Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha kua na hofu na uislamu. Ulaya waliogopa sana uislamu ila walikosa namna ulishaingia tayari tena kwa kasi.Kuna watu bado wanaukataa ukristo na kutukana sijui ukristo ni utapeli sijui nini
Ninawagalia nachekacheka tu moyoni mwangu najisemea subiri ukristo upotee uislam utawale kila sehemu Kuna wakaa uchi watautamani huu
Maana ndugu zetu hawa wakiwa wengi wataanzisha serekali ya kislam na masharti mengi
Ukristo sio kwamba una sapoti ujinga bali una heshimu tamaduni ,imani, mawazo, ya watu wengine
Uislamu na Ukristo ni dini moja iliyotokana na Ibrahimu baba wa Imaan lakini mapokeo ya waarabu na mapokeo ya wazungu yakawa tofauti lakini chimbuko ni moja na ndio Dini zinazoongoza kwa kujiona Bora kuliko imani zingine zote na ndizo zinazoongoza kwa kutenga wengine kama sie wapagani na waabudu mizimu kwa kutuita majina ya ajabu ajabu.Kuna watu bado wanaukataa ukristo na kutukana sijui ukristo ni utapeli sijui nini
Ninawagalia nachekacheka tu moyoni mwangu najisemea subiri ukristo upotee uislam utawale kila sehemu Kuna wakaa uchi watautamani huu
Maana ndugu zetu hawa wakiwa wengi wataanzisha serekali ya kislam na masharti mengi
Ukristo sio kwamba una sapoti ujinga bali una heshimu tamaduni ,imani, mawazo, ya watu wengine
angalau ukristo japo unaheshimu lugha za jamii zinapoenda,Kwenye dini zote izo hakuna dini ambayo ina heshimu tamaduni ,imani, mawazo ya watu wengi kama ukristo