng'ang'ania au ni uchizi tu?
Hao uliowazalisha ndo watakuua na magonjwa. Wanaume tunakupa uhalisia tu.Leo masingle maza mtaniua.
Bora umemwambia ukweli, huyu mtu nahisi anaanza kuwa mwehu mwehu, kama chizichizi hivi.Jadili hoja usimjadili mtoa hoja, hata hivyo nimekumbuka wewe hujawahi kuwa na hoja kwenye post yako yoyote ile, siku zote unaandikaga pumba tu wa kuonewa huruma ni hao wanawake waliokubali kukuzalia na hao watoto wenye baba kilaza kama wewe
Mmbwa kala mmbwa 🤣Huo ni ulimwengu wako unaoishi na aina ya wanawake unaoingiliana nao ni katika ulimwengu huo! Ulimwengu ninaoishi mimi na watu wengine wastaharabu huwezi kugusa! Kalaghabao wewe!
Huu uzi una mawazo ya kitoto sana, mwanzo nilijua wewe ni mtu mzima.
Mwenzio Robert Heriel Mtibeli ameshafikisha miaka 30, siku hizi anaandika nyuzi za kiutu uzima, wewe una ishirini na ngapi?
Hili ndilo la muhimu sana.Natoa shukrani kwa mheshimiwa rais, bila yeye haya yote tusingeweza.
Nikwambie tu, mi sio single maza, wala sjalelewa kwenye usingo! Pole wewe ambaye hukujifunza kutoka kwenye familia yako kuwa malezi ya baba na mama ni bora zaidi maana ulichukua malezi ya mama mmoja msimbe sikulaumu kwa kulelewa na hawara za mama aliekuzaa....kwaivo iyo spirit umekuwa nayoMTAENDELEA KUCHEZEWA TU MPAKA MPATE AKILI.
Yaani anaona sifa kwenda kurudia rudia kwa wanawake aliowazalisha halafu anawaona wajinga. Hajui kwamba yeye ndiyo mjinga zaidi ya masingle mother...Hao uliowazalisha ndo watakuua na magonjwa. Wanaume tunakupa uhalisia tu.
Pole sana nina amani kwa ndoa yangu, sjalelewa na single maza pole sana pole tena kwa kuzaliwa na kulelewa na msimbe ambaye hajakufundisha namna ya kuwa na familia bora ya mama baba na watoto. Na wewe umening'iniza mapumbu na kifua mbele eti ulizalisha afu watoto wanalelewa na wanaume wenzio maana kwa akili yako sidhani kama unao uwezo wa kuwachukua hao watoto ukawaleaWewe either ni
SINGLE MOTHER
au
UMEOA SINGLE MOTHER.
UNALO HILO DOGO. TUTAKUGONGA NA KUKUGONGEA
Kweli kabisa mkuu.Labda hakukupenda sana. Mi wangu nikiwakumbushia tu.... Wanaloana.
Hahahaaa, hongera.Nalipia kadi ya chama cha Watu wazima kwa mwaka laki tano
hayanaga akiliNa ma single faza ndivyo walivyo hawana misimamo pia. Km mliachana unafata nini kwa mzazi mwenzio na unajua kaolewa au ana mtu mwingine??? Nyie wanaume kwa wanaume hampendani, dawa ni kuwawekea mtego mkamatwe mfilimbwe..!!
Mimi ningekuwa single maza na mzazi mwenzangu anajua niko kwenye mahusiano halafu hatulii, namfanya kitu hiko mpk ukoo wake utatetemeka….. ni upuuzi mtu mmeachana halafu anakuja kukuharibia mahusiano yako ili aendelee kukuona unazidi kupoteana. Huyo ni zaidi ya mchawi na muuaji. Sasa dawa kumuonyesha undava.
Sijui nyie ma single maza wajinga mnafeli wapi?? Unaanzaje kumchekea mtu aliyekuharibia future yako??
Wewe kuwazalisha na kuwatelekeza hao wanawake huku ukiendelea kuwaomba ngono, unajiona uko sawa na unafaa kuwa mume, ila wao kukukubalia ndio unaona wana matatizo na hawafai kuwa wakeHoja ni nini. Tuanzie hapo.
Wewe either ni
SINGLE MOTHER
au
UMEOA SINGLE MOTHER.
UNALO HILO DOGO. TUTAKUGONGA NA KUKUGONGEA
Kumbe eee?? 😂😂😂😂Wengi wanaodiss humu sijui single maza, mara kataa ndoa, hamna mwanaume hapo asilimia kubwa wanafukuliwa mitaro yaani nakuhakikishia hakuna mwanaume kama wapo ni 13 out of 100
Kabisa, kuna vitu watu wanafanya mpk unashangaa wamewezaje??hayanaga akili
Peak stupidity!Wewe either ni
SINGLE MOTHER
au
UMEOA SINGLE MOTHER.
UNALO HILO DOGO. TUTAKUGONGA NA KUKUGONGEA